Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Tuliza makalio. Hiyo ndiyo teknojia ya habari inakokwenda kwa kutumia akili mnembe (artificial intelligence).Hii nchi skuizi imekua na maigizo ya kipuuzi sana alooo......
Sasa hilo dude lina faidagani kwa mwananchi wa kawaida??
Kilichofanyika leo ni kitu kizuri sana kwa taifa letu kuonyesha utayari wa kwenda na technology. Usipojuhusisha nayo utabaki peke yako duniani