Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Sasa kama havipo ina maana na akili haipo, kama akili haipo unakubali kua wewe huna akili (maana umesema haipo) , je unakubali hilo kwanza kisha nikupe prof ya uwepo wa akili na Mungu?
Akili haipo katika uhalisia bali ni dhana ya kufikirika tu.

Mimi siwezi kusema nina Akili kwa vile hiyo akili ni dhana ya kufikirika tu.

Sasa wewe Thibitisha kwamba una Akili maana umesema unayo na unaweza kuthibitisha kwamba unayo.
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃

Najua nini unapitia, najua hata ukipewa ushauri hautausikiliza maana haukufai.
Niseme tu Sikio la kufa ndo halisikii dawa
Usitake kupita njia ngumu nenda hospitali watakupa dawa uendelee kula maisha kijana
 
Nimesema wapagani hawazikwi? Ukanikosoa hapa👇

Sasa nataka unisaidie mpagani ni mtu gani?
Pagani ni neno la kilatino lilianza kutumika kwa wale watu waliofuata dini zao za asili na sio ukristo , waliitwa hivyo na waliuawa vikali na wengine walilazimishwa kuwa wakristo kwa nguvu ya mkuki na upanga.
 
The “Blood of Jesus” is so precious and many have received salvation of their souls through Jesus Christ. We know devil is a liar and is busy deceiving people but it is very unfortunately. The devil is the father of lies anyway. He will continue lies to people about Jesus but the truth will remain that Jesus is the son of God and through Him we have redemptions of our sins and finally we shall enter into heaven.

Truth is subjective. Smart people fabricated it for you, without any evidence. They created fear and made fake promises to your great grandparents. Now, you are the 3rd or 4th generation glorifying the lie, with your tail between your legs, scared of the imaginary eternal fire and hoping for the non-existent heavens.
 
Love the life you live.
Case closed.
Hujathibitisha una Akili.

Ila unadai una akili.

Unarukia kujibu vitu vingine ambavyo hata hujaulizwa.

Hujibu ulicho ulizwa Unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi 👇

Thibitisha una akili.

Wewe si unadai unayo?
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Kwa mara ya kwanza, nimekutana na shetani live.
 
Hujathibitisha una Akili.

Ila unadai una akili.

Unarukia kujibu vitu vingine ambavyo hata hujaulizwa.

Hujibu ulicho ulizwa Unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi 👇

Thibitisha una akili.

Wewe si unadai unayo?
Sasa wewe umesema huna akili utalielewaje jibu langu?
 
Back
Top Bottom