Maisha halisi nchini Marekani

Anazungumzia Marekani hiyohiyo, mfafanulie inakuwaje mtu akifa kusafirisha inakuwa issue?

Tupe uzoefu tatizo huwa linakuwa nini?
tatizo watu hawataki kuleta mwili huko mtawaroga wasirudi marekani hasa mashangazi wanoko sana......mchawi ni ndg namwili utapelekwa kwa ndg.
 
kuhusu hilo la Yesu mna mslia Magdalena......kuwa na uhusiano wa kimapenzi siyo mpaka uingize dushele lako kwa kitu ya baby.....ile tu kuwa romantic/ukaribu/upendo/kusaidia/ku patpat!/kulainika/kukaa peke yenu sometimes/kusisimka mnapoonana/kuregea macho ukimtizama/kunifulia mpaka nguo za ndani/kunilembulia nk..hii na ikifanyika kwa mtu ya jinsia ingine!! Weye tayari ni mupenzi.....waafrica wao wanajua ni kuzamisha riji-lombo loote mpaka mzae mitoto mnakosea.....ukifua pichu angu weye ni mupenzi tyuuu..
 
Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.

Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.
usitulinganishe na watu ambao hawana akili/elimu/upeo/ufahamu ..vilaza wakubwa wale/life failure/watumwa milele.na wanafurahia/walio laaniwa ajili ya uchawi wa bibi zao....kwanza ile ardhi tu ya pale unapo kaa! Unayopewa na kijiji! Ni mtaji tosha kabisa...
 
Itaendelea nakuja
 
Ukweli kama tutafika motoni basi moto utakuwa huna cha kupoteza juu yetu maana tayari tushaupata.

Embu fikiria nina kazi rasmi,nina grocery(japo ya kawaida) lakini hadi leo natafuta wa kumboom elfu kadhaa.Unaenda kukopa ktk bank zetu mara wanakupigia hesabu ambayo inakuletea kiasi kisichoweza kukuinua ktk biashara zako(riba kubwa&limited period)

Mwisho unaenda kikoba nao wanakutakisha urejeshe kbla hata hujaanza kuzalisha,

kule TRA anakukadilia utadhani biashara ishasimamia miguu miwili!!

Kule familia(watoto kadhaa) na kule wategemezi wanatega mkono.bado masela mtaani wanataka uwawezeshe!!
Ney(in mhindi's voice).Bora niwe mbwa wa marekani kuliko kuwa mwana wa nchi(in mpoto's voice)!!
 
Ni uvivu tu, ndio maana utakuta mtu anapiga debe apewe mia mbili mia mbili siku nzima wakati kijijini kwao kuna mapori ambayo anaweza tumia nguvu hizohizo kufyeka na kuanzisha mashamba..
Hivi unacheza na wan kijiji/ndugu au bado mdogo weye??.....kwanza unahitaji utaaalamu wa kuvuna na kupanda ndo maana kuna shule za agriculture......pili wana ndugu maskini mlio wengi ni sumu mbaya sana japo si wote....hata km umetoka kimaisha watakula kwa wanao.......watakuroga kukufitini mpaka ukome.....Lkn Dsm hkn cha undugu kazi kazi tu! Upate usipate Utajiju....
 
usa ni usa tu.....tatizo uki make africa wivu ni waziwazi...km jiwe alivyowateka matajiri
..kwa nini???eti Rais anaetakiwa kukulinda ili umlipe kodi anakuwa jambazi....kuna usalama hapo??? Mengi ndo aliwa Weza tu...ukipanga kumteka anakulipua mapemaaaa.Itv..km alivo mfanya kamanda tryfoni Maji...mpaka akafa kwa hofu!
 
Ukitoka na elimu Yako uliypdomea huku nyumbani Africa ( fani) huko haeaiambui mkuu. Au mpaka ukasome hukohuko
Naomba ufaanuzi kama itakupenfeza
 
Huwa inahuzunisha zaidi pale mtu anapoishi amerika miaka 15 hadi 20 hajatoboa, halafu ikatokea amerudi bongo kuishi. Yaani huwa wanachanganyikiwa nyie acheni
Mama D km hujaolewa twende zetu bwana ..usiogope kuchanganyikiwa...hata mifugo tutachunga tu...kwanza haturudi....watakuona wapi??? Tangu utoke kijijini ukiwa mdogo hakuna anae kujua leo..... Kwani km ukichanganyikiwa kuna mtu anakudai???? Tatizo watu wanaiba hela wanakopa hovyo wanatamba hovyo hao ndo waoga kurudi kijijini/nchini..
... Lkn wengine sis ahaaa! Hata jirani hanijui
..
 
yaani km weye ni mdada ni tag ...natafutaga watu km nyie sijawahi pata.
 
Mleta uzi leta picha kisindikiza topic yako[emoji848]
 
kwani unadhani makulima hayo yatakuelewa basi!!! Yakisha kula vihepe yakavembewa yamemaliza.....yamejawa na wivu wa kichawi tu....hayana lolote!
 
sisi kule kwetu huyo tunamuona shujaaa karudi....km kuna chochote mtaji tunampa asukumie maisha....japo kakosa lkn alikuwa na nia nzuri....na wengine wanaenda vilevile!...japo hata kaiona barafuu wewe je?? Wa hivi hatakusogea Dsm hapo ni shida mnoo!...ubakie mkoani mpaka kifo.....kuyachanganya mamtu km haya rudi umevaa ndara na pensi iliyotoboka kabisaaa...
 
Naona unaingia Jumba la Popobawa kinyumenyume
Haina shida.. Kuumbe mnafaidiga sana mkuu? afadhali litanisaidia kuchamba! Mbona mavi yanatokaga bure?.. Kwani si kidogo tu au! ...... unanionea wivu wewe Mkuu.nitakuunga!! yaani mkuu baba usiwe na hofu...halafu unanenepaaa lainiii!..nasikia yanatoaga na hela...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…