Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Tumo humu kujadiliana mambo ya mahusiano kwa kuwa kuna mtu anaitwa Maxence Melo na wenzake usiku na mchana wanahangaika tuwe humu tena tukiwa salama. Melo kakamatwa na bado anashikiliwa na Polisi. Haya mahusiano yetu hayatadumu kama Melo ataamua kusalimu amri.
Sote tusimame pamoja kuzuia mahusiano yetu na Melo yasivunjwe!
[HASHTAG]#freemaxencemello[/HASHTAG]
Sote tusimame pamoja kuzuia mahusiano yetu na Melo yasivunjwe!
[HASHTAG]#freemaxencemello[/HASHTAG]