Maoni yngu: Alietuumba na kutuwekea system ya DNA pamoja na Natural Intelligence yupo tena anajulikana kama MKUU wa ENZI rejea bandiko la Pro. Singano Jr la "Niliemdhania kahaba kumbe bikra" Tulicho Miss sisi wanadamu ni Njia sahihi ya kumwendea! Njia karibu zote tunadanganywa, lakn trust me Kuna watu tayar wanaijua the actual path na hawako tayari kuisema hio kweli, Ukweli tumefichwa badala yake wamebaki kutuletea hadthi tuu za watu Mambo waliofanya!! Kama Jesus alipaa na alitembea juu ya maji, akabadilisha maji kuwa Divai Aminini kuwa Kuna watu wanaweza kufanya hivyo vyote mpka Leo na wapo! Lakn wanaijua Njia sahihi ya kuwa purified mpka kufika kwenye Realm ya kufany hivyo. Lakin vingi kati ya hivyo vipo Vatican vimefichwa kweny maktaba zao
Jaman Hivyo wanavyovisema vipo! Mungu yupo na kila kitu kipo Kasoro tuu hizo njia wanazozitumia na kutuaminisha sio za kweli
Jaman Hivyo wanavyovisema vipo! Mungu yupo na kila kitu kipo Kasoro tuu hizo njia wanazozitumia na kutuaminisha sio za kweli