Tuliza makalio. Hiyo ndiyo teknojia ya habari inakokwenda kwa kutumia akili mnembe (artificial intelligence).Hii nchi skuizi imekua na maigizo ya kipuuzi sana alooo......
Sasa hilo dude lina faidagani kwa mwananchi wa kawaida??
Kama kawaida yetu lina quality ya kitanzania kama ilivyokuwa Sanamu ya Kingwangallah.[emoji23]Aisee hili li dubwasha wamelitoa wapi
Mkuu umeshajiuliza itakuwaje wakati unalikula mbususu ilo robot alafu likapiga shoti ya umeme umo? 😂 😂Kataa ndoa tunayataka yenye papuchi tu,ili mbwembwe tu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 NAKAZIAKataa ndoa tunayataka yenye papuchi tu,ili mbwembwe tu
Kwa hiyo mwamba mgalala mmechoka kupigia mkono sasa mnataka papachu ya roboti?[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] NAKAZIA
Wajinga wengi sana Tanzania hii.Tuliza makalio. Hiyo ndiyo teknojia ya habari inakokwenda kwa kutumia akili mnembe (artificial intelligence).
Kilichofanyika leo ni kitu kizuri sana kwa taifa letu kuonyesha utayari wa kwenda na technology. Usipojuhusisha nayo utabaki peke yako duniani
😀😅😂Kwa nini wasiliite ROBOTI SAMIA ??
Bajeti yake sio chini ya B na kamati ilikaaKama kawaida yetu lina quality ya kitanzania kama ilivyokuwa Sanamu ya Kingwangallah.[emoji23]
Roboti haigeuki, iko fixed, mkono inasogeza direction moja tu na kurudisha. Yaani jinsi ilivyosetiwa ndio iko vile vile.
Si ajabu litakuwa kimepangiwa bajeti[emoji23][emoji23]
Ndiyo ndiyo, haina UTI wala haiombi pesapapachu ya roboti?
Linaweza likaishiwa chaji katikati ya mgegedo pia.Ndiyo ndiyo, haina UTI wala haiombi pesa
Hiyo ni tisa, kumi uliza zimetumika pesa kiasi gani kutengeneza huyo mwanasesere!.Hii nchi skuizi imekua na maigizo ya kipuuzi sana alooo......
Sasa hilo dude lina faidagani kwa mwananchi wa kawaida??
Huyo siyo classmate?Hii nchi skuizi imekua na maigizo ya kipuuzi sana alooo......
Sasa hilo dude lina faidagani kwa mwananchi wa kawaida??