ideathinker
JF-Expert Member
- Jul 29, 2024
- 262
- 386
Kabisa yaani mwanzo mwisho kutupumbaza nakutufanya wema tusipiganie haki yetu ya katiba 😭any way tumeshashitukaTumepigwa pakubwa Sana hapa kwenye dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaani mwanzo mwisho kutupumbaza nakutufanya wema tusipiganie haki yetu ya katiba 😭any way tumeshashitukaTumepigwa pakubwa Sana hapa kwenye dini
Mazombie.(Isaya 32:6 )
Maana mpumbavu atanena yaliyo upumbavu, na moyo wake utafanya maovu, ili kutenda hila na kusema yasiyo kweli juu ya BWANA, ili kuziacha nafsi za watu wenye njaa hazina kitu, na kukikomesha kinywaji chake mwenye kiu.
Hujui lolote unaleta longo longo tu.Kuna tofauti ya atheist na mpagani, nimekuacha utafute mwenyewe ila naona umeshindwa.
Treat others as you wish to be treated.Mazombie.
Freemason ni kikundi cha watu tu wenye nguvu kubwa kiuchumi, kisiasa na kwenye jamii kiujumla.Kama hayupo freemason wanatuchota ? 🤔
Kwani wapagani hawana dini? 🤔Hujui lolote unaleta longo longo tu.
Yoda amesema huna dini ukifa utazikwaje?
Nikajimuuliza kwani wapagani hawazikwi,?
Ukaanza ni quote na kusema mpagani sio atheist.
Kama kweli uko bright mkuu huoni kama ulikurupuka bila kuelewa? Wapi nikisema mpagani ni atheist?
Nionyesha hiyo kauli naahidi kuondoka jf mazima.
Mkuu wewe ni genius.Kwani wapagani hawana dini? 🤔
Bado na vitu vingi vya kuchunguza aisée nimeathirika na movie pamoja na simulizi kuhusu freemason ila sasa sadaka wanatoa ya nini ? 🤔Bado nahisi muhuni yupo anawa agiza🤔🤔Freemason ni kikundi cha watu tu wenye nguvu kubwa kiuchumi, kisiasa na kwenye jamii kiujumla.
Hakuna uhusiano wa Freemason na uwepo wa shetani.
Ndio maana mtu kapuku maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi, Huwezi kutaka kujiunga Freemason ili utajirike halafu ukubaliwe
Freemason ni kikundi cha matajiri tu kinacho unganisha watu ambao tayari wana nguvu za kifedha, nguvu kiuchumi, kisiasa, kibiashara n.k katika jamii.
Hata ukitaka kujiunga nao sharti uwe na nguvu fulani kisiasa au kiuchumi.
Wakristo huwaita watu wenye dini zao za asili wapagani na sio kwamba hawana dini, hao wapagani huzikwa na dini zao za asili na sio dini ya ukristo.Hujui lolote unaleta longo longo tu.
Yoda amesema huna dini ukifa utazikwaje?
Nikajimuuliza kwani wapagani hawazikwi,?
Ukaanza ni quote na kusema mpagani sio atheist.
Kama kweli uko bright mkuu huoni kama ulikurupuka bila kuelewa? Wapi nilisema mpagani ni atheist?
Nionyesha hiyo kauli naahidi kuondoka jf mazima.
Dini imesha pumbaza hivyo vichwa vyenu.Nahitaj kujua ni furaha gani umeipata baada ya kuwa na maisha ya bila Mungu??, Sema ni sawa kuwa na furaha kwa upande wako coz shetani ameweza kuvifanya vitu vyote ambavyo sio mapenzi ya Mungu kuwa vizuri sana l machoni mwa mwanadamu
Bravo 👏 endelea kujitangazaMazombie.
Mazombie.Treat others as you wish to be treated.
Usikuze mada kijana, nimekwambia ikitokea, sasa nikupe ushahidi wa kitu gani?.Mambo mengi sana ila tuyaache kwa ushahidi gani ? Tafadhari
We wasema mkuuMkuu wewe ni genius.
Good Idea 💡Dini imesha pumbaza hivyo vichwa vyenu.
When you something good it's God, When you do something bad it's Satan. You don't take responsibility for what you are doing as long as there are two imaginary scapegoats to blame it all on.
No evidence isn't it? Okay nimekupata ulikuwa unafanya jokeUsikuze mada kijana, nimekwambia ikitokea, sasa nikupe ushahidi wa kitu gani?.
Mbona mapema sana hata kabla ushaanza kuchanganyikiwa.
Hakuna shetani anayegawa pesa.Bado na vitu vingi vya kuchunguza aisée nimeathirika na movie pamoja na simulizi kuhusu freemason ila sasa sadaka wanatoa ya nini ? 🤔Bado nahisi muhuni yupo anawa agiza🤔🤔
Sasa mbona unaleta hadithi za wakristo?Wakristo huwaita watu wenye dini zao za asili wapagani na sio kwamba hawana dini, hao wapagani huzikwa na dini zao za asili na sio dini ya ukristo.