Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Kizazi cha mashoga mna taabu
weye mwenye bikra ya nyuma hiyo... ndo mwenye shida unatuonea wivu bure tu....wkt na wewe una naniliu ya nya hiyo?? Tena km haijaguswa utapata hela sana..unajirengesha kijanja njoo tu...
 
Habari JF

leo Katika mada yangu kichwa tajwa hapo juu, Ningependa nishare nanyi Uzoefu wangu wa maisha ya marekani, maana nimeona watu wengi sana wakijadili namna watu wanavyoishi nje, ajabu kati ya mia, tano tu ndo wanaelewa maisha halisi ya marekani.

Licha mimi huwa sipendi kuishi Marekani, lakini fursa zilizopo ndo zinatufanya tuelendelee kunganagia haya maisha, ndomana maisha yangu ya uwekezaji Yapo africa lakini utafutaji ni marekani kwa vile tu sijafikia malengo yangu ya maisha.

Miaka 6 ndani ya nchi ya marekani, ninaishi kwa Green card, nina ruhusiwa sasa kuomba uraia lakini mimi kwangu huwa si kipaumbele, maana nina uwezo wa kutoa na kuingia na kukaa nje ya marekani muda wa miezi sita.

Nimeishi majimbo na kufanya kazi kampuni tofauti tofauti, Mara nyingi nafanya hivyo tu ili kujifunza maisha halisi ya marekani. Mwaka jana nimefanya kampani saba na kuishi majimbo matatu. kufanya kazi marekani huwa nafanya tu kukaa bila kazi. nilichokifanya miaka minne ya marekani niliweka nguvu kuwekeza nyumbani jambo ambalo nilifanikiwa na kunipa huakika wa kuishi hapa bila kuwa na kazi.

Katika Harakati zangu za kucompare africa na marekani sehemu nzuri ya kuishi, niligundua africa kinachotufelisha ni uchumi ila ukiwa na pesa napendekeza kuishi afrca badala ya marekani. Marekani ni sehemu tu ya utafutaji ikiwa africa huna cha kupoteza(maono yangu)

MAZURI YA MAREKANI.
naipenda nchi ya marekani ni nchi ambayo inamuwesha kila mtu bila kujali nchi uliotokea kufanya lolote na ukafanikiwa, tofauti na nchi kama vile urusi, china. marekani ni nchi ya kila mtu kufanya anachoweza yaani nchi ya fursa. ukitaka kuwa doctoe, nurse nk.. hata kama umefeli elimu katika nchi yako marekani kuna njia nyingi za kukuwezesha ukarudi shule na ukatimiza ndoto zako.

Ikiwa ndo mara ya kwanza unaingia marekani, Kitu cha kwanza jifunze sana kingereza, kitu cha pili somea fani yeyote, cha tatu kuchuka Credit card. ukiwa na hayo matatu nchi ya marekani umemaliza mambo mengine yanakuja, na hayo yote inawezekana kufanyika kwa mtu yeyote anaishi marekani kihalali.

kazi na makazi, siwezi kushauri kuishi kwenye miji kama Chicago, New york, washington nk.. mara nyingi miji hii kazi zake ni professional. tena ina gharama kubwa ya rent. badala yake nenda kwenye majimbo kama dakota, kenctuky , mara nyingi ni kazi za viwanda au Entry job alafu rent iko chini.

Watu wengi kutoka nje ya marekani wanafanya ENRTY JOBS kutokana na lugha kuwa ngumu alafu pesa zinawachanganya hawataki kusoma.

Marekani kuna uraisi wa kumiliki nyumba gari na kufanya biashara unayotaka(biashara ya import chakula na kuuza kwenye maduka ya africa inalipa). hata kama huna huwezo huo. unaweza kutumia CREDIT yako na kupata nyumba, gari, au pesa baadae utalipa taratibu. kikubwa deal na Scores zako kuwa HIGH, na Credit ni kitu muhimu sana marekani.

