Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
nenda jukwaa la siasa utapata majibu ya swali lako ,siku moja moja sio mbaya kupitia majukwaa tofauti tofauti kidogo ya jfAmefanya kosa gani?
mimi niko tayari. weka mipango mezani tuitekelezeMimi naomba kujua tunasimama nae kwa maneno au vitendo? hv serikali itatusikiliza huku tukiwa tumejifisha nyuma ya computer tena kwa majina fake? mana sijaona anaesema tujitokeze tubebe na mabango yenye hii hashtag freemaxencemello twende hadi kwenye hicho kituo alipofungiwa
Niliuliza kabla sijachunguza kidogonenda jukwaa la siasa utapata majibu ya swali lako ,siku moja moja sio mbaya kupitia majukwaa tofauti tofauti kidogo ya jf
Amekamatwa na polisi, hawajampa dhamana na hawajamfungulia kesiNiliuliza kabla sijachunguza kidogo
Nimeshapata majibu
Heee dada wapi hao unaowaongelea ?tafadhali sana dada zetu tunahitaji sauti zenu mpendwa wetu melo anashikiliwa na polisi
Sheria gani? Hakuna sheria inayofatwa.. ni ubabe tu wa madarakaTwendeni taratibu, tuache cheria ifanye kazi yake, ataachiwa tu.
Unaweza kuonyesha solidarity kwa kusimama hapo ulipo mkuu.Tunasimama vipi sasa pamoja, au ndio kupitia hizo # tags?
Sky Eclat, hata mimi nataka kutetea ila cjui nifanyeje mkuu. Muongozo tafadhalUnaweza kuonyesha solidarity kwa kusimama hapo ulipo mkuu.
Kupambana kuko kwa aina nyingi, hata Mandela kupambana kwake ilikuwa ni kukataa "kuachiliwa" kama kuachiliwa kwake kulikuwa na sharti kwamba akitoka jela asijihusishe na mapambano dhidi ya Makaburu. Kuna watu wanadhani mapambano ni lazima tuingie barabarani tukiwa na mabango. Ni kweli lakini kwa sasa haijafikia kiwango cha kwenda barabarani lakini ikibidi tutakwenda.Sky Eclat, hata mimi nataka kutetea ila cjui nifanyeje mkuu. Muongozo tafadhal