Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Kuna vita mpya huko baina ya ndugu wa marehemu na msimamizi wa mirathi. Kulikoni Je ni ile laana iliyosemwa au ndio kujifariji kwenyewe?Laana unaijua wewe. ..endeleeni kujifariji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vita mpya huko baina ya ndugu wa marehemu na msimamizi wa mirathi. Kulikoni Je ni ile laana iliyosemwa au ndio kujifariji kwenyewe?Laana unaijua wewe. ..endeleeni kujifariji
AiseeInasikitisha haya yanafanywa na tume iliyoundwa na Majaji na Wasomi. Haya yanasimamiwa na Majenerali wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Hii yote ni kumfurahisha Mwenyekit
DuuhKibaya zaidi tofauti na watangulizi wa nyuma, Rais Magufuli hajui na hawezi kuunganisha Taifa kwa kauli na matendo yake na amezungukwa na wabinafsi wa hali ya juu.
May be ni kujifarijiKuna vita mpya huko baina ya ndugu wa marehemu na msimamizi wa mirathi. Kulikoni Je ni ile laana iliyosemwa au ndio kujifariji kwenyewe?
Ccm tena watapinga na hili.😅😅😅Kwann Mbowe asitoe maelekezo kwamba wafuasi wote wa upinzani waombe kujiunga CCM.
Waisifie CCM, waende wakaongeze ushindani wa kupongeza ndani ya CCM.
Humu jukwaani Woote tuwe CCM, asiwepo mpinzani hata mmoja. Na kila elekezo linalotolewa na CCM lipongezwe sana. Mada ziwe ni kupongeza tu bila kuchoka.
Nini ilikuwa hatima ya hizi ajira hewa?Lissu amesema kidogo tu madogo wametangaziwa ajira 13,000 za ualimu bila upinzani ingekuwaje kwa wadogo zetu.
Kuanzia tu alipojiunga nao nili-unsubscribe kwenye channel yake.Askofu unaiba kura kweli??
Mungu anajibu maombiKuna giza nene kwa Tanzania.
Mtu mmoja anaweza kuliangamiza Taifa, na mtu mmoja anaweza kuliokoa Taifa.
Kaka wa marehemu yule mwenye kiburi kashaachia ngazi... Wako wanaofuatia...May be ni kujifariji