Main theme ya "Squid Game" ni "Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"

Main theme ya "Squid Game" ni "Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"

Oh Il Nam kama alivojiita kwenye Game.. anasema Masikini sana na Tajiri sana wote wana almost the same struggles.. kama huwezi kununua unachotaka huna tofauti na anayeweza nunua kila atakacho.. at this point life becomes boring.

Ndicho kilichomkuta, alikuwa na pesa mingi, maisha yake yakawa boring so he needed some fun..and Fun was SQUID GAME!

Je nini Kitatokea Kuhusu Brother ake In-Ho (Front Man).. Je Gi Hun atarudi Upya kwenye GAME?

Na yule mwamba anayerecruit itakuaje? (Aliyemrecruit Gi Hun to the Game)

Okay so far.. Squid 🐙 Game ni Story ya Filamu ya mwaka 2009 iliyokataliwa mara nyingi mpaka mwaka huu.. ndo ikakubaliwa kishingo upande..

Mchezo huu uligharimu dola 21M kuuandaa na ndani ya wiki 3 tu toka uachiliwe umeingiza zaidi ya Dola za Kimarekani 900M. What a return!!

Let's ✋
Ni kweli kabisa, kwenye maisha huenda wanaoenjoy to the maximum ni wale wenye kipato cha kati. Ukiwa huna kitu kabisa life becomes a mess vivyo hivyo na ukiwa nacho.

Front man lazima atarudi na nadhani ndiye kaachiwa mikoba na kaka ake.

-.png



-.jpg


Gi Hun naye lazima awemo maana mwishoni kabisa alimfumania yule mwamba aliyem-recruit akiendelea na ileile michezo yake ya kuwapa watu business card na mwisho wa siku wanajikuta wamo kwenye Squid Arena.

-.jpg
 
Hapa nilipo nipo na majonzi sana.
Rafiki yangu wa ukweli last week end alilewa sana!
Akaenda klab akiwa na washkaj wengine wakalewa wakiwa na madem...

Wakati akitoka klab akagongana na gari ingine.sababu ni mapombe akaona ni msala akaondoka kuwahi nyumbani.

Asubuhi yake jpili ananipigia sim kwamba amegonga gari ya mke wake.
Anaomba iwe jua au mvua niseme kwamba nilikuwa nae wakati wa tukio na tulikuwa sehemu tumepaki tukagongwa.

Mi nikaona huu ni UKEI nikamtumia mesej mke wake kwamba jamaa amegongwa hakuwa na mimi..

Alikuwa na madem wengine na wasela wengine kwahiyo mi sikuwepo siku hiyo nilikuwa nimelala zangu...

Jamaa akanipia simu analia mbaya kabisa...
I trusted u my friend but u become a fvckin dick...
Au unataka unilie mke wangu kwann umemwambia na kuharibu wakti nilishampanga akaelewa ikaisha!!

Huku nafsi inaniuma nikamjibu GO FVCK URSELF MAZACHODRI
Naona umeamua kuwa huyu mwamba hapa chini[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

l-intro-1632428175.jpg
 
Jamen ni stori ndefu sana na sina mood ya kutype, lakini huo ndio ujumbe mkuu kabisa unaopatikana mwishoni kabisa ambapo mastermind wa mchezo mzima alimpa mshindi, na huyo mastermind ni kikongwe sana ambaye naye pia alikuwemo kwenye game kama mshiriki.
Hivo huo ushindi alipewa au he earned it..maana mle hakuna kubebana
 
Hivo huo ushindi alipewa au he earned it..maana mle hakuna kubebana
He earned it Ila kwa sacrifice sana maana walikufa watu wake wa karibu sana, hivyo mwisho wa siku hata kuzitumia zile pesa ikawa ni ngumu sababu ya guilt.

Pesa aliyotumia ni ile aliyompa mama wa rafiki yake ambaye ndiye alimwachia mdogo wake na yule dada walokuwa wote kwenye game.
 
Hikohiko, ndiyo kimastermind chenyewe, ni kitajiri sana lkn kimekulia kwenye maisha ya umasikini akapambana na hatimaye akatoboa, sasa hapo alipo alikuwa kwenye siku zake za mwishomwisho maana alikuwa na kansa ya ubongo.

Akaona asife kabla hajakumbushia michezo yake ya utotoni, lkn sasa yeye akaigeuza kuwa "Real Game", ukiwa terminated ni kweli unakufa kiukwelikweli, sasa washiriki walidhani ni mchezo kama soka kwamba ukifungwa unaaga mashindano, kumbe unakufa[emoji23]
Ha ha ile game ya green light, red light baada ya kuanza kupelekewa moto walipagawa [emoji1][emoji1]
 
Oh Il Nam kama alivojiita kwenye Game.. anasema Masikini sana na Tajiri sana wote wana almost the same struggles.. kama huwezi kununua unachotaka huna tofauti na anayeweza nunua kila atakacho.. at this point life becomes boring.

Ndicho kilichomkuta, alikuwa na pesa mingi, maisha yake yakawa boring so he needed some fun..and Fun was SQUID GAME!

Je nini Kitatokea Kuhusu Brother ake In-Ho (Front Man).. Je Gi Hun atarudi Upya kwenye GAME?

Na yule mwamba anayerecruit itakuaje? (Aliyemrecruit Gi Hun to the Game)

Okay so far.. Squid [emoji223] Game ni Story ya Filamu ya mwaka 2009 iliyokataliwa mara nyingi mpaka mwaka huu.. ndo ikakubaliwa kishingo upande..

Mchezo huu uligharimu dola 21M kuuandaa na ndani ya wiki 3 tu toka uachiliwe umeingiza zaidi ya Dola za Kimarekani 900M. What a return!!

Let's [emoji113]
Squid [emoji1653]
Octopus [emoji223]
 
Ali's role in squid game taught us that no matter how kind or innocent you are, some people will still abuse and use you.

And the saddest thing about betrayal is that it never comes from enemies, it comes from those you trust
 
Oh Il Nam kama alivojiita kwenye Game.. anasema Masikini sana na Tajiri sana wote wana almost the same struggles.. kama huwezi kununua unachotaka huna tofauti na anayeweza nunua kila atakacho.. at this point life becomes boring.

Ndicho kilichomkuta, alikuwa na pesa mingi, maisha yake yakawa boring so he needed some fun..and Fun was SQUID GAME!

Je nini Kitatokea Kuhusu Brother ake In-Ho (Front Man).. Je Gi Hun atarudi Upya kwenye GAME?

Na yule mwamba anayerecruit itakuaje? (Aliyemrecruit Gi Hun to the Game)

Okay so far.. Squid [emoji223] Game ni Story ya Filamu ya mwaka 2009 iliyokataliwa mara nyingi mpaka mwaka huu.. ndo ikakubaliwa kishingo upande..

Mchezo huu uligharimu dola 21M kuuandaa na ndani ya wiki 3 tu toka uachiliwe umeingiza zaidi ya Dola za Kimarekani 900M. What a return!!

Let's [emoji113]
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom