Main theme ya "Squid Game" ni "Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"

Main theme ya "Squid Game" ni "Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"

Jerlamarel

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2021
Posts
843
Reaction score
2,525
"Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"
Binafsi siwezi, kwa umri niliofikia na kutembelea sehemu na maofisi mbalimbali, nikijumlisha na life la mtaani kwangu na kibaruani kwangu jinsi watu wanavyoishi hakika sina imani na mtu yeyoteee.

ALI.jpg

Rafu aliyochezewa huyu mwamba mpaka ilibidi acheke tuu, na ndio rafu ambazo tunachezeana sana maishani, hiyo yote ni kwa sababu ya kuamini sana watu akidhani watu wote ni wema kama yeye.

SG.png
 
"Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"​
Binafsi siwezi, kwa umri niliofikia na kutembelea sehemu na maofisi mbalimbali, nikijumlisha na life la mtaani kwangu na kibaruani kwangu jinsi watu wanavyoishi hakika sina imani na mtu yeyoteee.

View attachment 1981632
Rafu aliyochezewa huyu mwamba mpaka ilibidi acheke tuu, na ndio rafu ambazo tunachezeana sana maishani, hiyo yote ni kwa sababu ya kuamini sana watu akidhani watu wote ni wema kama yeye.

View attachment 1981633
Squid game ni balaa you will be eliminated green light ,,red light
 
Aah ndo yule kizee kinamove pale uwanjan kam Rangoo
Hikohiko, ndiyo kimastermind chenyewe, ni kitajiri sana lkn kimekulia kwenye maisha ya umasikini akapambana na hatimaye akatoboa, sasa hapo alipo alikuwa kwenye siku zake za mwishomwisho maana alikuwa na kansa ya ubongo.

Akaona asife kabla hajakumbushia michezo yake ya utotoni, lkn sasa yeye akaigeuza kuwa "Real Game", ukiwa terminated ni kweli unakufa kiukwelikweli, sasa washiriki walidhani ni mchezo kama soka kwamba ukifungwa unaaga mashindano, kumbe unakufa[emoji23]
 
Hikohiko, ndiyo kimastermind chenyewe, ni kitajiri sana lkn kimekulia kwenye maisha ya umasikini akapambana na hatimaye akatoboa, sasa hapo alipo alikuwa kwenye siku zake za mwishomwisho maana alikuwa na kansa ya ubongo.

Akaona asife kabla hajakumbushia michezo yake ya utotoni, lkn sasa yeye akaigeuza kuwa "Real Game", ukiwa terminated ni kweli unakufa kiukwelikweli, sasa washiriki walidhani ni mchezo kama soka kwamba ukifungwa unaaga mashindano, kumbe unakufa[emoji23]
Oh Il Nam kama alivojiita kwenye Game.. anasema Masikini sana na Tajiri sana wote wana almost the same struggles.. kama huwezi kununua unachotaka huna tofauti na anayeweza nunua kila atakacho.. at this point life becomes boring.

Ndicho kilichomkuta, alikuwa na pesa mingi, maisha yake yakawa boring so he needed some fun..and Fun was SQUID GAME!

Je nini Kitatokea Kuhusu Brother ake In-Ho (Front Man).. Je Gi Hun atarudi Upya kwenye GAME?

Na yule mwamba anayerecruit itakuaje? (Aliyemrecruit Gi Hun to the Game)

Okay so far.. Squid 🐙 Game ni Story ya Filamu ya mwaka 2009 iliyokataliwa mara nyingi mpaka mwaka huu.. ndo ikakubaliwa kishingo upande..

Mchezo huu uligharimu dola 21M kuuandaa na ndani ya wiki 3 tu toka uachiliwe umeingiza zaidi ya Dola za Kimarekani 900M. What a return!!

Let's ✋
 
Hapa nilipo nipo na majonzi sana.
Rafiki yangu wa ukweli last week end alilewa sana!
Akaenda klab akiwa na washkaj wengine wakalewa wakiwa na madem...

Wakati akitoka klab akagongana na gari ingine.sababu ni mapombe akaona ni msala akaondoka kuwahi nyumbani.

Asubuhi yake jpili ananipigia sim kwamba amegonga gari ya mke wake.
Anaomba iwe jua au mvua niseme kwamba nilikuwa nae wakati wa tukio na tulikuwa sehemu tumepaki tukagongwa.

Mi nikaona huu ni UKEI nikamtumia mesej mke wake kwamba jamaa amegongwa hakuwa na mimi..

Alikuwa na madem wengine na wasela wengine kwahiyo mi sikuwepo siku hiyo nilikuwa nimelala zangu...

Jamaa akanipia simu analia mbaya kabisa...
I trusted u my friend but u become a fvckin dick...
Au unataka unilie mke wangu kwann umemwambia na kuharibu wakti nilishampanga akaelewa ikaisha!!

Huku nafsi inaniuma nikamjibu GO FVCK URSELF MAZACHODRI
 
Oh Il Nam kama alivojiita kwenye Game.. anasema Masikini sana na Tajiri sana wote wana almost the same struggles.. kama huwezi kununua unachotaka huna tofauti na anayeweza nunua kila atakacho.. at this point life becomes boring.

Ndicho kilichomkuta, alikuwa na pesa mingi, maisha yake yakawa boring so he needed some fun..and Fun was SQUID GAME!

Je nini Kitatokea Kuhusu Brother ake In-Ho (Front Man).. Je Gi Hun atarudi Upya kwenye GAME?

Na yule mwamba anayerecruit itakuaje? (Aliyemrecruit Gi Hun to the Game)

Okay so far.. Squid 🐙 Game ni Story ya Filamu ya mwaka 2009 iliyokataliwa mara nyingi mpaka mwaka huu.. ndo ikakubaliwa kishingo upande..

Mchezo huu uligharimu dola 21M kuuandaa na ndani ya wiki 3 tu toka uachiliwe umeingiza zaidi ya Dola za Kimarekani 900M. What a return!!

Let's ✋
Aah ni bonge moja la series
 
Back
Top Bottom