Pre GE2025 Maigizo Bungeni: Waziri Nape na viongozi wengine wakaribishwa Bungeni na Roboti Eunice

Pre GE2025 Maigizo Bungeni: Waziri Nape na viongozi wengine wakaribishwa Bungeni na Roboti Eunice

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amekaribiishwa na roboti Eunice wakati akiingia bungeni leo Mei 16, 2024 ambapo uwasilishaji wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, unafanyika.

Roboti hilo lililokuwa katika lango ya kuingia ukumbi wa Bunge na wabunge walipata nafasi ya kulisamilia na kuliuliza maswali na roboti huyo akijibu.

=====

Pia soma: Waziri wa Habari, Nape Moses Nnauye anawasilisha Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi 2024/2025, Mei 16, 2024
Sisi tunahitaji Robot za kufanya nini wakati Vijana wetu tena Wasomi wahitimu wa Universities hawana Ajira? Bcoz Robot ni Replacement ya human Labour. Mimi naliona kama Sanamu Fulani hivi😡😡
 
Lakini limetengenezwa na watanzania wenyewe au limenunuliwa nje kwa fedha za watanzania kuja kutufanyia usanii?
 
Kuna wabunge watalalamika kwa nini limeletwa la kike na sio la kiume 😂😂
 
Ujinga na upuuzi mtupu. Huyo roboti anawasaidia nini kina mama vijijini.
 
Back
Top Bottom