Yesss dearJackpot bingo pamoja na monalisa
Wewe jamaa kila post upo!!kibibi halafu anajikuta kigoli...nyambaaaf
Khaaa wema kashatimiza miaka 29[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hyo wanalingana na huyu ajuzaView attachment 613870
Mtangazaji mahiri Maimartha ameamua kuweka majibu yake ya kipimo cha Ukimwi hadharani kutokana na watu kumsema Sana yeye ni muathirika
View attachment 613873
Baada ya kuweka majibu hadharan ndipo watu walipobaini umri wake kumbe ana miaka 29 amemzidi Wema Sepetu miaka 2.
Yes dear ....akina monalisa sijui nilikuwa la ngapi!?....Hapo maimatha anagawa kipapa kwa wacongo kina Jb wa wenge musica ( tunasoma udaku hapo gazeti la KIU na SANI)Enzi za Jackpot bingo
Utaibiwa weweIla we dada tangu nimeanza kukuona nakuzimia sana,naipenda hiyo sura yako,soft skin na hilo cheko.
Ndo kwanza Giggy money ana 19 mkuuKuna watu miaka yao huwa haisogei kabisa yani, mpaka mwanangu atafikisha hiyo miaka wakati wao wakiwa hapo hapo!
Wanatumia njia gani kuupiga umri stop?
Life Is Not FairKuna watu miaka yao huwa haisogei kabisa yani, mpaka mwanangu atafikisha hiyo miaka wakati wao wakiwa hapo hapo!
Wanatumia njia gani kuupiga umri stop?
Walau hapo wengi tungekubaliana naeJamani, Mimi naona kama labda ni tarehe maana title uake hapo ni date of birth "29" ila mwezi na mwaka havijawekwa.
Najaribu kuwaza kwa sauti ila japo kama age yake kaandika kutaja kuwa ndiyo *29* mmmmmmmh basi anatimia style ya B.C, kuhesabu umri wake.
Lakini katika hali halisi huyo kuanzia mwaka 1995+ tayari aliisha anza utangazaji na kufunua zipu za wababu huku mitaani na hapo alikuwa kama 20+.
Umri wake halisi :-
Chukua 20+ ya wakati huo 1995+,
Kisha chukua 2017-1995 = 21.
Basi, at least yuko hapa 20 + 21 = 41 years old.
Umri wake wa sasa ni 41.
Akikataa vyeti vyake vipo hadi shule.
Japo umri wake siyo issue sana kuhusu, na umri wake halisi asilaumiwe maana hahitaji kwenda shule.
BTW, katika huu uzi nimejifunza kuwa , ukijitaja upande usio wako jamii itakuelekeza unako-stahili.
Handbags zikifanyiwa searching ukweli utajulikana.Liyumba si alipita, hamna negative wala nini. Anajifariji tu.
Jamani, Mimi naona kama labda ni tarehe maana title uake hapo ni date of birth "29" ila mwezi na mwaka havijawekwa.
Najaribu kuwaza kwa sauti ila japo kama age yake kaandika kutaja kuwa ndiyo *29* mmmmmmmh basi anatimia style ya B.C, kuhesabu umri wake.
Lakini katika hali halisi huyo kuanzia mwaka 1995+ tayari aliisha anza utangazaji na kufunua zipu za wababu huku mitaani na hapo alikuwa kama 20+.
Umri wake halisi :-
Chukua 20+ ya wakati huo 1995+,
Kisha chukua 2017-1995 = 21.
Basi, at least yuko hapa 20 + 21 = 41 years old.
Umri wake wa sasa ni 41.
Akikataa vyeti vyake vipo hadi shule.
Japo umri wake siyo issue sana kuhusu, na umri wake halisi asilaumiwe maana hahitaji kwenda shule.
BTW, katika huu uzi nimejifunza kuwa , ukijitaja upande usio wako jamii itakuelekeza unako-stahili.