Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Haya ndio mabox....Sibebi kichwani, si sogezi hata kidole, ni fork lift tu..I can go to Disney...I bought a house...send my kids to Colleges..driving a car of my choice...na kutoa support hapa na pale ndugu zangu wanasumbulia na Ada, au kupigwa mapanga na panya Road! Part time nasoma vitabu na articles malicious mbali to keep my brain sharp! Maana kazi haina kutumia brain.
Hahahaha mbona panya road
 
Utu ni kuishi tanzania na Degree yako pamoja na Elimu uliyosoma nusu ya Maisha yako kwa mshahara wa laki 5? Au kuishi US kubeba Box na kulipwa Dola 20 kwa saaa na kuishi kwenye nyumba mzuri ambayo Bongo unazikuta Masaki na Oysterbay? Which is which? Wabongo mnapenda sana kujifariji
Sio kujifariji, ni itakadi za bora tukose wote😆
 
Ni kukosa exposure tu... huwezi linganisha hali ya maisha ya bongo na State hasa katika upande wa kazi, ajira na biashara ... !

Mtu amezunguka sana na baasha na cv zake kusaka kazi miaka zaidi ya mitqno na bachelor Degree yake, mwisho wa siku anapta akazi ya kumliapa 450 /mo , halafu anakuja kucomment bongo fursa nyingi 😃😃

Ajiulize tu mtu mwenye high school Diploma kaasasa analipwa s ngapi kazi za min wages zinafika hadi 15$ /hour , atajilinganisha naye??
Huko ni kupoteza muda mkuu, wabongo tuna ridhika na tu vitu tudogo tudogo sijui ni kwa nini.

Unakuta kijana anafanya kazi kwa ofisi ya kiyoyozi afu anatembelea ki baby walker tayari anaanza kudharau watu, na kujiona ameyapatia maisha.

Mi nafikiri pia ubinafsi ni sababu kubwa inachangia kuwa na mawazo mgando. Kwa mtu mwenye maono na ndoto juu ya familia na jamii inayomzunguka hawezi kiridhika kizembe ni lazima apambane kuikomboa familia yake.
 
Battor, Mkuu Marekani ukiwa focused and disciplined na una papers kuna room kubwa ya kufanikiwa. Wengi wa Watanzania kwanza hawana valid legal papers za kuwa Marekani, na kujua wanatafuta nini.Kama unataka ku invest nyumbani, au unataka kusoma, au umeamua maisha yako utaishia na kufia hapa, hayo yote inabidi uamue mapema na uweke nguvu zako hapo.Siwezi ku disclose information za watu,lakini nawajua Watanzania waliofanikiwa Mkuu, wana investments nyumbani na wala hajulikani na watu, wana keep low profile! Na hata ukiamua uishi maisha ya kawaida tu, nimejaribu kutoa mfano wangu, baada ya ku factor umri niliongilia Marekani, age wa watoto wangu ambao nilitaka sana waingie University,ilibidi ni study maisha ya Mmarekani wa kawaida anaishije, yaani anayeamka asubuhi na kwenda Kazini, nikaona pesa anayopata ni kubwa ukilinganisha na Afisa wa cheo cha kati au cha juu Tanzania,nikaona nikweka na discipline ya bongo natoka! Just Imagine labda kwa wiki nalipwa USD 1200 kwa wiki mke wangu bado anasoma na anafanya biashara zake,kwa wiki analeta USD 900, nikilipa Morgage ya nyumba na matumizi mengine, I'm making some savings,nikiweka hiyo pesa kwa pesa za Kitanzania, almost 2mil per Month.With this money I can do something home.Hii ni picha ya Mtu ambaye nimeamua kufanya kazi ya kawaida kabisa haihitaji shule.Hivyo Kunaishika jamaa yangu.
Nakubaliana na wewe Mkuu.
Amin umesaidia wengi sana kwa kutokuwa mchoyo wa mawazo. Stay Blessed Brother una roho ya kitajiri.
 
Huko ni kupoteza muda mkuu, wabongo tuna ridhika na tu vitu tudogo tudogo sijui ni kwa nini.

Unakuta kijana anafanya kazi kwa ofisi ya kiyoyozi afu anatembelea ki baby walker tayari anaanza kudharau watu, na kujiona ameyapatia maisha.

