Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa niko hapa my dear
Nasubiri uzi wa shingongoo kwa hamu iliiii nimnyeeee naee mpakaaa basii na ubunge akiupata labda wa anganiiii
Kwa hyo na wewe kitu hakipand mlima? Kamuoe bhas wewe kidume
Mkuu nina mke na Mungu ametujalia mtoto mmoja wa kike.Kwa dini yngu hairuhusu ndoa za mitaala.
Da nimeamini wanaume tupo wachache sana na uchache humohumo kuna mashoga,wengine kitu hakipandi mlima. Mainda atapata shida sana kupata mwanaume wa kumuoa.
mbona ka ana kibendi au ndio vile vya nyama choma na serengeti
Nasubiri uzi wa shingongoo kwa hamu iliiii nimnyeeee naee mpakaaa basii na ubunge akiupata labda wa anganiiii
Ha ha ha ha tupo wengi na warumi anajua tunaungojea kwa hamu anajichelewesha
Kula likeee leo umenenaa vyemaa
Kudadadeki!!! Una bifu naeeee!!
hutaki Kuchepuka ?? bas sawaa
sisi bado tunakula ujana, msalimie shem