James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Hata serikali itamzika, sijawahi kuona maiti inagaragara njianiHujui lolote unaleta longo longo tu.
Yoda amesema huna dini ukifa utazikwaje?
Nikamuuliza kwani wapagani hawazikwi,?
Ukaanza ni quote na kusema mpagani sio atheist.
Kama kweli uko bright mkuu huoni kama ulikurupuka bila kuelewa? Wapi nilisema mpagani ni atheist?
Nionyesha hiyo kauli naahidi kuondoka jf mazima.
Ulimwengu wa roho ni sawasawa na ulimwengu wa kufikirika.Kwani neno tunaposema "Ulimwengu we roho" wewe hili neno unaelewaje ?
Ulimuona kipindi anakupatia?🤔Jibu ni NDIO.
Bom tuu likipigwa unakimbia,Mungu muumba wa vyote akikutokea utasimama wewe!Thibitisha huyo Mungu yupo.
Ukishindwa wewe unayedai Mungu huyo yupo ilhali huwezi kumthibitisha yupo ndio Mpumbavu.
Unadai kitu kipo halafu kuki thibitisha huwezi.
Jibu ni NDIO!Ulimuona kipindi anakupatia?🤔
Ndio maana nikamuuliza aliesema kama mtu hana dini akifa atazikwaje. Nikauliza kwani mpagani akifa hazikwi?Hata serikali itamzika, sijawahi kuona maiti inagaragara njiani
Wapi ?Jibu ni NDIO!
Huyo Mungu hajawahi kutokea popote pale kwa vile hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.Bom tuu likipigwa unakimbia,Mungu muumba wa vyote akikutokea utasimama wewe!
Wajinga hawatakuelewaHabari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Mpagani atazikwa na imani yake ya asiliNdio maana nikamuuliza aliesema kama mtu hana dini akifa atazikwaje. Nikauliza kwani mpagani akifa haziwekwi?
Mkuu upo level ya OFFLINE (analogy) ulibakisha hatua kadhaa KUIFIKIA INTERNET ili kua ONLINE(digital),Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
ProveWewe siyo mtu wa kwanza kumkataa Mungu,wapo wenzio kibao ambao wapo makaburini
Fanya tafiti fupi tu ya kwenda huko nlikokueleza, Kajifunze mambo mapya ambayo hayakuwahi ku make sense kwenye ufahamu wakoUlimwengu wa roho ni sawasawa na ulimwengu wa kufikirika.
Ulimwengu uliopo ni huu huu unao onekana.
Hiyo "roho" ni dhana uchwara, iliyo pachikwa na wahuni wahuni tu.
Hakuna ulimwengu wa roho.
Kama kuna ulimwengu mwingine usio onekana, Wewe uliuona wapi huo ulimwengu usionekana ukajua upo?Mkuu upo level ya OFFLINE (analogy) ulibakisha hatua kadhaa KUIFIKIA INTERNET ili kua ONLINE(digital),
Kijana huu ulimwengu unaouona hauishii hapa tu, kuna ulimwengu mwingine usioonekana kwa kumtumia hii milango mitano ya fahamu.
Kuna ulimwengu wa kiroho kufahamu huu ulimwengu hakuhitaji uwe umesoma Cuba/Akili kubwa/genius wala D mbili... kinachohitajika ni imani hata kidogo tu inatosha.
Nakupa mfano ingawaje haukidhi vigezo vya kuuelezea ulimwengu wa kiroho ila utakupa picha/mwangaza angalau.;
Chukulia mfano Binadamu ni kama kompyuta (mahsusi SIMU JANJA)
🔘ULIMWENGU WA MWILI NI (OFFLINE),
▶ Mambo mengi hapo yanafanyika physically vitu kama kusoma elimu, michezo, shughuli za kiuchumi na huduna mbalimbali, ni sawa sawa na kuandaa mafaili mbalimbali kama PDF spreadsheet, coding. Pia ku play file kama muziki movie offline pia vilevile kushare files mbalimbali kutoka simu moja kwenda nyingine kwa njia kama Bluetooth, USB CABLE etc
🔘ULIMWENGU WA ROHO NI (INTERNET)
▶ Huku kuna malango(sites) Kumbuka katika ulimwengu wa ROHO kuna wa Nuru na ulimwengu wa ROHO wa giza kila mmoja una namna yake ya kuingia Kutokana na dhamira ya madhabau uliyo jiungia. Sasa hii ni sawa sawa na Internet ambayo ndani yake kuna websites/tovuti tofauti tofauti zilizozidiana uwezo ulinzi na muundo tofauti tofauti kulingana na kazi yake.
Nyingine kujiunga bure zingine Zina-subscription fee, KYC, COOKIES, Zingine una-accept terms and conditions unaingia ndani.
🔘KUUJUA ULIMWENGU WA ROHO NI KAMA KUA (ONLINE)
▶ hapa kuna makundi Mbalimbali Kulingana na ulimwengu uliopo ulimwengu wa kiza ndio uchawi Uganga ushirikina freemasonry etcmajini.
Upande wa nuru huku tunatarajia kukutana na wachungaji mitume manabii shekh, malaika etc.