Kazi ni nyingi na unaruhususiwa kufanya kazi masaa yote unayotaka hata kuwa na zaidi zaidi ya kumi, Mfano mimi nina ENTRY JOBS ndo always huwa nafanya kazi za aina hii, Kazi yangu ya Sasa Ni HMI CLASS tunatengenza class, nafanya kazi masaa 8 kila siku nalipwa $21 kwa saa na overtime $27, awali ilikuwa GE Appliance nilikuwa nalipwa $19, Before GE ilikuwa Fedex nilikuwa nalipwa $19.50, kabla ya Fedex ilikuwa Amazon $20.

Now kazi yangu ya sasa nafanya masaa ninayotaka nikisema kwamba nataka nipate $5000 mwezi huu inapatikana na gharama zangu za maisha ya marekani hazifiki hata $600(bills). So hapo nina kitu cha kufanya tayari africa. Imagine miez 12 ya kazi nikiruid africa huwez kusema tunarudi tumechoka.

Fursa nyingine ambayo kwangu huwa naona ni muhumu sana hapa marekani ni technology, Iphone ilipo marekani sio iliopo africa, chrome inavyofanya kazi marekani ni tofauti kabisa na africa, System za simu na Feature baadhi za Social Media ziko tofauti. kuna software kama vile Stripe huwezi kujiunga ikiwa unaishi africa, so mambo kama hayo ni muhimu sana na ni fursa kubwa.
Hat banl system ni tofauti kabisa zinavyotumika africa.

So kuishi marekani kuna fursa ya kuelimika pia, saivi ukimwabia banker maswala ya wallet pay, wireless pay, finger pay haya ni mambo mageni kwake au anasikiaga tu, ila wewe unaelimika kutoka na fursa ya mazingira unayoishi

ITAENDELEA.......
NO PM
Tatizo mkuu hatuoni mnawekeza huku nyumbani mbali ya kuomba tuwachangie mnapopata matatizo huko majuu.
 
Tatizo mkuu hatuoni mnawekeza huku nyumbani mbali ya kuomba tuwachangie mnapopata matatizo huko majuu.
Nafawafahamu wengi waliowekeza, lakini wengi ni kwa kujificha ndani ya makampuni au ndugu, sababu kubwa ni kuwa na wasiwasi kwamba si raia, na wanaogopa kupoteza mali zao zikitajwa! Napoandika sasa hivi kuna jamaa nayemfahamu kwa karibu wiki hii anashusha tractor zake njiani kuzipekeka Kigoma,.na anafanya study ya biashara ya magari ya mizigo.
Na kuhusu michango ambayo walioko US wanaomba kutoka TZ, sijui ni ipi, labda misiba, lakini ni utashi wa mtu tu, Marekani mambo ya mazishi ni ya mtu binafsi, na yanafanywa na Bima, baadhi ya watanzania na inawezakana ni wengi, wanao uchuro kuwa na Bima ya mazishi!
Niko US nina Bima ya kunizika mimi na mke wangu, na kiasi nacholipa kwa mwezi wala hakisumbui bajeti yangu.
Kwa watanzania wengi ile jadi ya kuchangia misiba/ harusi/ graduations wamekuja nayo mpaka US
Mojawapo ya siri ya kufanikiwa Marekani ni kujiwezesha kuyamudu maisha yako mwenyewe, na kujifunza kwa wenyeji wa hapa, lakini ukiwa Marekani na mentality ya Bongo itakutesa sana! Kwa kifupi kuna watanzania wengi wako Marekani kimwili, lakini kiakili na kimtazamo bado wako bongo! Ukija Marekani lazima utambue hii ni purely individualistic society!
Lakini pia, huu ni mtazamo wangu binafsi, kama nimeamua kuishi Marekani kwa nini nisizikwe huku, kwa nini niwaongize gharama watu wengine!
 
