Maisha bwana!

Kuna uzi mmoja nausaka jamaa aliingia bar mara ya kwanza halafu umeme ukakatia na nyoka wakaingia.
 
Bhasi endelea kuwa msukule hapo. Kwa kalasinga mpaka akupake mafuta ndoutatoka
 
Endelea tu, kupanga ni kuchagua.
 
chai nying san inachosha bhn
 
Mshahara wako Tsh 60,000/= ikiwa hapo una pikipiki nijuze unatoa wapi hela ya mafuta,unawezaje kusomesha wanafunzi ada Tsh 2m,umeagiza gari aina ya crown ili uwe unaendea kazini kwa ajili ya kwenda kufanya kazi ya Tsh 60,000/=,ebu tuachie story ambazo hata hazisadikiki
 

Ukimwelewa huyo mama wa kihindi mshahara utapanda na hizo shoruba zitapungua. Kaza roho ujenge na nyingine upangishe
 
N
Nilicheza michezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…