Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Nazo zimejaa ulaghai mtupuKuna jamaa wanamponda kwa siasa zake ila ukweli ni kwamba hizo ndo ambazo wananchi wanazielewa kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazo zimejaa ulaghai mtupuKuna jamaa wanamponda kwa siasa zake ila ukweli ni kwamba hizo ndo ambazo wananchi wanazielewa kwa sasa
Za vitendo ziko wapi mbona hatuoni results?Hizi siasa za aina hii sio za Nchimbi. Baada ya uongozi wa Magufuli mambo mengi yamebadilika sana kwenye siasa. Style zake za siasa zimebadili mfumo mzima. Ni ngumu sana kuwarudisha wananchi kwenye zile siasa za awamu ya 4 za maneno matupu.
KKiukweli Makonda ana upuuzi mwingi ila siasa zake kwa sasa ndo zinabamba. Kinyume na hapo wananchi hawaelewi kabisa.Kuna jamaa wanamponda kwa siasa zake ila ukweli ni kwamba hizo ndo ambazo wananchi wanazielewa kwa sasa
Zimebamba nyie msiojielewa....chawaKKiukweli Makonda ana upuuzi mwingi ila siasa zake kwa sasa ndo zinabamba. Kinyume na hapo wananchi hawaelewi kabisa.
Makonda Ni kichaa anayetembee ..sema mfumo Wa nchi umemkumbatia mr.zeroSijui Makonda aliwafanya nini huko nyuma!?, thread inamuhusu Nchimbi umeshakimbilia kwa Makonda, wewe ndo Nchimbi mwenyewe nini umeona umefunikwa!?
Eeeh unasemaje?Makonda Ni kichaa anayetembee ..sema mfumo Wa nchi umemkumbatia mr.zero
Mfano mkuu Wa mkoa kapewa dhamana YA kumuwakilisha Rai's
Juzi Kati katoa Tamko la kukejeri mwanamke..chama CCM kimeona Ila kina sema Always Makonda yupo juu YA Sheria YA nchi
Katoa Tamko litakuwa Na matembezi maalum YA Landlover Kwa wamilki Wa Landlover Arusha
Kwakuwa Makonda ana Gari la thamani YA TZS 400 million Landlover new model 2023 kaamua kuwa watakuwa Na msafara Arusha Kwa wamilki Wa Gari hizo..Mama yupo Na anamchekea
Wananchi ndio tunaia Kwa vituko vya Wasaidizi wake
Mkuu anzisha thread nyingine, hii inamuhusu Nchimbi. Server za JF bado hazijajaa.Makonda Ni kichaa anayetembee ..sema mfumo Wa nchi umemkumbatia mr.zero
Mfano mkuu Wa mkoa kapewa dhamana YA kumuwakilisha Rai's
Juzi Kati katoa Tamko la kukejeri mwanamke..chama CCM kimeona Ila kina sema Always Makonda yupo juu YA Sheria YA nchi
Katoa Tamko litakuwa Na matembezi maalum YA Landlover Kwa wamilki Wa Landlover Arusha
Kwakuwa Makonda ana Gari la thamani YA TZS 400 million Landlover new model 2023 kaamua kuwa watakuwa Na msafara Arusha Kwa wamilki Wa Gari hizo..Mama yupo Na anamchekea
Wananchi ndio tunaia Kwa vituko vya Wasaidizi wake
Sawa sawa umempa ushauri mzuriMkuu anzisha thread nyingine, hii inamuhusu Nchimbi. Server za JF bado hazijajaa.
Ukicheza sana na mbwa utaingia naye msikitini ndiyo haya tunayoshuhudia sasaMakonda Ni kichaa anayetembee ..sema mfumo Wa nchi umemkumbatia mr.zero
Mfano mkuu Wa mkoa kapewa dhamana YA kumuwakilisha Rai's
Juzi Kati katoa Tamko la kukejeri mwanamke..chama CCM kimeona Ila kina sema Always Makonda yupo juu YA Sheria YA nchi
Katoa Tamko litakuwa Na matembezi maalum YA Landlover Kwa wamilki Wa Landlover Arusha
Kwakuwa Makonda ana Gari la thamani YA TZS 400 million Landlover new model 2023 kaamua kuwa watakuwa Na msafara Arusha Kwa wamilki Wa Gari hizo..Mama yupo Na anamchekea
Wananchi ndio tunaia Kwa vituko vya Wasaidizi wake
🤣🤣Akitoka hapo anae da mkoa mwingine na kinote buku..sasa hadi akimaliza ziara atakuwa na vinote buku vingapi??Balozi Dr Emmanule Nchimbi kama mwanasiasa mbobevu ndani na nje ya Tanzania sikutegemea kama angefanya matukio ya kuigiza kwenye kila anachodai ni kusikiliza kero za Wananchi.
Kwanza ifahamikw kwamba Kero na shida za Wananchi zinajulikana kazi walioshindwa Chama na serikali ya ccm ni kuzitatua.
Kuigiza kwamba mnazisikiliza wakati mnazijua ni kujitia aibu na kuwadharau Wananchi waliowaa Dhamana ya kuwaongoza.
Ktk Matemebezia ya Aliyekuwa katibu Mwenezi Ndugu Paul Makonda aliibua visanga vingi vilivyohusiana na Wizi wa mali za umma, matumizi mabaya ya ofisi za uma, unyanyasaji dhidi ya wananchi na kuporwa haki mbali mbali za Wanajamii ktk mikoa na wilaya mbali mbali. Wakti huo huo Mikoa hiyo na halmashauri hizo zinaongozwa na makada wa Chama cha CCM kuanzia juu hadi chini. Matatizo wanayaona na pengine wananufaika nayo ndio maana hawana muda wa kuyatatua.
Sasa tunamuuliza huyu Nguli na Jabali la Siasa Dr Nchimbi kuwa hayo maigizo ataacha lini na kuanza kutekeleza au kuyatatua?
Kipi asichokijua kuhusu Shida na kero za Watanzania.
Kwanini asiache kupoteza pesa na muda na kuelekeza Bajeti ya matembezi kwenye kuokoa na kutatua kero moja moja?
Ktk Ngazi mbali mbali kuna Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi wa halmashauriz kuna DAS na Kadha wa kadha.
View attachment 3004547
Utawaona wanajifanya wako serious kusikiliza na vinote book wakiondoka hapo ndio nitolee......imeisha hiyo.
Hailete maana( make sense) Katibu Mkuu na Mwenezi kutembea mikoa yote na kutumia bajeti kubwa mathalani milioni 200 kwenda kutazama kisima cha maji cha milioni tano.
We acha tu aibu🤣🤣Akitoka hapo anae da mkoa mwingine na kinote buku..sasa hadi akimaliza ziara atakuwa na vinote buku vingapi??
Hahaaaaisee yaani ni utoto kabisa.