Labda Kama Netflix wameshiba hela..Sioni likiendelea maana wale watu ambao walikuwa wanainogesha wote wametoka na mahindi katoweja haijulikani kama anaenda kumtafuta mtoto wake huko jwa Biden au lah
Hebu niambie unadhani ni scene gani pale inayoonyesha kuwa itaendelea?Labda Kama Netflix wameshiba hela..
Mkuu tusibishane bure hapa subiri tu tutaona matokeo ila mi nachojua kwamwe jamaa bado hawajashiba hela na elewa lile chimbo halijafahamika ili lidhibitiwe kumbuka jamaa bado wanafanya recruitment!..Hebu niambie unadhani ni scene gani pale inayoonyesha kuwa itaendelea?
Nani kakubishia hapo sasa?Mkuu tusibishane bure hapa subiri tu tutaona matokeo ila mi nachojua kwamwe jamaa bado hawajashiba hela na elewa lile chimbo halijafahamika ili lidhibitiwe kumbuka jamaa bado wanafanya recruitment!..
Jamaa alieshinda fedha bado Kama anakisasi kutokana na aliowapoteza so nahisi huyu jamaa atakuwa adui yao namba moja.. wacha tuone mapiko.
😂 Dah! Sawa mkuu naona umeona Hilo la kubishana tu..!Nani kakubishia hapo sasa?
Alikuwa anakumbukumbu vzr sana mwisho alimwambia kwan sijui kama uliniichukulia golol zangu? Ili uendelee kuish? Ila mzee ndo ivo alikuwa member! Ile kufanya vile hakutak kumtoa jamaa mchezon maana mzee alitokea kumkubal jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivo huo ushindi alipewa au he earned it..maana mle hakuna kubebana
Ha ha ile game ya green light, red light baada ya kuanza kupelekewa moto walipagawa [emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3] mwisho wa siku wakajua hawajuiHahaha eti kupelekewa moto. Na hapa nimejifunza kuwa kabla hujasaini uliza kwanza hicho kilichoandikwa maana yake nini badala ya kujifanya umeelewa. Pale hawakuelewa wenzao walimaanisha nini waliposema watakuwa 'eliminated'
Na ile game ya mwisho ya bridge!!? Au ilikuwa bahati jamaa kuchagua namba ya mwisho katika ushiriki?Hakumkubali jamaa bure. Kama unakumbuka wakati wanaambiwa kuhusu game inayofuata wachaguane wawili wawili, mzee alitengwa kwa sababu alikua anaonekana dhaifu sana. Out of all members ni mshikaji pekee ndio aliamua kumchagua. Kwaiyo mzee alimlipa fadhila, si unajua tena "If you choose me now, I will choose you later". Na inavyoonekana kwenye ile movie, game ya Marbles (gololi) ndio ilikua game ya pekee ambayo ni rahisi ku fake kifo kwa sababu ilikua kwenye vyumba vyumba so ni rahisi mtu kutoonekana akifa. Zingine zote zilikua open space. Na mzee inaonekana alipanga kuishia pale (kwa sababu alikua ndio mastermind) na aliweka mtego kuwa atakae mchagua ndio atakae mzawadia opportunity ya next round.
Anyway, nilichokiona kwenye whole series ni kwamba in this life, the kind hearted people ndio wanao win big in the end. Hawa wazee wa survival for the fittest, me first, I don't care for anyone, na blah blah zingine kibao za kuwasaliti na kuwashinda wengine, huwa wana fika mbali lakini hawawi na mwisho mzuri.
So Be Kind : )
All Love.
Baadae ndio kagundua kuna kuiramba...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....Hii series ni balaa asee na sehemu iliyonifurahisa ni pale kwenye vi biscuit unachonga ili ukatoe kwenye umbo lake, ukikosea tu unapewa [emoji28][emoji23][emoji23] star wetu kapata mwamnvuli akasema leo nimekufa!?? Nilicheka balaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....kilivunjikia mwishoni kwenye mshkio...[emoji1787]...akaficha na mikono.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]......Sio kwamba ilikuwa ni sukari mkuu biskuti ukilamba vile si itateketea mwishowe upigwe shaba..[emoji1787]
Kuna mwamba alipata umbo la mwamvuli akajitahidi akaitoa lakini ikavunjika kule mwishoni kakipande kadogo akaona msinitanie akaanza kukimbia! Hata hakufika mbali yani mule watu wanakufa kama njugu!.
Shaba kitu chengine..😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....kilivunjikia mwishoni kwenye mshkio...[emoji1787]...akaficha na mikono.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]......
Ali hakuamini alichokiona"Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"Binafsi siwezi, kwa umri niliofikia na kutembelea sehemu na maofisi mbalimbali, nikijumlisha na life la mtaani kwangu na kibaruani kwangu jinsi watu wanavyoishi hakika sina imani na mtu yeyoteee.
View attachment 1981632
Rafu aliyochezewa huyu mwamba mpaka ilibidi acheke tuu, na ndio rafu ambazo tunachezeana sana maishani, hiyo yote ni kwa sababu ya kuamini sana watu akidhani watu wote ni wema kama yeye.
View attachment 1981633
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa nini hakuna mtu anamuongelea Sang woo alivyomtupia mwenzie kwenye kioo ili ahakiki kama kinapasuka au no kigumu. Jitu lilikuwa na roho ngumu lile, linakuua huku linakuangalia usoni