Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Mkuu umenitisha! Unajua matajiri wa kimarekani lakini? Nitakutafutia..

Jerry Jones House Dallas, TX​

Making it to #8 on D Magazine’s list of the 100 Most Expensive Homes in Dallas 2017, Jones’ 14,044 square foot Mediterranean-style villa, has an estimated market value of a whopping 28.1 million! That’s not too shabby considering he paid “only” $6 million for it in 1992.

The massive Dallas mansion sits on 4.69 acres of land in an uber-wealthy Highland Park, Dallas, TX neighborhood, where only people with wallets like Jerry Jones will ever have the pleasure of living. Sorry peeps, unless you have millions in the bank, you’re not gonna bag one of the mega-mansions here…but hey, we can all dream, right?!
 

Jerry Jones House Dallas, TX​

Making it to #8 on D Magazine’s list of the 100 Most Expensive Homes in Dallas 2017, Jones’ 14,044 square foot Mediterranean-style villa, has an estimated market value of a whopping 28.1 million! That’s not too shabby considering he paid “only” $6 million for it in 1992.

The massive Dallas mansion sits on 4.69 acres of land in an uber-wealthy Highland Park, Dallas, TX neighborhood, where only people with wallets like Jerry Jones will ever have the pleasure of living. Sorry peeps, unless you have millions in the bank, you’re not gonna bag one of the mega-mansions here…but hey, we can all dream, right?!
Bavaria, huyo ni mmojawapo wa Matajiri wa Dallas, nyumba yake ni USD 28.Million. Mahalia panaitwa Highland Park, ....unataka kuwa jirani yake?
 
Bavaria, huyo ni mmojawapo wa Matajiri wa Dallas, nyumba yake ni USD 28.Million. Mahalia panaitwa Highland Park, ....unataka kuwa jirani yake?
Of the eight in the Park Cities and Preston Hollow on the list, Andrew Beal and Jerry Jones were in the top 100, with net worths of $9.9 billion and $9.1 billion, respectively.

After that, you’ll have to exercise that scroll finger a bit before you get to Mark Cuban and Trevor Rees-Jones, who are tied at 247.

The list:

  • No. 78: Andrew Beal (Preston Hollow, net worth: $9.9 billion)
  • No. 86: Jerry Jones (Highland Park, net worth: $9.1 billion)
  • No. 247 (tie): Mark Cuban (Preston Hollow, net worth: $4.5 billion)
  • No. 247 (tie): Trevor Rees-Jones (Highland Park, net worth: $4.5 billion)
  • No. 261: Robert Rowling (Highland Park, net worth: $4.3 billion)
  • No. 273: Margot Birmingham Perot (Preston Hollow, net worth: $4.1 billion)
  • No. 289: Kelcy Warren (Preston Hollow, net worth: $3.9 billion)
  • No. 363: H. Ross Perot Jr. (Preston Hollow, net worth: $3.2 billion)
 
Of the eight in the Park Cities and Preston Hollow on the list, Andrew Beal and Jerry Jones were in the top 100, with net worths of $9.9 billion and $9.1 billion, respectively.

After that, you’ll have to exercise that scroll finger a bit before you get to Mark Cuban and Trevor Rees-Jones, who are tied at 247.

The list:

  • No. 78: Andrew Beal (Preston Hollow, net worth: $9.9 billion)
  • No. 86: Jerry Jones (Highland Park, net worth: $9.1 billion)
  • No. 247 (tie): Mark Cuban (Preston Hollow, net worth: $4.5 billion)
  • No. 247 (tie): Trevor Rees-Jones (Highland Park, net worth: $4.5 billion)
  • No. 261: Robert Rowling (Highland Park, net worth: $4.3 billion)
  • No. 273: Margot Birmingham Perot (Preston Hollow, net worth: $4.1 billion)
  • No. 289: Kelcy Warren (Preston Hollow, net worth: $3.9 billion)
  • No. 363: H. Ross Perot Jr. (Preston Hollow, net worth: $3.2 billion)
Hawa ni matajiri wanaoishi Highland Park Dallas...Hao ndio watakua jirani zako!!
 
Nimemkumbuka mzee wetu Edward Ngoyai Lowassa...Elimu, elimu , elimu. Wadanganyika na chuki zao kwa diaspora na kujilinganisha maisha yao na wao. Wenyewe gari, nyumba na kabiashara kidogo tu wanaona wametoboa, ndio basi utawaona kila siku samaki samaki mlimani city.
Exposure ni muhimu sana.
 