Mi nafikiri pia ubinafsi ni sababu kubwa inachangia kuwa na mawazo mgando. Kwa mtu mwenye maono na ndoto juu ya familia na jamii inayomzunguka hawezi kiridhika kizembe ni lazima apambane kuikomboa familia yake.
Kweli kabisa, sijui kwanini watu wengi wanakandia sana habari hiz badala hata wawe open minded wajifunze..?
 
Mpaka leo visa za US ni mwaka mmoja mmoja. Kenya na Rwanda wanapewa mpaka 5-10 years. Niliuliza nikaambiwa ni reciprocity rule. Tanzania wanatoa mwaka mmoja mmoja kwa wamarekani. Nikajiuliza hawa mabalozi wanafanya kazi gani? Ndo fursa zenyewe ati. Tanzania tuachane na haya Mawazo ya ukomunisti. Tuchangamkie fursa. Tupambane haya masharti yabadilishwe. Canada visa unapewa mpaka 10 years.

kuhusu fursa bongo, nisiongee mengi. Ukweli ni kwamba wabongo tunapenda kujifariji. Huwezi linganisha fursa mambelezz na maisha ya kibongo. Hata quality of life. Bongo hata ukiwa na masters kichwan, unaweza kuwa mtupu kwenye skills za maisha. Wengi tunajua maana tumepitia hiyo mifumo.
 
Mpaka leo visa za US ni mwaka mmoja mmoja. Kenya na Rwanda wanapewa mpaka 5-10 years. Niliuliza nikaambiwa ni reciprocity rule. Tanzania wanatoa mwaka mmoja mmoja kwa wamarekani. Nikajiuliza hawa mabalozi wanafanya kazi gani? Ndo fursa zenyewe ati. Tanzania tuachane na haya Mawazo ya ukomunisti. Tuchangamkie fursa. Tupambane haya masharti yabadilishwe. Canada visa unapewa mpaka 10 years.

kuhusu fursa bongo, nisiongee mengi. Ukweli ni kwamba wabongo tunapenda kujifariji. Huwezi linganisha fursa mambelezz na maisha ya kibongo. Hata quality of life. Bongo hata ukiwa na masters kichwan, unaweza kuwa mtupu kwenye skills za maisha. Wengi tunajua maana tumepitia hiyo mifumo.
Mawazo ya Kikomnisti yanaitesa sana Tanzania, unayaona katika mambo mengi, Sera za uwekezaji, uraia pacha nk.Nakumbuka nilipokuwa nimepata kazi nje ya Tanzania nilikwenda kumuaga Proffesor na Rafik yangu tuliyekuwa na chuo, akaanza kuniuliza Je Serikali imekupa kibali cha kuondoka nchi, nikamwambia mimi si mfanyakazi wa serikali, akanijibu haiwezekani tu undone nchini bila ruhusa ya serikali hata kama hufanyi kazi serikali, akashikilia lazima iwepo Sera! Nilishtuka sana msomi kama huyo kuwa na mawazo mgando! Kwake yeye Serikali ndio baba ndio Mama, kutoka na kutafuta maisha nje ya Tanzania ni uasi na kukosa uzalendo! Na ndio mawazo ya Watanzania wengi.Unashangaa Wakenya wanahangaika nje, anarudi kwao anagombea ubunge, hawezi kuwa Rais tu! Kwetu sisi utaambiwa Mara unatumika na mabeberu nk.! Kuwa nje hakuondoa utanzania wangu! Na kusinizue nitrate ndoto zangu popote ulimwenguni.
 
