masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Jaman weweDuh! Maji ndo kitu Cha kumyima MTu!😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman weweDuh! Maji ndo kitu Cha kumyima MTu!😂
Hiyo sehemu ipo kwenye ulimwengu huu huu uliopo ndio maana tunaweza hata kwenda.Swala linalohusu mambo ya kiroho na uchawi upo, Nmekwambia twende sehemu nkakuonyeshe uchawi jinsi ulivyo unaleta bla bla,, Mnataka huo uthibitisho tuulete hapa JF au ?
anyaway bro!!! fikiria kwa nini maisha ya wanyama hayabadiliki????,,na kwa nini binadamu anambadiliko kila siku,,,kuanzia kutawala mazingira yake mpaka kutengeneza vitu kama simu,ndege,satelite n.k,kwa nini wanyama hawaendi shule,hawavai nguo na kwa nini wanapojamiiana hawajistiri,yaani wanafanya hadharani???Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Mjini bila connection hupati connectionJaman wewe
As for me,kwa ufahamu wangu nitakaposema Mungu yupo (of course naamini yupo) na mwenzangu akasema Mungu hayupo ikiwa hakuuingilia uhuru wangu wa kuliamini hilo na mimi sijaingilia uhuru wake nitaacha ibaki hivyo.Ok sory mkuu kwa kukushtukiza
Hli ni swali nliloulza wote wanaosema mungu yupo
Pia sijajibiwa thats why na wew nimekuulza mkuu
Kilichokusikitisha nini??Sijasoma mada ila nimesikitika sana
Pengine nyinyi ndio wachawi wenyewe,Hiyo sehemu ipo kwenye ulimwengu huu huu uliopo ndio maana tunaweza hata kwenda.
Hakuna mambo ya kiroho, sema huna maarifa ya mambo hayo.
Ila wajuzi na wataalamu wa mambo hayo wanayafanya kwenye ulimwengu huu huu uliopo unao onekana.
Hakuna ulimwengu wa roho.
Huo uzima na pengine kipato ulicho nacho ndio kina kufanya uwaze hivyo kuwa kila jambo liko under your control. Walikuwepo akina Kingunge walikaza fuvu kuwa hawaamini katika uwepo wa MUNGU mauiti ilivyo karibia wanalia waitiwe Watumishi wa MUNGU na kuongozwa sala ya Toba na tulishuhudia Mazishi yalifanyika kikristoHabari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Huo uzima na pengine kipato ulicho nacho ndio kina kufanya uwaze hivyo kuwa kila jambo liko under your control. Walikuwepo akina Kingunge walikaza fuvu kuwa hawaamini katika uwepo wa MUNGU mauiti ilivyo karibia wanalia waitiwe Watumishi wa MUNGU na kuongozwa sala ya Toba na tulishuhudia Mazishi yalifanyika kikristoHabari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Mkuu nisome katikati ya mistari utanielewa.Usahihi wa kusema Mungu yupo Halafu kumthibitisha yupo huwezi uko wapi?
Nikisema kwamba Duniani kuna Dragons watemao moto midomoni mwao bila kuthibitisha uwepo wa Dragons🐉 hao utakubali tu bila uthibitisho?
Mtu anayedai kitu fulani kipo, Ndio anatakiwa akionyeshe kitu hicho kipoje na akithibitishe kwamba kipo kijulikane na kila mtu kipo, bila utata wowote.
Akishindwa kufanya hivyo, Ni kwamba kitu hicho hakipo ni mawazo yake tu.
Hivi kama kitu kipo kweli, Kingehitaji mabishano ya uwepo wake?As for me,kwa ufahamu wangu nitakaposema Mungu yupo (of course naamini yupo) na mwenzangu akasema Mungu hayupo ikiwa hakuuingilia uhuru wangu wa kuliamini hilo na mimi sijaingilia uhuru wake nitaacha ibaki hivyo.
Kuna point moja nyie wote mnaosema Mungu hayupo na wanaosema yupo mnaikosa,haya ni mabishano kama ya Simba na Yanga tu hakuna siku utamsikia shabiki wa Simba kusema Yanga kamzidi kwa chochote same kwa Yanga kumsifia Simba majibu huonekana baada ya match uwanjani kasoro ishu ya imani majibu huonekana/yataonekana baada ya ninyi wote kufa (mnaoamini na wasioamini japokuwa hamtashuhudiana hayo mliyokuwa mnabishana hapa) so mtaenda hivi hivi mpaka mwisho hakuna siku mtakubaliana ila vibaya tu litokee kundi moja liseme lazima kundi fulani likubali hapo ndiyo patakuwa na shida.
Dah sawa masta!!!Hivi kama kitu kipo kweli, Kingehitaji mabishano ya uwepo wake?
Wewe unadai Mungu yupo halafu kuthibitisha uwepo wake huwezi, Huoni kwamba Mungu huyo hayupo?
Huyo Mungu angekuwepo angejidhihirisha yupo na kutu prove wrong sisi tunao pinga uwepo wake.
Sisi tunapinga madai yenu ya kusema kwamba Mungu huyo yupo.
Sasa thibitisheni madai yenu ya uwepo wa Mungu ni ya kweli.
Maana madai ya kwamba Mungu yupo, Yametokea kwenu ninyi waamini huyo Mungu wenu.
Mkishindwa kuthibitisha, ni kwamba madai yenu ni ya uongo hayana ukweli wowote ule na huyo Mungu hayupo.
Mnafosi imani zenu tu zisizo na uthibitisho wowote ule.
Huwezi kuthibitisha kitu ambacho hakipo, maana hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.Mkuu nisome katikati ya mistari utanielewa.
Ni uwongo kwamba ninyi hapa leo kuna mmoja atamthibitishia mwenzake kwamba Mungu yupo au hayupo kwa sababu ninyi kila mmoja ana anachokijua kuhusu anachokiamini ndiyo maana nikawa unbiased kusema wote mpo sahihi kwa fahamu zenu.
🤝🏾!!!Huwezi kuthibitisha kitu ambacho hakipo, maana hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.
Una elewa hilo?
Ukisema kitu kipo, ndipo lazima uthibitishe Ulijuaje kipo, ukishindwa kuthibitisha ni kwamba hakipo.
Yaani utakuwa unaongea na kudai uwepo wa kitu bila ya kuwa na uhakika wa unacho kidai.
Yeah 💯🤝🏾!!!
Swali kwako wewe unahisi hii Dunia jinsi ilivyo perfect unazan itakua imejitokezea tuJaman wafia din
swal lpo wazi la mdau ju pale
Kwamba thbtsha mungu yupo mnaleta majbu yasiyo ya maana na vfungu vyenu vya bible
Ila ukija kwnye uhalisia matendo ya uyo mungu wenu hayapo maishani zaid ya ahadi za kwnye vtabu tu
kila sku watoto wadogo wanakufa na magonjwa ,vita kila sku .majanga kila sku
Lakn mungu wenu hasem chchote
Achen kukuwa brainwashed
Haya wafia din jibuni swali direct
Mthbitishen mungu wenu kama yupo
Mnaemwita ni mwema