Ndg, Hesabu ni Rahisi sana. Fikiria Umetumia 20 Fresh years Kuyatafuta Maisha kama Diaspora.

Huna Contribution yoyote Kwa Nchi...!Kwa Ndg Wa Karibu n.k..!

Unataka Kurudi Nyumbani.Wengi Uliowaacha Nyumbani wako Mbali Kimaendeleo..!
Sasa Wewe Ni Diaspora Kuja Kumzika tu Mzazi Wako Unakosa Nauli... !Wewe Mwenyewe Unajiweka Kwenye Kundi Lipi? Umefanikiwa au Umepoteza...!?

Jua kuwa Ukikaa nje halafu unaganga njaa...wenyewe mnaita kubeba Box kazi hizo za Udereva,kuosha Bakuli kwenye migahawa sijui Kuzoa Taka na Kusafisha mitaro...jua unapoteza muda na Utu Wako.. Rudi tu Nyumbani Kuepuka Kubaguliwa ' Ubaguzi Wa Rangi'.

Huo ndo Ushauri Wangu...Nilishakaa kidogo huko ...Ubaguzi Niliouona Nilijiapiza Kuwa Siwezi Kuuvumilia..!
Wanaofanya kazi za kusafisha mitaro yetu ya barabara zetu, kuosha bakuli kwenye migahawa hapa Tanzania wanapoteza muda na utu wao?? Hebu heshimu kazi halali za watu wewe, and never look down on other people,

unaweza ukawa unajinadi kuuchukia ubaguzi , kumbe wewe ni mmbaguzi namba moja , ubaguzi sio wa rangi tu
 
Maisha ni hapa hapa Bongo kuna kila fursa.USA nakwenda kutembea tu si kuishi.

Halafu nina mifano mingi sijui ni bahati mbaya au ndio utaratibu wa huko.Wengi wana rejea wakiwa hawana watoto.
Unaenda lini kutembea USA mkuu, visa ulisha pata?
 
USA kuna opportunities nyingi kuliko Canada
Yes canada pia sometimes wana limitation hata ukipata Permanent residen yakwa kazi uliyoomba unaweza uka limitiwa usifanye kazi nje ya jimbo uliloingilia ,
 
Wanaofanya kazi za kusafisha mitaro yetu ya barabara zetu, kuosha bakuli kwenye migahawa hapa Tanzania wanapoteza muda na utu wao?? Hebu heshimu kazi halali za watu wewe, and never look down on other people,

unaweza ukawa unajinadi kuuchukia ubaguzi , kumbe wewe ni mmbaguzi namba moja , ubaguzi sio wa rangi tu
6Was9, ni Mtazamo finyu wa maisha, waiters, ,Madereva wa daladala,Mama ntilie, wafagizi maofisi nk Kazi zao ni muhimu katika jamii kama kazi nyingine zozote zile, kwa kifupi zinakimu maisha yao.Na ni kweli ubaguzi sio wa rangi tu mkuu.
 
Mkuu mbona hakuna watu kwasisi tuliyo zoea kuishi kwa kuongea na watu si itakuwa ngumu kuishi kimya kimya bila ya kwenda kupiga story na washikaji wakitaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kinapoteza Muda ,nakurudhisha watu kiuchumi kama kujiwekea ratiba rti kwenda kijiweni kupiga story tena watu hesema kabisa anaenda c kupoteza poteza muda"
 
Nimepitia uzi karibu wote, kuna vingi nimejifunza.

Kuna jamaa mmoja majuzi mwezi umepita alinipa kazi ya kumfungia cctv camera nyumbani kwake, huyu mwamba ana ishi marekani kiutafutaji ila anajenga huku Tz. Kiukweli shughuli zake kule ni za kawaida sana ila anakunja pesa ndefu sana ukilinganisha na wewe ambae unajiita white collar wa Tz na yeye ni blue collar wa USA mamaae unajiona bado unacheza na maisha.

Kwanza jamaa yuko simple sana kimuonekano na lifestyle yake afu ana ustaarabu fulani hivi ambao nadhani unaupata automatic ukiishi huko tofauti na huku kwetu. Imagine in less than 2 months mtu anasimamisha mjengo wa maana afu wakati huo huo anatengeneza na barabara ya mtaa kwa kiwango cha hali ya juu hadi wenyeji wanabaki kuulizana huyu ni nani na ukizingatia hao jirani zake ni watu wa hadhi kubwa tu lakini barabara ikashinda kushirikiana na kuitengeneza lakini amekuja mwamba mmoja (mbeba maboksi) amefanikisha peke ake kimya kimya bila kelele na misifa.