Mawazo ya Kikomnisti yanaitesa sana Tanzania, unayaona katika mambo mengi, Sera za uwekezaji, uraia pacha nk.Nakumbuka nilipokuwa nimepata kazi nje ya Tanzania nilikwenda kumuaga Proffesor na Rafik yangu tuliyekuwa na chuo, akaanza kuniuliza Je Serikali imekupa kibali cha kuondoka nchi, nikamwambia mimi si mfanyakazi wa serikali, akanijibu haiwezekani tu undone nchini bila ruhusa ya serikali hata kama hufanyi kazi serikali, akashikilia lazima iwepo Sera! Nilishtuka sana msomi kama huyo kuwa na mawazo mgando! Kwake yeye Serikali ndio baba ndio Mama, kutoka na kutafuta maisha nje ya Tanzania ni uasi na kukosa uzalendo! Na ndio mawazo ya Watanzania wengi.Unashangaa Wakenya wanahangaika nje, anarudi kwao anagombea ubunge, hawezi kuwa Rais tu! Kwetu sisi utaambiwa Mara unatumika na mabeberu nk.! Kuwa nje hakuondoa utanzania wangu! Na kusinizue nitrate ndoto zangu popote ulimwenguni.
Tanzania tuna safari ndefu sana. Kikubwa tunahitaji kubadili fikra/mindset. Kuna watu wanaamini mpaka leo kazi ya serikali ndo yenye insurance. Ndo maana watu hawaishi kugombana na serikali waongezewe mishahara..ukiuliza hiyo nyongeza ni shillingi ngapi..hata 10k haifiki! Mimi leo na umri wangu sijawahi kupata kazi yenye mkataba wa zaidi ya mwaka mmoja (sifanyi kazi serikalini). Ila ukimwambia mTanzania anastuka anaona kama ni ndoto isiyowezekana. Yeye anaamini kazi lazima iwe permanent and pensionable :-0. Wakenya, wa-nigeria ni habari nyingine. Nature ya maisha imewafanya hustle ni sehemu ya maisha yao.

Watu wakiwa wanakunywa serengeti lite ya 1500 na kitimoto ya rosti kwa mama Kamche au Kimara.....wanadanganyana mengi sana kuhusu the so called fursa za bongo! Mfano; Uko kitaa cha makumbusho....unamkaribisha mshikaji unayemheshimu mbadilishane mawili matatu....pale brake point..unamnunulia beer za baridi na mchemsho wa kuku..akishiba na jasho limepungua ...anaanza stories zake..hivi vipi mbona cassavaleaves harudi? anafanya nini US? aahh..jamaa mimi simuelewi.. Mwambieni bwana..maisha yapo bongo..fursa zipo hapa hapa.... ukimuangalia kiatu chake kimepigwa vumbi, na suruali yake ya Uturuki au ameshona mwenge kwa fundi maiko..... na maybe pembeni amepack Vitz au toyota Raum ya Japan ya mwaka 2005. Sasa unajiuliza huyu anaulizia maisha ya cassavaleaves ili iweje? Kwani yeye hizo fursa hazioni? Na hapo mkiachana lazima akupige mzinga.

Pia wabongo wengi tuna kasumba ya tukose wote. Ndo maana stories za ufisadi bongo haziishi. ni kweli ufisadi upo, lakini kuna wengi wamekuwa victims tuu simply because wana maisha mazuri au wanaendesha magari mazuri/nyumba nzuri. Wamekwenda kinyume na utaratibu uliozoeleka.

Ukipata opportunities kwenda western countries kama US au Canada ukashindwa maisha..wewe huwezi kufaulu popote. Labda uingie kwenye siasa za CCM ambazo wizi na ulaghai umetamalaki.

On ending note: siku moja napiga story na jamaa yangu kuhusu life nje... nikashare naye fursa ya kazi ya mkataba wa six months ...akasema hawezi kuacha kazi unless mkataba uwe wa five years na kuendelea! Nikajiuliza hivi hii ni akili au ni tope kama la soko la mabibo?
 
Kweli kabisa, sijui kwanini watu wengi wanakandia sana habari hiz badala hata wawe open minded wajifunze..?
Tatizo letu ni ushamba wa ku act kujua kila kitu.

Mwelevu huwa anachukua habari zote afu anachuja pumba na madini, kupitia pumba utajifunza na kupitia madini utapata njia na mwanga.

Wadau wenye experience ya huko wametiririka mengi sana na kwa mwenye utimamu wa akili kuna mengi amejifunza, Mkuu tuombe uzima na afya njema, Mie nakuhakikishia ni must nifike huko, skills na attitude ya utafutaji ninayo wacha nifanye jitihada za kupata legal papers, then kuna siku nitaleta mrejesh hapa.
 
Anazungumzia Marekani hiyohiyo, mfafanulie inakuwaje mtu akifa kusafirisha inakuwa issue?

Tupe uzoefu tatizo huwa linakuwa nini?Anan
Anachosema Mdau ni kweli marekani pesa ipo ila , kwa watu wengi kuishakaa huko huwa hawana standby fund kutokana na nature ya tulikotoka, kila Mbezi majukumu ni mengi sana kusaidia nyumbani, kuwekeza nk unakuta wengi ni all season wanaishi maisha tight , hauwezi pretend huku nyumbani watu wana shida so msiba ukitokea ndo kama hivyo na si cheap kama unavyodahni.
 
