Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kwani lazima nipewe pumzi na nini au nani?Nini au nani anakupa hiyo pumzi na afya njema?
Hakuna "nini au nani" anayenipa pumzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani lazima nipewe pumzi na nini au nani?Nini au nani anakupa hiyo pumzi na afya njema?
Wewe ni sawa tu na ng'ombe aliyetolewa kijijini penye ukame, ameletwa sehemu yenye malisho anenepeshwe Kisha achinjwe,Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Akili Haithibitishiki ipo.Kuna tofauti kati ya akili ni nini na kuthibitisha kama una akili.
Mimi nimetaka unithibitishie kuwa una akili, sio unielezee akili ni nini.
Same applies to God almighty.Akili Haithibitishiki ipo.
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wasio wapumbavu?Wewe ni sawa tu na ngombe aliyetokewa kijijini penye ukame, ameletwa sehemu yenye malisho anenepeshwe Kisha achinjwe,
Lakini ngombe hajui hatma yake, anawafurahia na kuwashukuru wanaombenepesha.
Neno linasema " MPUMBAVU amesema moyoni, hakuna Mungu.
Pole sana.
So, Do you agree that God is just a fictional character and you can't prove his existence?Same applies to God almighty.
Waarabu wanaacha pia kwa kasi ya ajabu sema sharia kali zinawabana ila wakipata nafasi ya kutoka wanaacha.Wagalatia wanaongoza kuachana na dini!
Msimamo wangu ni ule ule.Ku'reply comments zote naona unapata tabu , moyo unaenda mbio ...kuwa na msimamo kama wenzio 😛 😛
So you agree that God is just a fictional character and you can't prove his existence?
Umeshindwa kumthibitisha kwamba una akili,Akili Haithibitishiki ipo.
Mfano iwe kweli hayupo, wewe unapungukiwa kitu gani?Msimamo wangu ni ule ule.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
Sawa mimi nimeshindwa kuthibitisha akili ipo.Umeshindwa kumthibitisha kwamba una akili,
Umejibu Haithibitishiki ila ipo tu.
Maana yake ukishindwa kuthibitisha kitu kama kipo haina maana kuwa hakipo.
Yupo ndio maana sisi tupo wengi tunaoamini .Msimamo wangu ni ule ule.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
Wapagani hawazikwi?Ukifa utazikwaje kama huna dini mkuu?
You are likely to be an ex seminarianHabari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Sijawahi kuona mazishi ya mpagani,Wapagani hawazikwi?
Ni kweli hayupo, kwa sababu mpaka sasa umeshindwa kuthibitisha uwepo wake una bwabwaja bwabwaja tu kuelezea kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo kujidhihirisha chenyewe.Mfano iwe kweli hayupo, wewe unapungukiwa kitu gani?