Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Mi nipo mwenyewe tu stress haziishi natamani ningekua na familia yangu lkn nakomaa cku moja nitakua naoMimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu.
Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress.
Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake.
Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/Mimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu.
Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress.
Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake.
Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
Hahaha nyie kunyweniDah Serengeti Lite bariiiid zitakupita hivi hivi😭
Vzr tupo pamojaDah! Naangalia tv tu hapa!
KabisaKuna games za online unacheza na watu mfano PUBG au call of duty unaweza kuyatumia hayo magame ili kujifurahisha
Kinyonge mkuuKinyonge sana Mkuu
HatariMabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/
Yani kama vile simple toka nduki toka lesi/
Ka risasi ya bunduki au jeti/
No kunyuti no kuketi, wape nafasi wakushoot/
Kama Malcolm X usikubali kubaki/
Uwe pimbi upewe kesi/
Ikibidi jitose ndani ya dimbwi la kinyesi/
Sio suala la uoga,kuogopa ukunguru/
Ila Bora kurogwa kuliko kukosa uhuru/
Wapi Shemponda wapi Jenerali Komba/
Siri Kali Sera Kali cheza mbali na wajomba/
Kimbiaa, mitihani imevuja nyie hamjasikia!?/
Yanini kusoma huku elimu inanunuliwa/
Kimbiaa, Nchi imeshauzwa hii hamna kusikilizia/
TANESCO, Madini Hadi Air Tanzania/
Watoto wa uswazi hawana matumaini/
Ndoto zao ujambazi sababu ya umaskini/
Matapeli wenye shahada kila hatua tatu/
Makahaba wa miaka kumi na tatu/
Maskani kamsitu, vicheche na machatu/
Usipite pekupeku bila kuvaa viatu/
Aaaah Kimbiaaaaaaaa
Rest Easy LANGA (RIP)
View attachment 2581985
Nipo alone hapa naangalia THE TOURIST
Ipo siku tuMi nipo mwenyewe tu stress haziishi natamani ningekua na familia yangu lkn nakomaa cku moja nitakua nao
Ni seriesNgoja niitafute
Hahha Mungu akipenda siku nitakwendaa
Tafuta manzi utanishukuru
Kuna mjinga hapa jirani yangu anapika pilau kwa mbwembwe na nyimbo za kwaya zinapigwa kwa saana! Tatizo huyu dada hatusalimianagi!Vzr tupo pamoja
Kabisa
Kinyonge mkuu
Haaahaaa 🍷🥴 AsalamalycumKuna mjinga hapa jirani yangu anapika pilau kwa mbwembwe na nyimbo za kwaya zinapigwa kwa saana! Tatizo huyu dada hatusalimianagi!
Wacha tu bora giza limeingia!Haaahaaa 🍷🥴 Asalamalycum