Mahusiano yamekupa maendeleo gani?

Kijana shortcut ya kufanikiwa ni kupenda sana halafu ubatizwe na moto[emoji23] Yale maumivu ni makali mno ila ukiyageuza kuwa petroli ya kukusukuma kimaendeleo utatoboa haraka sana.
Hio ndio faida kubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uduguu sometimes watu wanaboa ujue? Nilishawahi mjibu mtu, had walio pembenii waliduwaaa. Inakeraa ujue. Lol
Huyu jirani yangu kichaa hapa natype tyr kashasema usinune hata km shangingi ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Yani kuna maneno ananifundisha mpk nishakuwa addicted na mineno yake.!!
 
Huyu jirani yangu kichaa hapa natype tyr kashasema usinune hata km shangingi [emoji81][emoji81][emoji81]
Yani kuna maneno ananifundisha mpk nishakuwa addicted na mineno yake.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo jirani ako kachachukaa vibayaaa!!! Em mzoeee.
 
Ananipa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo jirani ako kachachukaa vibayaaa!!! Em mzoeee
Ananipa burudani sanaโ€™a ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Leo ananiuliza kwahiyo umegoma kuolewa we shangingi? Njoo bas nikuoe shangingi mwenzio ๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