Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Swali gani nikujibu hakuna swali ambalo siwezi kulijibu katika kirohoMkuu jbu swali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali gani nikujibu hakuna swali ambalo siwezi kulijibu katika kirohoMkuu jbu swali
You are just throwing tantrums.Takataka! Nkisema mpo hapa kujifurahisha inbidi ukubaliane na mimi,
sawa mkuuSwali gani nikujibu hakuna swali ambalo siwezi kulijibu katika kiroho
Huu ndo unafiq sasa na Mungu haupendi wa kuamini kwa kuskilizia. Amini mlengo mmoja tuNi Bora ukaamini Mungu yupo kuliko kutokuamini halafu baadae ukamkuta utapata hasara.
Yesu kristo alipaa kwenda mbinguni katika miaka 2000 iliyopita, agano lake kwetu Wana wa damu alinena ya kwamba atarejea Tena kwa mara nyingine katika ulimwengu kuwachukua walio hai na wafu ambao wametenda mema na kustahili kwenda mbinguni milele na milele.Huyo Yesu hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe.
Unahangaika sana kumuongelea na kumuelezea huyo Yesu kwa vile Hayupo kujidhihirisha mwenyewe.
Huyo Yesu kama Yupo, Aje hapa mwenyewe ajidhihirishe kama ana huo uwezo.
Mkuu,nenda nao taratibu hakuna haja ya kuwatukana.Takataka! Nkisema mpo hapa kujifurahisha inbidi ukubaliane na mimi,
Alipaa sehemu gani?Yesu kristo alipaa kwenda mbinguni katika miaka 2000 iliyopita, agano lake kwetu Wana wa damu alinena ya kwamba atarejea Tena kwa mara nyingine katika ulimwengu kuwachukua walio hai na wafu ambao wametenda mema na kustahili kwenda mbinguni milele na milele.
Badilika mkuu yesu yupo na atakuja hutoa hukumu nyakati za mwisho.
Ww Ndio mwehu ila hujijui tuUsicheke Mkuu majitu yasiyokuwa na dini ni makatili hatari! Kwa ufupi hayana utu!
Alipaa sehemu gani?
Nchi gani? Mkoa gani? Mtaa upi?
Tarehe ngapi? Mwezi upi? Mwaka gani?
Na muda gani exactly aliopaa?
Hawana hoja za kujibu zaidi ya Viroja na mihemko yao tu.Mkuu,nenda nao taratibu hakuna haja ya kuwatukana.
Mimi naamini kwenye uhuru wa mtu ikiwa wao wameona hakuna Mungu sijui hakuna dini au uchawi or whatever hiyo ni juu yao ikitambulika zaidi kwamba kila mtu alikuja peke yake na ataondoka peke yake tuwaache soon kila mmoja wetu ataenda kuthibitisha alichokuwa anakifanya duniani,hayupo atakaeishi miaka 200 wote ni hii hii 50,66 70 42 43 etc.
Huyo mtume alisema wapi hayo maneno?Mtume Muhammad S. A.W anasema tusibishane kuhusu dini pasipo ya kuwa na elimu.
Dhambi haipo.MWILI UMESHAKUSHINDA KATIKA DHAMBI , 'MAANA ROHO IKIUSHINDA MWILI KATIKA KRISTO HAPO MWILI HUJIONA MTUMWA
HAPO NYUMA ULIPO KUWA UNAJIONA MTUMWA NDIO ULIKUWA MTU IMARA MAANA ROHO YAKO ILIUKANA MWILI UNAO TAKA UWE HURU KATIKA KUITENDA DHAMBI
POLE SANA RUDI KWA YESU MAANA SASA HIVI NDIO UMEKUWA MTUMWA KATIKA DHAMBI.
Ningekukosa hapa ningeshangaa sana kaka mkubwa 😂😂😂Hongera kwa kujitambua.
Wengine tulivuka daraja hili mapema sana, karibu miaka 30 iliyopita.
min -me alisahau kuku tag😄Muwe mnaniita mkianza hizo battle zenu bana mi die hard fan wenu mjue 😹😹😹
Unachanganya mambo.Kwa waanzilishi wa earthiesm sio wazungu? Una uhakika gan hujadanganywa?
Unajua walipataje uzito wa dunia na umbali toka dunian hadi kwenye jua?
Wema wake uko wapMkuu,nenda nao taratibu hakuna haja ya kuwatukana.
Mimi naamini kwenye uhuru wa mtu ikiwa wao wameona hakuna Mungu sijui hakuna dini au uchawi or whatever hiyo ni juu yao ikitambulika zaidi kwamba kila mtu alikuja peke yake na ataondoka peke yake tuwaache soon kila mmoja wetu ataenda kuthibitisha alichokuwa anakifanya duniani,hayupo atakaeishi miaka 200 hapa wote ni hii hii 50,66 70 42 43 etc so tupeane nafasi ya kuchagua.