Hapa ni mtaani kwangu..jirani yangu ni Mkenya. Just a neighborhood ya watu wa kawasaki, normal working class, huko nyumbani mtaniita mbeba maboksi.Nina insurance ya matibabu,insurance Nikifa, na wanangu wanajitegemea.Ni mipango tu jamaa zangu.Marekani inataka akili tu.
Mtoa mada namwelewa sana, US ukienda utatuliza akili, na Mora akabariki umetoka
 
Gharama za maisha zinategemea na jimbo unalokaa dah. Inabidi tuwachape fimbo watu humu, ilo ndo jambo la msingi kujua
 
Classmates wangu alifariki USA tumechanga milioni 40 kumsafirisha hadi kufika Mwanza, kidogo azikwe USA watu tukasema anazikwa bongo wabongo na diaspora tukapambana hadi zikafika milioni 40.Amezikwa Mwanza.
Watu wakishaishi nchi za wazungu wana-adopt zile tabia hasa wakiishi miaka mingi. Sio kwamba hawanaga pesa comrade.... Maisha ya watu wanaoishi nchi za wazungu kuna ubinafsi wa hali ya juu! Kuna kile kitu kwenye nafsi zao hao binadamu wa huko hasa hao wanaoishi majuu mfano ukimuomba mtu kitu atajiuliza maswali kadhaa mfano:- "kwanini aniombe mimi?!" "Huyu aliyekufa kwanini nimchangie mimi?!... kwani hapa hawezi kuzikwa?! "Mimi simjui" n.k

Nimekuwa na marafiki nje wengi kiasi, nikikaa nao wakija naona kabisa kuna mabadiliko makubwa ya tabia ukiwa huko.

Watu wana pesa lakini wameshabadilishwa tabia zimekuwa zinaendana na wa huko.


Si hayo tu hata maswala ya utumiaji wa muda mtu hubadilika. Huwezi kumkuta anapoteza muda hovyo akiwa huko tofauti na huku dunia ya tatu. Muda ni kitu cha thamani sana kwa mwanadamu ila wenzetu wanajua sana ku-deal na factor ya muda.
 
View attachment 2206227
hiyo hapo ni malipo yangu ya kazi kwa muda wa wiki pili, fikiria kila baada ya wiki mbili nipe napata hiyo pesa muda wa mwaka mmoja nitashindwa kuwekeza marekani.

Bima za afya hata kazini kwako.

Alafu ukienda hospital huna bima, kuna mashirika mengi yanaweza kukulipia ila hii ni kwa watu wenye kipato kidogo. kama kipato chako kinalipa kwanini usichukue bima hata $50
Hii dollar elf 2 inabaki ngapi baada ya kutoa matumizi, nazungumzia maisha ya kawaida.
 
Habari JF

leo Katika mada yangu kichwa tajwa hapo juu, Ningependa nishare nanyi Uzoefu wangu wa maisha ya marekani, maana nimeona watu wengi sana wakijadili namna watu wanavyoishi nje, ajabu kati ya mia, tano tu ndo wanaelewa maisha halisi ya marekani.

Licha mimi huwa sipendi kuishi Marekani, lakini fursa zilizopo ndo zinatufanya tuelendelee kunganagia haya maisha, ndomana maisha yangu ya uwekezaji Yapo africa lakini utafutaji ni marekani kwa vile tu sijafikia malengo yangu ya maisha.

Miaka 6 ndani ya nchi ya marekani, ninaishi kwa Green card, nina ruhusiwa sasa kuomba uraia lakini mimi kwangu huwa si kipaumbele, maana nina uwezo wa kutoa na kuingia na kukaa nje ya marekani muda wa miezi sita.

Nimeishi majimbo na kufanya kazi kampuni tofauti tofauti, Mara nyingi nafanya hivyo tu ili kujifunza maisha halisi ya marekani. Mwaka jana nimefanya kampani saba na kuishi majimbo matatu. kufanya kazi marekani huwa nafanya tu kukaa bila kazi. nilichokifanya miaka minne ya marekani niliweka nguvu kuwekeza nyumbani jambo ambalo nilifanikiwa na kunipa huakika wa kuishi hapa bila kuwa na kazi.

