Labda kichwa cha. Au basi.Hoja amezitoa ila wewe ujakubaliana nazo
Min me ni kichwa sana! Fungua ubongo huo umuelewe uchukue madini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kichwa cha. Au basi.Hoja amezitoa ila wewe ujakubaliana nazo
Min me ni kichwa sana! Fungua ubongo huo umuelewe uchukue madini
Afya ya akilinKujibu swali umeshindwa. Unaleta nukuu za mababu wa kizungu zilizotafsiriwa kwa lugha yako mtumwa wao ili uelewe mabwana zako wanakutaka uamini nini, ufanye nini.
Hata Wayahudi wenyewe wlimkataa Mungu,kuishi tuu kwenyewe ni udhihirisho kwamba Kuna Mungu!Aende kinyume na wanaamini uwepo wa Mungu,mfano kupumua apumulie matako mfululizo,kula alie mguu!nk ndio nitaamini anakana uwepo wa Mungu.Wewe siyo mtu wa kwanza kumkataa Mungu,wapo wenzio kibao ambao wapo makaburini,wewe umeunga tela na baada yako watakuja wenzio kibwena mtaungana nao!,Hivyo Wala si kitu Kipya Kwa aliyekuumba!
Am out! Ila naunga mkono hoja za min akeeLabda kichwa cha. Au basi.
Kakuchachusha sana, na yule mwingine pia.Am out! Ila naunga mkono hoja za min akee
Kweli kabisa mkuu, wewe ni master sana aseee🤔Sasa hizo ndio maada unazoweza.
Hutatwambia Huenda ukawa Mwamposa!2Kamwe, haitatokea hiyo siku!
Mimi madai yangu ni yapi?Nmewahi kusema hapa kwamba nyinyi atheist mnachopenda ni kubishana tu, Hampo serious na madai yenu
Ama pengine ni waoga na mnahofu kuhusu madai yenu,
Kama upo tayari kufahamu haya tujadili hapa na mashahidi wawepo mimi nipo tayari kugharamikia usafiri na pesa ya mafuta ili twende sehemu then utarudi hapa kutoa ushuhuda
Uzi wa dini unataka kutaja kichwa gan tena🙄🙄Labda kichwa cha. Au basi.
Kumbe una yako...Pole🙌Kakuchachusha sana, na yule mwingine pia.
Pole kwa yule nae, safe trip
Mgejua mnabishana na k vant hata msingejisumbu.Kumbe una yako...Pole🙌
Yapi hayo uliyoyaona?Kumbe una yako...Pole🙌
Una akili kama za min -meJikite kwenye mada
'Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha'
Huyo Mungu tangu akataliwe wala hajawahi kujitokeza kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo, kwa sababu hayupo.Afya ya akilin
Hata Wayahudi wenyewe wlimkataa Mungu,kuishi tuu kwenyewe ni udhihirisho kwamba Kuna Mungu!Aende kinyume na wanaamini uwepo wa Mungu,mfano kupumua apumulie matako mfululizo,kula alie mguu!nk ndio nitaamini anakana uwepo wa Mungu.
Hapa kinachotakiwa ni imani kama unachokisikia/au kuambiwa huamini basi fanya jitihada zozote zile ushuhudie wewe mwenyewe binafsi.... Kwasa najua experience yangu mimi juu ya imani nikikusimulia haita make sense katika fikra zako.Kama kuna ulimwengu mwingine usio onekana, Wewe uliuona wapi huo ulimwengu usionekana ukajua upo?
Kama huo Ulimwengu hauonekani, wewe uliwezaje kuuona?
Kama umeweza kuuona ulimwengu usio onekana, Huoni kwamba tayari huo ni ulimwengu unao onekana?
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.Hapa kinachotakiwa ni imani kama unachokisikia/au kuambiwa huamini basi fanya jitihada zozote zile ushuhudie wewe mwenyewe binafsi.... Kwasa najua experience yangu mimi juu ya imani nikikusimulia haita make sense katika fikra zako.
Nilishaikia level hizo za kutilia shaka uwepo wa Mungu, lakini kukawa kuna upeo mwingine unanijia mimi au sisi viumbe chanzo chetu ni wapi nikaamini kuna nguvu/uweza ulio fanya yote...
Mimi nakushauri kama umeshindwa kuamini pasipo kuhoji, basi endelea kidadisi wewe mwenyewe binafsi, hii ndio njia bora zaidi...
usichunguze shuhuda za watu au mafundisho yanayolenge kuthibitisha uwepo wa Mungu.
Siku ukifanikiwa kupata ufunuo jaribu kumelezea mtu jinsi ilivyo Ndio utajua ni Ngumu kiasi gani kumuelezea mtu hasa awa wasomi.