Maisha halisi nchini Marekani

Kazi ngumu sana kumbadilisha mtu midset,

Fear of unknown...

Watu wameridhika na kuzoea shida zao walizozizoea haziwapi tena changamoto...
 
Reactions: Mit
Uko wapi ? Je kuna wabongo uliwapa michongo wakazinguwa?
 
Uzi wa ukweli sana huu kwa tunaofikiri nje ya box mbarikiwe wote mnaotoa positive comments
 
Liongo hilo mkuu
 
aina tofauti na mei niliembetia baryern leo
 
Mkuu kwani uliwachangia? Mbona una hasira sana na fedha za watu na matumizi yao?
Nimeuliza tu mkuu wala sina hasira. Na ni kutokana tu na mtazamo wangu kuhusu kifo kwa ujumla; na baada ya hapo.

Ukishakufa ushakufa nyingine zote mbwembwe tu. Nimeshaandika na wosia kabisa kuwa nitakakofia basi nizikwe huko huko na hakuna haja ya kuingia haya magharama ya kusafirisha maiti. Na nizikwe na mtu mmoja, mia au nitupwe porini au majini kama Osama wala haijalishi. I am dead! Cha muhimu ni nimeishije maisha yangu hapa duniani na nimejiandaaje kwenda huko niendako!
 
Mkuu uliingiaje USA kama hutajali nataka kujua.
 
Juma Lokole huwezi kuthibitisha kama wanabanduliwa
Duh, Tanzania hii hii? Hata Bob Junior naye si riziki nini? Nimemwona kwenye clip moja anavyojishebedua! Vijana wa Tz wameharibika!!
 
Duh sio sehemu nzuri ya kuishi kama huna kazi ya kueleweka nina uzoefu napo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…