Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

Kwann Mbowe asitoe maelekezo kwamba wafuasi wote wa upinzani waombe kujiunga CCM.

Waisifie CCM, waende wakaongeze ushindani wa kupongeza ndani ya CCM.

Humu jukwaani Woote tuwe CCM, asiwepo mpinzani hata mmoja. Na kila elekezo linalotolewa na CCM lipongezwe sana. Mada ziwe ni kupongeza tu bila kuchoka.
Ccm tena watapinga na hili.😅😅😅
 
Back
Top Bottom