Maisha bwana!

Wafanyakazi wa wahindi ni wezi sana hizo dola za muhindi hapo ndani jamaa atakuwa anapita nazo kimya kimya na hayo ndio maisha yao mshahara kisoda wizi beseni[emoji23]
 
AAcha Ujinga kijana. Dhambi hujaanza leo. We jamaa una matatizo ya kisaiokolojia nini?. Peleka moto hiyo mbususu mkuu mpka ikufate tandale yenyew
Bosi anamiliki mguu wa kuku....atanishot mkuu....siwezi kujaribu umalaya ni Zambi.
 
Posho ya elfu 60..
1. Ujengee nyumba!
2. Usomeshe watoto kwa ada zaidi ya sh.milioni 2 kwa mwaka!
2. Kila siku ule wali kuku au ugali kuku!
3. Uko mbioni kununua gari!

Uongo! Uongo! Uongo!
 
Nani kakudanganya kutosoma ni kikwazo cha kufanikiwa
 
Nani kakudanganya kutosoma ni kikwazo cha kufanikiwa
 
Posho ya elfu 60..
1. Ujengee nyumba!
2. Usomeshe watoto kwa ada zaidi ya sh.milioni 2 kwa mwaka!
2. Kila siku ule wali kuku au ugali kuku!
3. Uko mbioni kununua gari!

Uongo! Uongo! Uongo!
Kajiunga jf leo
 
Anatudhalilisha tu. Kufa hajaanza yeye!. Amuwashie moto mtoto wa abigali huyoo.
Anaona huruma eti kumpekea dyudyu la yuyu muke ya boss tena ya ponjoro,hawa ndio wakati wa kulipiza biashara ya utumwa waliyotufanyia enzi hzo kmmqe
 
Watu hamjasoma thread hadi mwisho, mngeelewa "Moral lesson" ya hii story "nyie hamskizi" (in vinnie baite sound) hebu cheki huyu jamaa Ana nyumba hadi za kupangishia, a nakula makuku kila siku, ame agiza gari ya kibabe kabisa toka japoo kwenyewe yaani maisha yake si ya kitoto, mkuu ukitaka kuacha hiyo kazi niunganishe nizibe gap lako.
Endelea kuzoa mavi sasa
"
 
Weeeeee,kweli wewe ni giniaz bloangu
 
Ndio malipo hayo,wakati wenzio tulipokuwa tunakaza kusoma,wewe ulikuwa mara uko nje unakula bagia,mara utuchome na tunda za ubuyu..mara unaweka vioo chini uangalie chupi za wadada,mara umwangalie mwalimu kwa rula......
 
Kabisa jamaa anawangaa watu kinyume nyume ..hata kama angekuwa mwizi 60,000 hawezi fanya hivo vyote.. Hi kitu kuna kakicheko ana karusha kwa wandewa humuuu
 
Ukiitwa kutandika kitanda, tandika na hiyo mama....alafu mnywe na hii chai!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…