Mawazo ya Kikomnisti yanaitesa sana Tanzania, unayaona katika mambo mengi, Sera za uwekezaji, uraia pacha nk.Nakumbuka nilipokuwa nimepata kazi nje ya Tanzania nilikwenda kumuaga Proffesor na Rafik yangu tuliyekuwa na chuo, akaanza kuniuliza Je Serikali imekupa kibali cha kuondoka nchi, nikamwambia mimi si mfanyakazi wa serikali, akanijibu haiwezekani tu undone nchini bila ruhusa ya serikali hata kama hufanyi kazi serikali, akashikilia lazima iwepo Sera! Nilishtuka sana msomi kama huyo kuwa na mawazo mgando! Kwake yeye Serikali ndio baba ndio Mama, kutoka na kutafuta maisha nje ya Tanzania ni uasi na kukosa uzalendo! Na ndio mawazo ya Watanzania wengi.Unashangaa Wakenya wanahangaika nje, anarudi kwao anagombea ubunge, hawezi kuwa Rais tu! Kwetu sisi utaambiwa Mara unatumika na mabeberu nk.! Kuwa nje hakuondoa utanzania wangu! Na kusinizue nitrate ndoto zangu popote ulimwenguni.
Hiyo ndio Tanzania aliyokuwa anaitamani Magufuli, full ukomunisti kama mpo North Korea.

Kuna siku msanii Diamond alikuwa anasafiri kwenda Marekani wakamuuliza kibali cha basata, vichekesho😄😄

Mtu ana viza ana ticket anakwenda safari zake binafsi what is Basata?

Kulikuwa na Meya wa Jiji wa Chadema Mwita Chacha naye aliwahi kuzuiwa asisafiri hana kibali cha Magufuli, aisee that old Man alikuwa anatupeleka kuzimu, na utashangaa ana mashabiki wake wanaotetea ufedhuli na ujahili wake.
 
Tatizo letu ni ushamba wa ku act kujua kila kitu.

Mwelevu huwa anachukua habari zote afu anachuja pumba na madini, kupitia pumba utajifunza na kupitia madini utapata njia na mwanga.

Wadau wenye experience ya huko wametiririka mengi sana na kwa mwenye utimamu wa akili kuna mengi amejifunza, Mkuu tuombe uzima na afya njema, Mie nakuhakikishia ni must nifike huko, skills na attitude ya utafutaji ninayo wacha nifanye jitihada za kupata legal papers, then kuna siku nitaleta mrejesh hapa.
Safi sana, all the best!
 
Mpaka leo visa za US ni mwaka mmoja mmoja. Kenya na Rwanda wanapewa mpaka 5-10 years. Niliuliza nikaambiwa ni reciprocity rule. Tanzania wanatoa mwaka mmoja mmoja kwa wamarekani. Nikajiuliza hawa mabalozi wanafanya kazi gani? Ndo fursa zenyewe ati. Tanzania tuachane na haya Mawazo ya ukomunisti. Tuchangamkie fursa. Tupambane haya masharti yabadilishwe. Canada visa unapewa mpaka 10 years.

kuhusu fursa bongo, nisiongee mengi. Ukweli ni kwamba wabongo tunapenda kujifariji. Huwezi linganisha fursa mambelezz na maisha ya kibongo. Hata quality of life. Bongo hata ukiwa na masters kichwan, unaweza kuwa mtupu kwenye skills za maisha. Wengi tunajua maana tumepitia hiyo mifumo.
Kenya hata visa ya UK na Canada wanapewa miaka mingi na multiple entries kuliko sisi...

Sisi bado tupo na sheria zetu za maika ya 60
Na ndio maana hata PASSPORT yetu haina nguvu!
 
