Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wasio wapumbavu?(Isaya 32:6 )
Maana mpumbavu atanena yaliyo upumbavu, na moyo wake utafanya maovu, ili kutenda hila na kusema yasiyo kweli juu ya BWANA, ili kuziacha nafsi za watu wenye njaa hazina kitu, na kukikomesha kinywaji chake mwenye kiu.
Uwepo wa binadamu wapumbavu, wasio mtambua muumba wao kama Mungu wao,
Ni uthibitisho tosha kwamba huyo Mungu muumba, Kazi yake ya uumbaji ina dosari na kasoro kwa kuumba binadamu ambao ni wapumbavu.
Na automatically Mungu huyo ni Mpumbavu vilevile kwa kuumba binadamu wenye upumbavu uliotokana na kazi yake ya uumbaji