Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,017
- 5,462
Nilikuwa napenda sana kula maini ya wanyama wote wanaoliwa . Yote yawe ya kuchemsha, kurosti au kuchoma.
Daktari mmoja alinikuta nakula akanishauri niache kabisa mazoea haya. Aliniambia kuwa " ini ndicho kiungo kinachopokea na kuchuja sumu ya chakula anachokula mnyama hivyo basi maini yanakuwa na sumu nyingi isiyofaa kwa afya yako". Nimevumilia siku nyingi ila leo nimeyamisi mno .
Wadau nipeni ukweli maana nikiyakumbuka hata nanii ikasome jinsi ninavyoyamisi.
Daktari mmoja alinikuta nakula akanishauri niache kabisa mazoea haya. Aliniambia kuwa " ini ndicho kiungo kinachopokea na kuchuja sumu ya chakula anachokula mnyama hivyo basi maini yanakuwa na sumu nyingi isiyofaa kwa afya yako". Nimevumilia siku nyingi ila leo nimeyamisi mno .
Wadau nipeni ukweli maana nikiyakumbuka hata nanii ikasome jinsi ninavyoyamisi.