Maimartha asema atarusha instalive siku ya kujifungua

Hat
Wanawake wengine acheni ulimbukeni wa teknolojia..mabalaa mengine mnajitakiaga wenyewe, hata kama tupo kidijitali, maadili yazingatiwe

Mnajidhalilisha wenyewe kisa tu ufahari na kutaka sifa zisizo na maana
Hatutaki sasa
 
Kwani siku kaolewa tena shost? Na huyo pdidy wake yupo wp?
 

Ukiona Jambazi Mkuu anaamua Kuokoka na kuwa mpinga Ujambazi wa aina yoyote ile basi ni jambo la kheri na la kumshukuru sana Mwenyezi Mungu wetu.
 
mbona wakati wa kufanya mambo mpaka akapata ujauzito hakuweka live tuone.....acheni ulimbukeni , fanyeni kazi.
 
Hatimaye anataka kuzaa sasa! Amuombe sana Mungu ajifungue salama halafu mtoto awe kamii
 
Mtu mzima kisheti, Muhenga anayegoma kukubaliana na hali yake huu ulikuwa wakati wake wakulea wajukuu sio kuzaa yeye, atulie tu ashakuwa zilipendwa tena ya matonya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…