Katika Harakati zangu za kucompare africa na marekani sehemu nzuri ya kuishi, niligundua africa kinachotufelisha ni uchumi ila ukiwa na pesa napendekeza kuishi afrca badala ya marekani. Marekani ni sehemu tu ya utafutaji ikiwa africa huna cha kupoteza(maono yangu)

MAZURI YA MAREKANI.
naipenda nchi ya marekani ni nchi ambayo inamuwesha kila mtu bila kujali nchi uliotokea kufanya lolote na ukafanikiwa, tofauti na nchi kama vile urusi, china. marekani ni nchi ya kila mtu kufanya anachoweza yaani nchi ya fursa. ukitaka kuwa doctoe, nurse nk.. hata kama umefeli elimu katika nchi yako marekani kuna njia nyingi za kukuwezesha ukarudi shule na ukatimiza ndoto zako.

Ikiwa ndo mara ya kwanza unaingia marekani, Kitu cha kwanza jifunze sana kingereza, kitu cha pili somea fani yeyote, cha tatu kuchuka Credit card. ukiwa na hayo matatu nchi ya marekani umemaliza mambo mengine yanakuja, na hayo yote inawezekana kufanyika kwa mtu yeyote anaishi marekani kihalali.

kazi na makazi, siwezi kushauri kuishi kwenye miji kama Chicago, New york, washington nk.. mara nyingi miji hii kazi zake ni professional. tena ina gharama kubwa ya rent. badala yake nenda kwenye majimbo kama dakota, kenctuky , mara nyingi ni kazi za viwanda au Entry job alafu rent iko chini.

Watu wengi kutoka nje ya marekani wanafanya ENRTY JOBS kutokana na lugha kuwa ngumu alafu pesa zinawachanganya hawataki kusoma.

Marekani kuna uraisi wa kumiliki nyumba gari na kufanya biashara unayotaka(biashara ya import chakula na kuuza kwenye maduka ya africa inalipa). hata kama huna huwezo huo. unaweza kutumia CREDIT yako na kupata nyumba, gari, au pesa baadae utalipa taratibu. kikubwa deal na Scores zako kuwa HIGH, na Credit ni kitu muhimu sana marekani.

Kazi ni nyingi na unaruhususiwa kufanya kazi masaa yote unayotaka hata kuwa na zaidi zaidi ya kumi, Mfano mimi nina ENTRY JOBS ndo always huwa nafanya kazi za aina hii, Kazi yangu ya Sasa Ni HMI CLASS tunatengenza class, nafanya kazi masaa 8 kila siku nalipwa $21 kwa saa na overtime $27, awali ilikuwa GE Appliance nilikuwa nalipwa $19, Before GE ilikuwa Fedex nilikuwa nalipwa $19.50, kabla ya Fedex ilikuwa Amazon $20.

Now kazi yangu ya sasa nafanya masaa ninayotaka nikisema kwamba nataka nipate $5000 mwezi huu inapatikana na gharama zangu za maisha ya marekani hazifiki hata $600(bills). So hapo nina kitu cha kufanya tayari africa. Imagine miez 12 ya kazi nikiruid africa huwez kusema tunarudi tumechoka.

Fursa nyingine ambayo kwangu huwa naona ni muhumu sana hapa marekani ni technology, Iphone ilipo marekani sio iliopo africa, chrome inavyofanya kazi marekani ni tofauti kabisa na africa, System za simu na Feature baadhi za Social Media ziko tofauti. kuna software kama vile Stripe huwezi kujiunga ikiwa unaishi africa, so mambo kama hayo ni muhimu sana na ni fursa kubwa.
Hat banl system ni tofauti kabisa zinavyotumika africa.

So kuishi marekani kuna fursa ya kuelimika pia, saivi ukimwabia banker maswala ya wallet pay, wireless pay, finger pay haya ni mambo mageni kwake au anasikiaga tu, ila wewe unaelimika kutoka na fursa ya mazingira unayoishi

ITAENDELEA.......
NO PM
Njoo mitaa ya Skid Row-Los Angeles utapata cha kusimulia. Ukitoka hapa uende Berverly Hill utakuwa na cha kuongea/kuhadithia.
 
Hii dollar elf 2 inabaki ngapi baada ya kutoa matumizi, nazungumzia maisha ya kawaida.

Mimikwa wiki mbili chakula haizidi $100 sina mambo mengi ya kupika kama wanawake.

Kwa mwez matumiz yangu hayazidi $1000
 
Back
Top Bottom