Wengi wanaona bongo ngumu sababu hawatumii akili kutumia fursa zilizopo na kutafuta mpya bali wanataka waende kwa wazungu walioumiza vichwa wakatengeneza maisha then Wabongo wanaishia kuwa vibarua wa wazungu trust me Hii bongo ukituliza kichwa kuna pesa nyingi sana na uhuru mkubwa sana huko US na nchi nyingine utakuwa unaenda vacation tu na kibunda chako tu kibali kuteseka kwa muda tu na uvumilivu
 
Tanzania tuna safari ndefu sana. Kikubwa tunahitaji kubadili fikra/mindset. Kuna watu wanaamini mpaka leo kazi ya serikali ndo yenye insurance. Ndo maana watu hawaishi kugombana na serikali waongezewe mishahara..ukiuliza hiyo nyongeza ni shillingi ngapi..hata 10k haifiki! Mimi leo na umri wangu sijawahi kupata kazi yenye mkataba wa zaidi ya mwaka mmoja (sifanyi kazi serikalini). Ila ukimwambia mTanzania anastuka anaona kama ni ndoto isiyowezekana. Yeye anaamini kazi lazima iwe permanent and pensionable :-0. Wakenya, wa-nigeria ni habari nyingine. Nature ya maisha imewafanya hustle ni sehemu ya maisha yao.

Watu wakiwa wanakunywa serengeti lite ya 1500 na kitimoto ya rosti kwa mama Kamche au Kimara.....wanadanganyana mengi sana kuhusu the so called fursa za bongo! Mfano; Uko kitaa cha makumbusho....unamkaribisha mshikaji unayemheshimu mbadilishane mawili matatu....pale brake point..unamnunulia beer za baridi na mchemsho wa kuku..akishiba na jasho limepungua ...anaanza stories zake..hivi vipi mbona cassavaleaves harudi? anafanya nini US? aahh..jamaa mimi simuelewi.. Mwambieni bwana..maisha yapo bongo..fursa zipo hapa hapa.... ukimuangalia kiatu chake kimepigwa vumbi, na suruali yake ya Uturuki au ameshona mwenge kwa fundi maiko..... na maybe pembeni amepack Vitz au toyota Raum ya Japan ya mwaka 2005. Sasa unajiuliza huyu anaulizia maisha ya cassavaleaves ili iweje? Kwani yeye hizo fursa hazioni? Na hapo mkiachana lazima akupige mzinga.

Pia wabongo wengi tuna kasumba ya tukose wote. Ndo maana stories za ufisadi bongo haziishi. ni kweli ufisadi upo, lakini kuna wengi wamekuwa victims tuu simply because wana maisha mazuri au wanaendesha magari mazuri/nyumba nzuri. Wamekwenda kinyume na utaratibu uliozoeleka.

Ukipata opportunities kwenda western countries kama US au Canada ukashindwa maisha..wewe huwezi kufaulu popote. Labda uingie kwenye siasa za CCM ambazo wizi na ulaghai umetamalaki.

On ending note: siku moja napiga story na jamaa yangu kuhusu life nje... nikashare naye fursa ya kazi ya mkataba wa six months ...akasema hawezi kuacha kazi unless mkataba uwe wa five years na kuendelea! Nikajiuliza hivi hii ni akili au ni tope kama la soko la mabibo?
Idiadi ya madogo wanaomwaga mtaani na Degree zao zitawafanya wafikiri nje ya mipaka ya kijiji chao cha Tz nakufikiri nje ya Tz

Ona Nigeria yenye idadi kubwa ya watu na wasomi now wapo hafi kariakoo wanauza computer Accessories...,

Dunia ni kijiji sasa !
 
Mimi nimekaa Marekani mji wa Washington. Ubaya wa Marekani hakuna undugu kila mtu kivyake kiutafutaji. Maisha ya Marekani ni magumu sana kwa kiingereza tunaita hand to mouth. Kwa gharama ya $600 kwa mwezi naona mtu huyo anapata mateso makubwa. Kama alivyosema kuwa anaweka akiba ya $4500 kwa mwezi. Kwa Afrika ukiwa unajishughulisha hicho kiasi ni kidogo kwa mfanyabiashara wa Afrika. Kinachotuharibu hapa Afrika hatuna utaratibu mzuri wa maisha. Familia tegemezi za afrika huwezi linganisha na familia ya America ya mtu mmoja, mkewe na mtoto. Nawashauri hapa kwetu Afrika kuna fursa nyingi sana kuliko America ambapo hata usingizi hupati kwa kudandia kazi za kuhama hama kwa siku.
Nitakutafuta nikupe mchongo au unipe mchongo niko kusini mwa nchi mzee
 
Back
Top Bottom