Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

halijakukuta jambo wewe, likikukuta jambo litakalokufanya ukili kuwa yupo Mungu na hakika wewe hipo siku utatubu
 
yesu kristo akufunike kwa damu yake kwa maana hutambui unenacho.

Mkuu hizi ni zile nyakati za mwisho hizo ni ishara zake mfano, watu hawaamini katika uwepo wa mungu, watu hujiita manabii na watumishi, masheikh na ustadh kudanganya watu. Yaani watumishi wa uongo.

Badilika mkimbilie yesu atakuokoa.
 
Mkuu uko sahihi sana.

Huyo Mungu ameshindwa kuwasaidia maelfu ya watoto na wanawake wanaokufa kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili duniani,

Halafu kuna wajinga kutwa kucha wana hubiri habari za uongo za uwepo wa Mungu mwema, mpole na mwenye upendo na huruma.

Huko Ethiopia, Yemen, Sudan, Afghanistan, Somalia, Iraq, Congo, n.k maelfu ya watoto wasio na hatia yeyote ile wanakufa kila siku.

Halafu huyo Mungu anayedaiwa ni mwema na mwenye upendo yupo tu katulia...!!!
 
Nasoma comment za wafia dini brainwashed hadi naskitika waafrka kutetea vitu ambvyo havpo
Swali langu hamjajbu bdo

Mnasema mungu ni mwema na mwnye upendo

Je mambo ya hapa dunian toka miaka miaka ya nyuma hamuoni e

Utumwa ulioletwa na hao wakolon waleta din
Njaa kali miaka ya 80s uko , matetemeko huko asia ,volcano eruptions.,massacres burundi uko, mauaji ya sudani congo uko hadi saiz ni vifo tu ,magonjwa atari siera leone uko watoto wadogo wanakufa ,
Haya saiz tunavoongea wananch na watoto wa palestna na israel wanakufa tu hawajui pakukimbilia na haijanza leo wala jana

HAYA UYO MUNGU YUPO WAP.
WEMA WA UYO MUNGU UPO WAPI MIAKA NENDA RUDI HANA MSAADA WOWOTE
HAFU JITU LINAKUJA APA JF KUSEMA MUNGU MWEMA MWNYE UPENDO KAKUPA PUMZI

NDO MANA TULITAWALIWA KIRAHSI SANA

ACHEN UJINGA BHANA
NIONESHENI WEMA WA MUNGU UKO WAPI WAFIA DINI SIO KULETA VIPOINT DHAIFU KUTETEA UJINGA
 
Huyo Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Mungu ni nini?
 
Yesu ambaye alikuja kwa ajili ya Wayahudi pekee?
 
Napenda kukujulisha kwamba sasa ukp huru kutumia kiungo au sehemu yoyote ya mwili wako bila hofu.
 
Usiku huu wa Leo hakika yesu kristo ajiridhishe mbele yako
Wewe ni pepo ushindwe kwa jina la yesu.
Huyo Yesu hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.

Unahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Yesu kwa vile Hayupo kujidhihirisha mwenyewe.

Huyo Yesu kama Yupo, Aje hapa mwenyewe ajidhihirishe kama ana huo uwezo.
 
Ni ujinga sana mkuu yan kwa kfupi hawana cha kujibu coz washajaa na hofu ya kwenda motoni

Yani nkiangalia wanayopitia wenzetu hzo nchi nyngne hadi natamani kulia an
Tena pia wengne hapa hapa nchn wanaptia mateso atari

Ila tu yey mungu katulia anasubri kutuhukumu ni ujnga sana

Yani mtu yupo radh kutetea ujnga ilihali anaona yanayoendlea duniani dah bulshit

Wafia dini kujeni hapa mjibu swali langu
Wema wa mungu upo wapi katika uhalsia
Coz kwa ktabu anaonekana ni mungu mwnye nguvu sana ingawa hata kumdhbiti shetan kashndwa

Wafia dini come here plz
 
Huyo Yesu hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.

Unahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Yesu kwa vile Hayupo kujidhihirisha mwenyewe.

Huyo Yesu kama Yupo, Aje hapa mwenyewe ajidhihirishe kama ana huo uwezo.
Usije ukasema aukuambiwa
Endelea kuamini unachoamini
 
Takataka! Nkisema mpo hapa kujifurahisha inbidi ukubaliane na mimi,
 
Usipoteze pambano mapema hivi em ingia na kwenye uislam ukapate mema ya pepo,wanawake wa kiarabu bikra idadi yao 72 mito inayotiririsha pombe laini na tamu 24hrs na mengineyo.

Huu ni wakati wako utumie mkuu.
 
Usije ukasema aukuambiwa
Endelea kuamini unachoamini
Sina imani ya aina yeyote ile.

Siamini kwenye kuamini.

Huyo Mungu kama yupo kwa nini ahitaji umwamini yupo, Badala ya kumjua yupo kwa uhakika?

Anacho ogopa akijulikana yupo ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…