Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

halijakukuta jambo wewe, likikukuta jambo litakalokufanya ukili kuwa yupo Mungu na hakika wewe hipo siku utatubu
 
yesu kristo akufunike kwa damu yake kwa maana hutambui unenacho.

Mkuu hizi ni zile nyakati za mwisho hizo ni ishara zake mfano, watu hawaamini katika uwepo wa mungu, watu hujiita manabii na watumishi, masheikh na ustadh kudanganya watu. Yaani watumishi wa uongo.

Badilika mkimbilie yesu atakuokoa.
 
Mkuu siamin chchte hapo
Siwez amin kitu cha kufkrika mkuu
Swali lpo wazi mkuu thbtsha mungu yupo mwenye upendo na wema

Hafu unajua mnakaza tu kchwa
Hv mateso yanayoendlea kwa watu hamuyaoni e
Watu wanateseka sana especialy watoto ambao hawana hatia jaman ni wanakufa na sababu mbalimbal toka zaman had sasa hv tnavojadili hapa jf

Haya uyo mungu ambye ni mwema yupo wapi mkuu
Achen kukuwa wajinga
Mkuu uko sahihi sana.

Huyo Mungu ameshindwa kuwasaidia maelfu ya watoto na wanawake wanaokufa kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili duniani,

Halafu kuna wajinga kutwa kucha wana hubiri habari za uongo za uwepo wa Mungu mwema, mpole na mwenye upendo na huruma.

Huko Ethiopia, Yemen, Sudan, Afghanistan, Somalia, Iraq, Congo, n.k maelfu ya watoto wasio na hatia yeyote ile wanakufa kila siku.

Halafu huyo Mungu anayedaiwa ni mwema na mwenye upendo yupo tu katulia...!!!
FB_IMG_1710533066467.jpg
 
Nasoma comment za wafia dini brainwashed hadi naskitika waafrka kutetea vitu ambvyo havpo
Swali langu hamjajbu bdo

Mnasema mungu ni mwema na mwnye upendo

Je mambo ya hapa dunian toka miaka miaka ya nyuma hamuoni e

Utumwa ulioletwa na hao wakolon waleta din
Njaa kali miaka ya 80s uko , matetemeko huko asia ,volcano eruptions.,massacres burundi uko, mauaji ya sudani congo uko hadi saiz ni vifo tu ,magonjwa atari siera leone uko watoto wadogo wanakufa ,
Haya saiz tunavoongea wananch na watoto wa palestna na israel wanakufa tu hawajui pakukimbilia na haijanza leo wala jana

HAYA UYO MUNGU YUPO WAP.
WEMA WA UYO MUNGU UPO WAPI MIAKA NENDA RUDI HANA MSAADA WOWOTE
HAFU JITU LINAKUJA APA JF KUSEMA MUNGU MWEMA MWNYE UPENDO KAKUPA PUMZI

NDO MANA TULITAWALIWA KIRAHSI SANA

ACHEN UJINGA BHANA
NIONESHENI WEMA WA MUNGU UKO WAPI WAFIA DINI SIO KULETA VIPOINT DHAIFU KUTETEA UJINGA
 
yesu kristo akufunike kwa damu yake kwa maana hutambui unenacho.

Mkuu hizi ni zile nyakati za mwisho hizo ni ishara zake mfano, watu hawaamini katika uwepo wa mungu, watu hujiita manabii na watumishi, masheikh na ustadh kudanganya watu. Yaani watumishi wa uongo.

Badilika mkimbilie yesu atakuokoa.
Huyo Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
There is power where everything formed from there, we uamini Mungu yupo usiamini aimpunguzii wala kimwongezea chochote Uyo Mungu, sis ni substance from a formless utakufa utarud ktk formless, nawe ni sehem ya Mungu kwasababu waweza umba kitu either ktk fikra zako na ata in real, ila kwakuwa ubongo umeunguwa fyuzi bas utaendelea kusema baada ya Mungu mi mzungu
Mungu ni nini?
 
yesu kristo akufunike kwa damu yake kwa maana hutambui unenacho.