Sasa Mkuu... watu wengi wanaobeza uwepo wa MUNGU (Ulimwengu wa ROHO) yaani hawaamini Mungu yupo wala hawaamini uchawi asilimia kubwa watu wa aina hii wangekua simu(kompyuta) tungesema ni vifaa ambavyo havijawahi kupata access na INTERNET (DATA ZIKO OFF) SHUGHULI zao zote ni offline na ikitokea device imecollapse basi kwisha habali yake maana hakuna backup yeyote katika cloud storage system... Ukiwaambia kuna cloud computing yenye uwezo mkubwa huko katika Internet hawasadiki.
Watu wengi wanashughulika na mambo mengi wakiwa offline wamemaliza dadisi/tafiti na sayansi mbalimbali wakiwa offline na kuifikia hitimisho kua jambo hili haliwezekani kwakua huku offline silioni basi hiki kitu hakipo!!! My friend washa DATA Ingia mtandaoni yasiyowezekana offline, Online yanawezekana.
Unaweza kueleza ulimwengu wa kiroho kupitia biblia kama ushahidi?Mkuu upo level ya OFFLINE (analogy) ulibakisha hatua kadhaa KUIFIKIA INTERNET ili kua ONLINE(digital),
Kijana huu ulimwengu unaouona hauishii hapa tu, kuna ulimwengu mwingine usioonekana kwa kumtumia hii milango mitano ya fahamu.
Kuna ulimwengu wa kiroho kufahamu huu ulimwengu hakuhitaji uwe umesoma Cuba/Akili kubwa/genius wala D mbili... kinachohitajika ni imani hata kidogo tu inatosha.
Nakupa mfano ingawaje haukidhi vigezo vya kuuelezea ulimwengu wa kiroho ila utakupa picha/mwangaza angalau.;
Chukulia mfano Binadamu ni kama kompyuta (mahsusi SIMU JANJA)
🔘ULIMWENGU WA MWILI NI (OFFLINE),
▶ Mambo mengi hapo yanafanyika physically vitu kama kusoma elimu, michezo, shughuli za kiuchumi na huduna mbalimbali, ni sawa sawa na kuandaa mafaili mbalimbali kama PDF spreadsheet, coding. Pia ku play file kama muziki movie offline pia vilevile kushare files mbalimbali kutoka simu moja kwenda nyingine kwa njia kama Bluetooth, USB CABLE etc
🔘ULIMWENGU WA ROHO NI (INTERNET)
▶ Huku kuna malango(sites) Kumbuka katika ulimwengu wa ROHO kuna wa Nuru na ulimwengu wa ROHO wa giza kila mmoja una namna yake ya kuingia Kutokana na dhamira ya madhabau uliyo jiungia. Sasa hii ni sawa sawa na Internet ambayo ndani yake kuna websites/tovuti tofauti tofauti zilizozidiana uwezo ulinzi na muundo tofauti tofauti kulingana na kazi yake.
Nyingine kujiunga bure zingine Zina-subscription fee, KYC, COOKIES, Zingine una-accept terms and conditions unaingia ndani.
🔘KUUJUA ULIMWENGU WA ROHO NI KAMA KUA (ONLINE)
▶ hapa kuna makundi Mbalimbali Kulingana na ulimwengu uliopo ulimwengu wa kiza ndio uchawi Uganga ushirikina freemasonry etcmajini.
Upande wa nuru huku tunatarajia kukutana na wachungaji mitume manabii shekh, malaika etc.
Sasa Mkuu... watu wengi wanaobeza uwepo wa MUNGU (Ulimwengu wa ROHO) yaani hawaamini Mungu yupo wala hawaamini uchawi asilimia kubwa watu wa aina hii wangekua simu(kompyuta) tungesema ni vifaa ambavyo havijawahi kupata access na INTERNET (DATA ZIKO OFF) SHUGHULI zao zote ni offline na ikitokea device imecollapse basi kwisha habali yake maana hakuna backup yeyote katika cloud storage system... Ukiwaambia kuna cloud computing yenye uwezo mkubwa huko katika Internet hawasadiki.
Watu wengi wanashughulika na mambo mengi wakiwa offline wamemaliza dadisi/tafiti na sayansi mbalimbali wakiwa offline na kuifikia hitimisho kua jambo hili haliwezekani kwakua huku offline silioni basi hiki kitu hakipo!!! My friend washa DATA Ingia mtandaoni yasiyowezekana offline, Online yanawezekana.
Hawezi kutokea kamweBom tuu likipigwa unakimbia,Mungu muumba wa vyote akikutokea utasimama wewe!
I think 🤔🤔 this guy is geniusKama kuna ulimwengu mwingine usio onekana, Wewe uliuona wapi huo ulimwengu usionekana ukajua upo?
Kama huo Ulimwengu hauonekani, wewe uliwezaje kuuona?
Kama umeweza kuuona ulimwengu usio onekana, Huoni kwamba tayari huo ni ulimwengu unao onekana?
Nimejua umeshanielewa vizuri , kweli sio lazima 😆Sio lazima azikwe kwa imani yake ya asili.
Je akizikwa na city watafata utaratibu wake wa kuabudu miungu?
Ulimwengu ni huu huu mmoja.Fanya tafiti fupi tu ya kwenda huko nlikokueleza, Kajifunze mambo mapya ambayo hayakuwahi ku make sense kwenye ufahamu wako
( Jifunze kuwa mdadisi wa vitendo, Hapa Jf utabishana hadi siku utakapotoweka Duniani na usifike hitimisho )