Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
- Thread starter
- #101
Walijua,walikuwa wanajua kabisa hasa baada ya kurudi mara ya pili kwa hiari yao.Hapana hawakukujua kama mshindi ni mmoja
Kumbuka sheria mojawapo ilikuwa inasema kama majority watavote ku-end the game basi game itaisha kweli lakini hawatapata chochote, so wakavote na game ikaisha.
Walivyorudi mtaani life likaendelea kuwa tight ndipo wakaamua kurudi wenyewe voluntarily.