Maigizo ya ujenzi wa barabara na maendeleo ya mkoa wa Mwanza

Maigizo ya ujenzi wa barabara na maendeleo ya mkoa wa Mwanza

Somaiyo

Senior Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
102
Reaction score
184
Katika pitapita zangu mjini Mwanza, nimeona barabara kuu mbili zote zina wakandarasi zikiboreshwa kutoka njia mbili mpaka nne, na inasemekana wanaacha nafasi kubwa katikati Kwa ajili ya mwendo Kasi,

Sema sasa MAIGIZO ni mengi yaani ni kama mambo hayaendi!!

Nata to Igoma:- barabara mkandarasi anabandua lami anaacha vumbi 😁 afu kaanzia mabatini 😁😁

Pamba to Buhongwa:- mkandarasi Bado Yuko mkuyuni 😁 na daraja kalizila sijui??😁😁

Niwapongeze serikali angalau wakandarasi wako site ila acheni MAIGIZO kama mnajenga zijengeni kweli muondoe hii karaha!!

Nalile soko la samki mliloliweka mbele ya benki kuu kwakweli mmeuchafua mji vibaya mno, pale mlipaswa KUWEKA eneo la kupumzika na sio soko!!

Lakini pale mnapojenga MADARAJA ya SGR , mlipeni mchina basi apamalizie 😁😁😁 mnatutia aibu bana!!

Msisahau kumalizia na lami ya kwenda hospitali ya wilaya ya Ilemela
 
Kwa mwanza hzo barabara bado zilikuwa zinatosha kabisa,ila ni uoga wa huyo kikongwe,sahv kila kitu anachokifanya ni anataka kubak ikulu
 
Katika pitapita zangu mjini mwanza, nimeona barabara kuu mbili zote zina wakandarasi zikiboreshwa kutoka njia mbili mpaka nne, na inasemekana wanaacha nafasi kubwa katikati Kwa ajili ya mwendo Kasi,

Sema sasa MAIGIZO ni mengi yaani ni kama mambo hayaendi!!

Nata to igoma:- barabara mkandarasi anabandua lami anaacha vumbi 😁 afu kaanzia mabatini 😁😁

Pamba to Buhongwa:- mkandarasi Bado Yuko mkuyuni 😁 na daraja kalizila sijui??😁😁

Niwapongeze serikali angalau wakandarasi wako site ila acheni MAIGIZO kama mnajenga zijengeni kweli muondoe hii karaha!!

Nalile soko la samki mliloliweka mbele ya benki kuu kwakweli mmeuchafua mji vibaya mno, pale mlipaswa KUWEKA eneo la kupumzika na sio soko!!

Lakini pale mnapojenga MADARAJA ya SGR , mlipeni mchina basi apamalizie 😁😁😁 mnatutia aibu bana!!

Msisahau kumalizia na lami ya kwenda hospitali ya wilaya ya Ilemela
kura
 
Kwa mwanza hzo barabara bado zilikuwa zinatosha kabisa,ila ni uoga wa huyo kikongwe,sahv kila kitu anachokifanya ni anataka kubak ikulu
Ile ya pamba to usagara inahitajika kuwa hata njia 6, maana foleni ni kubwa sana

Shida sasa MAIGIZO ni mengi 😁😁
 
Back
Top Bottom