Kumbe wewe sio mtu?Hayo ni maandishi yameandikwa na watu kupumbaza, Kwa hizo sifa za Mungu mnazompa angekuwepo kweli asingehitaji hata kuandika kitu ili uelewe
Maana hata wewe unatumia maandishi kupumbaza watu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wewe sio mtu?Hayo ni maandishi yameandikwa na watu kupumbaza, Kwa hizo sifa za Mungu mnazompa angekuwepo kweli asingehitaji hata kuandika kitu ili uelewe
Akili haipo katika uhalisia bali ni dhana ya kufikirika tu.Sasa kama havipo ina maana na akili haipo, kama akili haipo unakubali kua wewe huna akili (maana umesema haipo) , je unakubali hilo kwanza kisha nikupe prof ya uwepo wa akili na Mungu?
Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Pagani ni neno la kilatino lilianza kutumika kwa wale watu waliofuata dini zao za asili na sio ukristo , waliitwa hivyo na waliuawa vikali na wengine walilazimishwa kuwa wakristo kwa nguvu ya mkuki na upanga.Nimesema wapagani hawazikwi? Ukanikosoa hapa👇
Sasa nataka unisaidie mpagani ni mtu gani?
Atheists 46:7,(Zaburi 92:6 )
Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.
Na wewe umeshajikatikatia tamaa ya kwenda mbinguni ndugu kama mimi tu 😂😂Nakaaga najifikiria Mungu amechangia nini kwenye maisha yangu ,? 🤔🤔Nakosa jibu aiseeThe sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
The “Blood of Jesus” is so precious and many have received salvation of their souls through Jesus Christ. We know devil is a liar and is busy deceiving people but it is very unfortunately. The devil is the father of lies anyway. He will continue lies to people about Jesus but the truth will remain that Jesus is the son of God and through Him we have redemptions of our sins and finally we shall enter into heaven.
Love the life you live.Akili haipo katika uhalisia bali ni dhana ya kufikirika tu.
Mimi siwezi kusema nina Akili kwa vile hiyo akili ni dhana ya kufikirika tu.
Sasa wewe Thibitisha kwamba una Akili maana umesema unayo na unaweza kuthibitisha kwamba unayo.
Sasa mbona ulinikosoa?Pagani ni neno la kilatino lilianza kutumika kwa wale watu waliofuata dini zao za asili na sio ukristo , waliitwa hivyo na waliuawa vikali na wengine walilazimishwa kuwa wakristo kwa nguvu ya mkuki na upanga.
Hujathibitisha una Akili.Love the life you live.
Case closed.
Kwa mara ya kwanza, nimekutana na shetani live.Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
🤣🤣🤣Hilo nawaachia ndugu wanaobaki. Kama jinsi nilivyobatizwa bila hiari yangu itakuwa hivyohivyo.
Sasa wewe umesema huna akili utalielewaje jibu langu?Hujathibitisha una Akili.
Ila unadai una akili.
Unarukia kujibu vitu vingine ambavyo hata hujaulizwa.
Hujibu ulicho ulizwa Unajibu usivyo ulizwa.
Naku uliza hivi 👇
Thibitisha una akili.
Wewe si unadai unayo?
Soma vizuriSasa mbona ulinikosoa?