Huwezi linganisha USA na sehemu yeyote ile ulimwenguni kwa swala la utafutaji wa maisha bora kwa wenyeji na wageni wakila race.

Swala la kufanikiwa na kufeli inategemea na focus ya mtu binafsi na nidhamu yako ki utafutaji na utumiaji.
Ni kukosa exposure tu... huwezi linganisha hali ya maisha ya bongo na State hasa katika upande wa kazi, ajira na biashara ... !

Mtu amezunguka sana na baasha na cv zake kusaka kazi miaka zaidi ya mitqno na bachelor Degree yake, mwisho wa siku anapta akazi ya kumliapa 450 /mo , halafu anakuja kucomment bongo fursa nyingi 😃😃

Ajiulize tu mtu mwenye high school Diploma kaasasa analipwa s ngapi kazi za min wages zinafika hadi 15$ /hour , atajilinganisha naye??
 
Mkuu kwangu itakuwa vigumu, kwanza sijatembea States nyingi, na nimeishi State moja tu, Texas. Kwa data za sasa hivi uchumi wa Texas ni mzuri, mashirika na Makampuni mengi Yana hamia hapa, hivyo ajira za kila aina zipo, kuna baadhi ya kodi Texas hazitozwi, hivyo ni raisi kununua nyumba. Katika States nilizotembea,nimeipenda Florida,hasa mji Jacksonville, lakini pia Atlanta Georgia, na Portland Oregon. Lakini Mkuu Marekani ni nchi kubwa mno na diversity pia kubwa mno,unatoka State moja kwenda nyingine unaona vitu tofauti na ulikotoka.Hivyo mwisho wa siku inabaki wapi panakupa Maisha.Na pia hali ya hewa ni tofauti tofauti kila States, naipenda Texas weather ni kama Tanzania,ingawa joto sana summer, na mara chache kuanguka barafu. Hivyo kila anayeishi US atakupa experience tofauti tofauti, lakini kila navyoishi Marekani napenda mno kuishi miji midogo au vijijini tabu yake hakuna kazi, na diversity ya watu ni ndogo,hasa wazungu ambao hawajawahi kuishi na Waafrika,inaweza kukusumbua kidogo.
Okay... ndio maana wa Kenya wengi na wasomalia wanavutana huko Texas .. nafikiri ni kwasababu ya sheria rafiki za kodi kwenye hilo jimbo , pamoja na hali ya hewa kufanna na ya East Africa kiasi..

Wakenya wengi huko wanazishambulia fursa balaa
 
Mwana nafkiri tunafanana mawazo mimi nipo serikalini na nina baadhi ya vitu ulivonavyo na watu wanaona nimetoboa ila nafsini mwangu naona bado kabisaa sijafanikiwa.naplan kuacha kazi kwenda nje ya afrika kutafuta fursa na kupata exposure zaidi. shida ni the right connection
Generally njia za kuingia ni kupitia

kusoma,
Utalii,
Ndoa/uchumba,
Kazi/ajira,
Uwekezaji,


Ni weqe kuangalia njia ipi itakuqa rahisi kwako kupata Visa kwa nchi husika unayogikiria kwenda ...!!!
 
Ujinga wa Canada ubalozi wao wa Dar hautowi viza, Viza zitolewa Nairobi.

Kuna ofisi yao ipo kinondoni ndio wanapokea viza application na juzituma docs Nairobi then passport ikirudi ndio unapigiwa simu ukachukuwe passport yako na hapo ndio unajuwa kama wamekupa au umenyolewa, kuna advantage yake lakini kwa utaratibu huu kwa watu ambao wapo genuine. Kwahiyo minimum Canadian viza unatakiwa kuapply miezi mitatu kabla ya safari yako.

Tatizo la US Embassy wanatowa viza same day lakini consular akiamka vibaya unanyolewa, hapo ndio utaona tofauti ya viza ya Canada haitolewi kwa mihemko maombi yako yanapitiwa vizuri kwa umakini na wanatenda haki, ukiona mtu ananyolewa viza ya Canada ni ukweli documentation alikuwa na magumashi mengi.
Hivi kwanini Canada waliondoa ofisi zao za kuprocess visa ?

Nafikiri ukilipia Express ile visa yako itakuwa processed faster
 
Back
Top Bottom