Maisha halisi ya secretary POMPEO

Applicant

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2020
Posts
1,962
Reaction score
1,751
Ni kijana wa kitanzania, umri ni 20's, sijaoa wala sina mpenzi, sina MTOTO HATA MMOJA lakini NINA NYUMBA 2 na GARI MOJA.

Elimu nina Degree ya Business.

Nikiamka asubuhi sa11 alfajiri nafanya mazoezi, baada ya hapo naoga halafu nakunywa maziwa nusu lita na maji lita 1 then naenda kazini.

Sa4 asubuhi nikiwa kazini napata breakfast (nzito)

Saa saba mchana napata Mlo wa mchana (sio chakula cha mchana)

Saa9 alasiri napata Glass 1 ya Red wine [emoji485]

Then natoka kazini sa11.

Nyumbani nafika sa12 na nusu jioni, napumzika mpaka sa2 usiku, saa 2 usiku naangalia taarifa ya habari, sa4 usiku nakula matunda nakunywa na maji mengi nalala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…