Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khah! Unasikitika nini? Kaongopa wapi?Sijasoma mada ila nimesikitika sana
Thibitisha kwanza una akili.Sasa wewe umesema huna akili utalielewaje jibu langu?
Mambo mengi sana ila tuyaache kwa ushahidi gani ? TafadhariDogo amini tu kuwa Mungu yupo ili ikitokea ukafa na ukaambiwa huko utakapokuwa "eeh bana ulisema hayupo hebu msubiri hapa mara moja" isikupe homa na jasho kali wkt kule ni full kiyoyozi!.
Swali la kin'gombe hiliUkifa utazikwaje kama huna dini mkuu?
Ila kuna kitu kinanichanganya mbona hizi dini zina utofauti kuna nini hapo?🤔Mungu hayupo, Kama yupo hawezi kuwa mjinga Kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya kidini
[emoji457]
Naweza kumthibitishia mtu mwenye akili,Thibitisha kwanza una akili.
Sijakwambia kuhusu kuelewa jibu lako.
Kwanza hujatoa jibu lolote la swali langu.
Thibitisha kwanza una akili na ueleze muonekano wake upoje?
Hii inaitwa Logical non sequitur.Kwa mara ya kwanza, nimekutana na shetani live.
Mungu yupo au hayupo ? Kama hayupo shetani nae yupo au hayupo?Kamwe, haitatokea hiyo siku!
Cjui mana sijasoma madaKhah! Unasikitika nini? Kaongopa wapi?
Unaweza kuthibitisha kuwa Forgotten yupo?Hii inaitwa Logical non sequitur.
Unahusisha kitu ambacho hakipo na kilichopo kuunda hitimisho potofu.
Forgotten yupo na anathibitishika yupo hata mnaweza kukutana na kuonana uso kwa uso ukajua yupo.
Shetani hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Na hata huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo shetani.
Huyo shetani ni hekaya za kusadikika tu.
Kuna tofauti ya atheist na mpagani, nimekuacha utafute mwenyewe ila naona umeshindwa.🤣🤣 Unazunguka mbuyu.
View attachment 3062525nilikosea nini kwenye hiyo kauli?
Kama hayupo freemason wanatuchota ? 🤔Hii inaitwa Logical non sequitur.
Unahusisha kitu ambacho hakipo na kilichopo kuunda hitimisho potofu.
Forgotten yupo na anathibitishika yupo hata mnaweza kukutana na kuonana uso kwa uso ukajua yupo.
Shetani hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Na hata huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo shetani.
Huyo shetani ni hekaya za kusadikika tu.
Tumepigwa pakubwa Sana hapa kwenye diniIla kuna kitu kinanichanganya mbona hizi dini zina utofauti kuna nini hapo?[emoji848]
Ndio uiweke hiyo Akili hapa JF, ili kila JF members aione.Naweza kumthibitishia mtu mwenye akili,
Kabisa yaani mwanzo mwisho kutupumbaza nakutufanya wema tusipiganie haki yetu ya katiba 😭any way tumeshashutukaTumepigwa pakubwa Sana hapa kwenye dini
Mithali 16:5 )(Atheists 46:7,
Mtu kichwa maji amepumbazwa wala hayuko tayari kusikia ukweli na kupima ukweli wa imani yake.
Ana amini kichwa kichwa tu kama nyumbu.
Kwani,mtu kutoamini unachoamini wewe,ndo kutokuwa na akili? Hoja nyingine haihitaji malumbano. Yawezekana kweli ukawa na uhakika,na vigezo na vielelezo. Kama vipo,unatoa,unaelimisha. Kama havipo,na wewe pengine wanaopinga wana facts zao na wanazitoa.Naweza kumthibitishia mtu mwenye akili,