X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #41
rudia kusoma upya...utaelewa kidogo kidogoOhhh uliolewa wew? Au nime elewa vbya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rudia kusoma upya...utaelewa kidogo kidogoOhhh uliolewa wew? Au nime elewa vbya
unajua anafikiria nini juu ya kukaa miaka 6 bila ndoa?ni kweli sijaoa kaka lakini tunaishi wote takribani miaka 6 sasa...hapo kunautofauti gani na mtu alie oa...? harafu wazazi wote wanafahamiana...si ni kama wana ndoa tu hadi tumezaa...kweli
msaada wako nauhitaji kuliko kitu chochote muda huuunajua anafikiria nini juu ya kukaa miaka 6 bila ndoa?
Mie sina msaada Ila ujue tu kuna vitu vidogo vidogo ambavyo wanaume huwa mnahesabia ni minor kumbe vinamla mwanamke ndani ndani.msaada wako nauhitaji kuliko kitu chochote muda huu
asante...njia za uzazi wa mpango huwa zinapunguza hamu kwani...?Pole,,, Ila usimwache inawezekana yupo kwenye msongo wa mawazo, Jaribu kuongea naye Ili ujuwe tatizo lipo wapi pia Jaribu kumuuliza km anatumia njia za uzazi wa mpango.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
dah....bado umeniacha njia panda...kiuwezo bado sina uwezo mkubwa...kihivyo si unajua ndoa inahitaji bajeti...na yeye analijua hiloMie sina msaada Ila ujue tu kuna vitu vidogo vidogo ambavyo wanaume huwa mnahesabia ni minor kumbe vinamla mwanamke ndani ndani.
Ohoooubaya ni kuwa mimi ndie ninae ishi kwake...hivyo itanilazimu kuondoka bila shaka...na ndio uamuzi wangu huu
Ndoa inahitaji bajeti gani?dah....bado umeniacha njia panda...kiuwezo bado sina uwezo mkubwa...kihivyo si unajua ndoa inahitaji bajeti...na yeye analijua hilo
Tofauti ipo sababu mnazini tu,mungu haiujui iyoni kweli sijaoa kaka lakini tunaishi wote takribani miaka 6 sasa...hapo kunautofauti gani na mtu alie oa...? harafu wazazi wote wanafahamiana...si ni kama wana ndoa tu hadi tumezaa...kweli
Acha utetezi mkuu,hapo bado hujaoa.Ndoa,ina ithibati.ni kweli sijaoa kaka lakini tunaishi wote takribani miaka 6 sasa...hapo kunautofauti gani na mtu alie oa...? harafu wazazi wote wanafahamiana...si ni kama wana ndoa tu hadi tumezaa...kweli
Wanaume tumeisha wajamen mwaka wa sita huu unaishi kwa demubaya ni kuwa mimi ndie ninae ishi kwake...hivyo itanilazimu kuondoka bila shaka...na ndio uamuzi wangu huu
Usijikatie tamaa jana siyo leo Mungu atakusaidia ila kama vp mchukue mwanao ulee mwenyeweasante...kikweli na muwaza sana mtoto wangu...kwa kipato changu cha sasa sina uwezo wa kukigawa mara mbili....hapa nitachanganyikiwa...tu
[emoji23][emoji23] Wacha weeSisi vibonde wetu ni man u na chelsea. Wewe tulishakupiga tukikikosa kibonde hichi tunaenda kutambika
Hapa hamna kuacha. Kibonde kama wewe nakuachaje[emoji23][emoji23] Wacha wee