Mkuu hizi ni zile nyakati za mwisho hizo ni ishara zake mfano, watu hawaamini katika uwepo wa mungu, watu hujiita manabii na watumishi, masheikh na ustadh kudanganya watu. Yaani watumishi wa uongo.

Badilika mkimbilie yesu atakuokoa.
Yesu ambaye alikuja kwa ajili ya Wayahudi pekee?
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Napenda kukujulisha kwamba sasa ukp huru kutumia kiungo au sehemu yoyote ya mwili wako bila hofu.
 
Usiku huu wa Leo hakika yesu kristo ajiridhishe mbele yako
Wewe ni pepo ushindwe kwa jina la yesu.
Huyo Yesu hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.

Unahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Yesu kwa vile Hayupo kujidhihirisha mwenyewe.

Huyo Yesu kama Yupo, Aje hapa mwenyewe ajidhihirishe kama ana huo uwezo.
 
Mkuu uko sahihi sana.

Huyo Mungu ameshindwa kuwasaidia maelfu ya watoto na wanawake wanaokufa kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili duniani,

Halafu kuna wajinga kutwa kucha wana hubiri habari za uongo za uwepo wa Mungu mwema, mpole na mwenye upendo na huruma.

Huko Ethiopia, Yemen, Sudan, Afghanistan, Somalia, Iraq, Congo, n.k maelfu ya watoto wasio na hatia yeyote ile wanakufa kila siku.

Halafu huyo Mungu anayedaiwa ni mwema na mwenye upendo yupo tu katulia...!!!
View attachment 3062665
Ni ujinga sana mkuu yan kwa kfupi hawana cha kujibu coz washajaa na hofu ya kwenda motoni

Yani nkiangalia wanayopitia wenzetu hzo nchi nyngne hadi natamani kulia an
Tena pia wengne hapa hapa nchn wanaptia mateso atari

Ila tu yey mungu katulia anasubri kutuhukumu ni ujnga sana

Yani mtu yupo radh kutetea ujnga ilihali anaona yanayoendlea duniani dah bulshit

Wafia dini kujeni hapa mjibu swali langu
Wema wa mungu upo wapi katika uhalsia
Coz kwa ktabu anaonekana ni mungu mwnye nguvu sana ingawa hata kumdhbiti shetan kashndwa

Wafia dini come here plz
 
Huyo Yesu hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.

Unahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Yesu kwa vile Hayupo kujidhihirisha mwenyewe.

Huyo Yesu kama Yupo, Aje hapa mwenyewe ajidhihirishe kama ana huo uwezo.
Usije ukasema aukuambiwa
Endelea kuamini unachoamini
 
Hayo mambo yote yapo kwenye ulimwengu huu huu.

Kwenye ulimwengu huu huu kuna mambo na vitu vingi sana ambavyo sisi binadamu hatuvijui bado.

Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, uchunguzi na udadisi zaidi.

Kwa hiyo ulimwengu ni huu huu mmoja ambao bado tuna endelea ku uchunguza na kuujua vizuri.

Hakuna ulimwengu mwingine unaoitwa wa roho tofauti na huu huu.
Takataka! Nkisema mpo hapa kujifurahisha inbidi ukubaliane na mimi,
 
Usipoteze pambano mapema hivi em ingia na kwenye uislam ukapate mema ya pepo,wanawake wa kiarabu bikra idadi yao 72 mito inayotiririsha pombe laini na tamu 24hrs na mengineyo.

Huu ni wakati wako utumie mkuu.
 
Usije ukasema aukuambiwa
Endelea kuamini unachoamini
Sina imani ya aina yeyote ile.

Siamini kwenye kuamini.

Huyo Mungu kama yupo kwa nini ahitaji umwamini yupo, Badala ya kumjua yupo kwa uhakika?

Anacho ogopa akijulikana yupo ni nini?
 
Back
Top Bottom