Mahusiano yamekupa maendeleo gani?

Mahusiano yamekupa maendeleo gani?

Kijana shortcut ya kufanikiwa ni kupenda sana halafu ubatizwe na moto[emoji23] Yale maumivu ni makali mno ila ukiyageuza kuwa petroli ya kukusukuma kimaendeleo utatoboa haraka sana.
Hio ndio faida kubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uduguu sometimes watu wanaboa ujue? Nilishawahi mjibu mtu, had walio pembenii waliduwaaa. Inakeraa ujue. Lol
Huyu jirani yangu kichaa hapa natype tyr kashasema usinune hata km shangingi 😹😹😹
Yani kuna maneno ananifundisha mpk nishakuwa addicted na mineno yake.!!
 
Huyu jirani yangu kichaa hapa natype tyr kashasema usinune hata km shangingi [emoji81][emoji81][emoji81]
Yani kuna maneno ananifundisha mpk nishakuwa addicted na mineno yake.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo jirani ako kachachukaa vibayaaa!!! Em mzoeee.
 
Ananipa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo jirani ako kachachukaa vibayaaa!!! Em mzoeee
Ananipa burudani sana’a 😂😂😂
Leo ananiuliza kwahiyo umegoma kuolewa we shangingi? Njoo bas nikuoe shangingi mwenzio 🤣
 
Back
Top Bottom