Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mweh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38]nisamehe mimi,sirudii tenamwanangu una maneno makali sana[emoji23]
akikupa tu hiyo glass moja utaaribu zaidi,akili yako naijua
Watu mnapatana hapa kwa Maxence eeeee,tu aje tupatane basi, ila akuwe na hela[emoji41][emoji92][emoji28]wangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T
Kakuzd hd wew uzuri naonaWasalam wapendwa,
Jana wakati nalala kuna moment ilinijia kichwani, nikajikuta nacheka kwa nguvu sana, miaka kadhaa nyuma nilipata mpenzi kupitia mtandao, ulikua ni Instagram.
Niwe tu muwazi sikua serious na hayo mahusiano ila nilitaka tu kufahamu inakuajekuaje ,mi ni mtu naependa kujaribu vitu kadha wa kadha, wale mama nisipitwe na jambo, ili mradi halidhuru afya, sipendagi kusimuliwa kwakweli.
Basi bhana, katika kupost tupicha twangu kadhaa, kuna mwamba akawa analike karibia kila post, akawa amenifollow pia, offcourse he was totally stranger, never knew him before, we just met on Instagram.
Days go on, urafiki ukakua hadi nisipoingia insta akawa anaacha text DM ,like 'are u good' , alot of halla and so on.
Ikafika point akaomba namba just to check on me kwa time sipo online, na kupata kufahamiana zaidi plus kuweza kuchart watsaap, nikaona sio mbaya nikampa namba baada ya kuangalia picha zake na kufatilia vitu anapost, watu anakua nao na mambo kama hizo.
Basi bhana maukaribu yakaongezeka, kuchekiana kwa sana, mambo yakahamia watsaap sasa, jamaa anakomaa kinoma noma, miamala ikaanza kutumwa (mwanaume akifika hiki kipengele nakuaga nishampitisha kwa asilimia karibia 85), ila kumbuka sijaonana na jamaa na hana papara na hilo.
By that time jamaa alikua anafanya masters hapo chuo UDSM, nami nilikua na mishe zangu za hapa na pale hapa mjini lakini jamaa hakua na papara ya kuonana kabisa, alinambia yupo bize kwaio tuwasiliane tuuuu, kwa sababu miamala ilikua inasoma hakuna kitu ilikua mbaya.
After few good months, jamaa akanambia ana feel like ni muda muafaka wa kuonana, nilipatwa na kiraruraru balaa, ile siku nilipata usingizi kwa taaabu sana, kile kiraruraru ni zaidi ya kusubiria Necta Exams, ni zaidi ya kusubiria interview ya kazi umeisotea sana.
Hatimaye kukakucha bhana, meeting point ilikua mlimani city, alinambia tuonane saa nane mchana, maana ni muislam alitaka aingie masjid then anione, ilikua ijumaa nakumbuka kabisa.
Kwa sababu niliona ni open space nikasema sio mbaya acha nijilipue, nikahakikisha mependeza, sikwenda mbali sana na vile natokelezeaga kwa pic za insta, maana kama alipenda zile picha sidhani kama alihitaji niibuke na baibui, so nikawa tu normal ila hofu kama yote, itakuaje? asiponipenda je? Na vitu kama hizo.
Nisiwachoshe sana [emoji17][emoji17][emoji17], the meeting was successful alhamdulilah, alikua ni mzuri kuliko pic za insta, damn his camera[emoji17][emoji17][emoji17]...confidence kama ikakata hivi, nadhani aligundua hilo, akajitahidi kuniweka sawa, na kila kitu ikawa poa.
Itoshe tu kusema he was one of my best lovers, one of the best moments nilipata kwa relationships, kila tukipata wasaa ananikumbushaga 'ulijua unakuja kukutana na mtu wa aina gani mama[emoji28][emoji28][emoji28], ulikua kama umepanick hivi kuniona[emoji28][emoji28][emoji28]...'
Hebu tupe nawe experience yako ya kudate mtandaoni, mlifanikiwa kuonana, ilikuaje first meeting, was it fun or disappointing? Bado upo na huyo kiumbe?
Mine was marvellous kwaiyo ni kitu ambayo sijawahi juta kujaribu.
Wasalaaam.
utatutia aibu ndugu zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora mwanasheria wangu ulivyojitokeza kuzuia mapema
Ohhhh dear, so sweet....Me tulikutana marafiki.com enzi hizo sasahivi ni mume wa ndoa 10years, kwa kweli sijawahi juta kukutana na huyu kaka, it was fate. Japo halikuwa lengo langu kuwa na mtu kutoka kwenye mtandao na nilikuaga naponda sana hilo swala jamani maisha haya😛, kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto 😀 na kwenye profile yangu niliandika nina mahusiano so nisisumbuliwe, na nilikuaga sijibu msg za dm wala sizisomi nikifungua nafuta zooote. Sasa kuna jina lilikuwa linajirudia sana, yani kila nikisema nifungie kufuta msg lazma nione msg yenye hilo jina, siku moja nikaamua kufungua msg yake, nikakuta salam tu, nikaijibu then nikafuta, sasa ikawa kila nikifungua lazma nikute kanisalimia, na mimi najibu salam basi. Siku moja akaniomba namba ya simu nikamwambia sina simu, alijua nimemdanganya ila hakulazimisha tukaendelea na salam tu dm, kuna kipindi akapotea i ddnt bother kumtafuta nikamsahau. Akaja akaibuka tena, akaniomba tena namba nikakataa tena, akaomba atleast email address, hiyo nikampa, enzi zile za yahoo messenger, so tukawa tunawasiliana huko japo si sana, mana hakuwa muongeaji sana, tukaenda hivyo for almost a year, akaniomba tena namba ya simu akasema hii ni mara ya mwisho kama kweli sina simu yuko tayari kununulia ila kama namnyima tu namba basi hatanisumbua tena kuhusu hilo, baada ya siku 2 nikampa namba, mawasiliano yetu yakaanzia hapo,it took me 6 months kukubali kuonana nae, mana nilikuaga muoga sana. But that day nilipokutana nae, katika kuongea akaniambia i will marry you next year tarehe fulani na mwezi fulani, i thout he was joking. But he wasnt joking, kweli mwaka uliofuatia tarehe ile ile na mwezi ule ule aliosema tukafunga ndoa Takatifu pale St. Joseph, and it has been an amaizing 10 years of marriage. Bcz he is everything i ever wanted, huwa nasema ni Mungu tu sio hivi hivi.
Tamaa hzo c ushampata wa instagram huyo dadaWatu mnapatana hapa kwa Maxence eeeee,tu aje tupatane basi, ila akuwe na hela[emoji41][emoji92][emoji28]
Atakua mahakamani mda huu doooh,sa itakuaje
Si humu nilishamuelezea rejea post zangu utamjuaTupe mama mlianzaje na huyo jombaa
utatutia aibu ndugu zako
Yule alishapita bhana, ni kumbukizi inayofurahisha my dear, nikaona si mbaya nikishea na wanajukwaa tupunguze stresss, ata ivyo ni mume wa mtu kwaio hakua permanent , ni ile nafsi ziliongea zikakubaliana, na alitamani tuendelee ila sikuona njema maana hakua mkweli toka mwanzoTamaa hzo c ushampata wa instagram huyo dada
Ni jina lake binafsi sio Id yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwanini sasa umemtaja jina