Maimartha wa Jesse ameweka majibu yake ya UKIMWI hadharani

Majibu ya Ukimwi yanaandikwa Reactive au Non Reactive au siyo Sky Eclat
 
Kuna watu miaka yao huwa haisogei kabisa yani, mpaka mwanangu atafikisha hiyo miaka wakati wao wakiwa hapo hapo!

Wanatumia njia gani kuupiga umri stop?
Heee kumbe analingana na kaseja
Manake kaseja wakiitwa under 20 atajitokeza mika yake haiongezekagiiiiiii
 
[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
wee wema ana zaidi ya salasini halafu umri wa hospitali magumashii mi naandikaga uongo kila leo
 
Biashara imekaza inabidi ubunifu kidogo ili tuwaaminishe wateja kuwa ni og.
 


Nyani Ngabu,

Ni Kweli hata comment yangu ya kwanza niliweka wazi kabisa kuwa Labda hiyo 29 ni tarehe ambayo haikuwekewa mwezi na mwaka wa kuzaliwa.

Tena, subheading inaonesha "date of birth" ambayo ni controversial clause of words.


Ila huyo Dada hata kama hajaweka umri wake hapo kwenye hiyo doc ya hospital lakini tunamfahamu 40+ years old.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…