Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Saddest of all episodes[emoji20][emoji20]Vipi kwenye goroli
Kmmke Alli. Daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saddest of all episodes[emoji20][emoji20]Vipi kwenye goroli
Kuna maudhui nyingi Sana kwenye hii series.Jamen ni stori ndefu sana na sina mood ya kutype, lakini huo ndio ujumbe mkuu kabisa unaopatikana mwishoni kabisa ambapo mastermind wa mchezo mzima alimpa mshindi, na huyo mastermind ni kikongwe sana ambaye naye pia alikuwemo kwenye game kama mshiriki.
Nilivyoona kile kizee kina perform vizuri kwenye kila gemu nikahisi moja kwa moja kinahusika japo sikujua kuwa ndio nilikuwa kibosiAah ndo yule kizee kinamove pale uwanjan kam Rangoo
Sabaya akimaliza kesi zake..Season two lini?
Hapa umetupiga nduguHikohiko, ndiyo kimastermind chenyewe, ni kitajiri sana lkn kimekulia kwenye maisha ya umasikini akapambana na hatimaye akatoboa, sasa hapo alipo alikuwa kwenye siku zake za mwishomwisho maana alikuwa na kansa ya ubongo.
Akaona asife kabla hajakumbushia michezo yake ya utotoni, lkn sasa yeye akaigeuza kuwa "Real Game", ukiwa terminated ni kweli unakufa kiukwelikweli, sasa washiriki walidhani ni mchezo kama soka kwamba ukifungwa unaaga mashindano, kumbe unakufa[emoji23]
A😂😂😂🤣 ni balaaaMimi narudia hiyo sehemu kila mara..lile pozi la kuchonga mwamvuli aisee I can't get enough of it..nacheka na anavyotetemeka we acha
Dah! Kwenye goroli panasikitisha sana Sana,Vipi kwenye goroli
Mimi narudia hiyo sehemu kila mara..lile pozi la kuchonga mwamvuli aisee I can't get enough of it..nacheka na anavyotetemeka we acha
Nyie hivi Rango Hana movie nyingine ... Namkubali sanaAah ndo yule kizee kinamove pale uwanjan kam Rangoo
Mwamvuli ilikuwa balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii series ni balaa asee na sehemu iliyonifurahisa ni pale kwenye vi biscuit unachonga ili ukatoe kwenye umbo lake, ukikosea tu unapewa [emoji28][emoji23][emoji23] star wetu kapata mwamnvuli akasema leo nimekufa!?? Nilicheka balaa
Hiki ndicho kilimkosanisha na jamaa na rafiki ake, alimlaumu sana kukubali Ali afe.Kifo cha Ali kilinisikitisha mno.....dah kapewa mawe badala ya gololi
Ahahaha, yule mama alitisha sana, aliwadolishia sana[emoji1787]Hiyo scene ilinisikitisha sana kuliko scenes zote,
Walivyochaguana partners wakijua ndio kusaidiana kumbe ndio ilikua mbaya zaidi kwao maana bora wangekua mbali mbali,
Yule mtu na mkewe daah mwanamke akafa,
Ali alikufa kwa ujinga wake tu me hata sikumuonea huruma, game ya kufa na kupona bado unadanganyika kizembe vile,
Yule jamaa alivyokua anamdhulumu yule mzee huku roho inamuuma, mzee kumbukumbu zilikua zinapotea (ingawa alikua anajifanyisha)
Wale wadada wawili ambapo mmoja ilibidi amuache mwenzie aishi sababu ana mdogo na mama wa kuwaangalia na yeye akijiona ni Yatima,
Kilichonishangaza kwanini hao wote walidhani wangebaki na kwenda kutumia pesa zao pamoja wakati Game inahitaji Mshindi MMOJA tu!?
Nilicheka walivyorudi ndani na kumkuta yule Mama kitandani anacheka tu huku wao wakijua aliuliwa baada ya kukosa partner.
Na hapa ndipo Kuna siri sasa kwa kifupi hii movie inahusu "WEWE NA PESA".Kiufupi hii series kila character alikuwa na somo kubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku.
Hiyo scene ilinisikitisha sana kuliko scenes zote,
Walivyochaguana partners wakijua ndio kusaidiana kumbe ndio ilikua mbaya zaidi kwao maana bora wangekua mbali mbali,
Yule mtu na mkewe daah mwanamke akafa,
Ali alikufa kwa ujinga wake tu me hata sikumuonea huruma, game ya kufa na kupona bado unadanganyika kizembe vile,
Yule jamaa alivyokua anamdhulumu yule mzee huku roho inamuuma, mzee kumbukumbu zilikua zinapotea (ingawa alikua anajifanyisha)
Wale wadada wawili ambapo mmoja ilibidi amuache mwenzie aishi sababu ana mdogo na mama wa kuwaangalia na yeye akijiona ni Yatima,
Kilichonishangaza kwanini hao wote walidhani wangebaki na kwenda kutumia pesa zao pamoja wakati Game inahitaji Mshindi MMOJA tu!?
Nilicheka walivyorudi ndani na kumkuta yule Mama kitandani anacheka tu huku wao wakijua aliuliwa baada ya kukosa partner.
huyu aliponzwa na mapenziHuyu jamaaa alikufa kizembe sanaa
Mpaka udenda ulimtoka[emoji1787][emoji1787]Mimi narudia hiyo sehemu kila mara..lile pozi la kuchonga mwamvuli aisee I can't get enough of it..nacheka na anavyotetemeka we acha
Sio kwamba ilikuwa ni sukari mkuu biskuti ukilamba vile si itateketea mwishowe upigwe shaba..🤣Hii series ni balaa asee na sehemu iliyonifurahisa ni pale kwenye vi biscuit unachonga ili ukatoe kwenye umbo lake, ukikosea tu unapewa 😅😂😂 star wetu kapata mwamnvuli akasema leo nimekufa!?? Nilicheka balaa
Jamaa anadhani wale pia wanaishi kwa kiki kama bongo, namuambia ni kweli ilikataliwa lkn hataki kuamini.Wenzetu sio waongo waongo..hawahitaji hayo mambo ya kiki. Korea uaminifu ni kitu kikubwa na ndio maana hata ukikosea leo/ukidanganya na ikapita hata miaka 10 ikaja kufahamika ukweli basi wanahakikisha kila ulikitengeneza kupitia huo uongo kinaondoka.
Saddest of all episodes[emoji20][emoji20]
Kmmke Alli. Daah
Sabaya kaingiaje humu mkuu[emoji3]Sabaya akimaliza kesi zake..