Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pale alikuwa Kwenye 24 au 25
Kifupi alitaka kuwaonesha watu kuwa ana mimba ya zaidi ya miez miwili.
Majibu halisi ya kupima UKIMWI huwa anapewa mhusika binafsi kwa mdomo, hizo vitu vya kuandikwa ni rubbish tu. Chochote kinaweza kuandikwa lakini kisiwe halisi.
Yote tisa, yule ni bibi, tena Kikongwe kusema ana miaka 29 ni kujaribu tu kucheza na Akili za watu.
Yote tisa, kumi ni kutafuta Kick tu.
Mnataka kusema yule Maimasa wa Sta tv ni mdogo kwangu wakati mimi nilikuwa nasoma shule ya msingi yeye akiwa mtangazaji miaka ya 2000! Halafu niliwahi kuanza shule
kibibi halafu anajikuta kigoli...nyambaaafUmempendelea huyo 40+