mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Waooooo....hapo chacha, si bora hata ulipewa nauli ya dar- kigoma...Kuna mwamba alinambia ntakutumia kwenye cm ,dooooh [emoji41]....na mimi si ile ustaarabu kujifanya slay mama nini, nikasema poa...
Doooh, kutahamaki , masaa yamesepa niko daaah, mwamba kanipigia tukio na utu uzima wangu , ila haina noma mazeee....
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nauli yabgu nilikula mwenyewe