Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Naona wazi mkuu. Avator yako na ID name, inaonesha jinsi gani ulivyo mnazi. Salute sana comrade.
Vielen dank..danke schon mkuu ONTARIO
Itabidi nikualike uje utembelee pande za Cologne, Dortmund, Frankfurt, Berlin, Coluna , Munich's etc
 
Vielen dank..danke schon mkuu ONTARIO
Itabidi nikualike uje utembelee pande za Cologne, Dortmund, Frankfurt, Berlin, Coluna , Munich's etc
Hii dunia yote ni yetu, Huko kote tutafika. Hapo Munich siwezi kupasahau aisee, maana vijana wangu walikuja kichwa kichwa Alianze Arena wakapokea rungu za usoni.

Let's keep in touch boss, nikipata sababu ya kuja huko ntakustua.
 
Haaaaa upo sehemu gani
Unaishi wapi boss, weekend nakuja Honey Dew kuna ishu nafata.
 
Una hekima sana kaka be blessed
 
Nieleze vzr hii forex ipoje
 
Upo kayanga au murushaka?
 
Hii dunia yote ni yetu, Huko kote tutafika. Hapo Munich siwezi kupasahau aisee, maana vijana wangu walikuja kichwa kichwa Alianze Arena wakapokea rungu za usoni.

Let's keep in touch boss, nikipata sababu ya kuja huko ntakustua.
Ahaaaa..eti wakala za kichwa,, one step at a time.
Pamoja sana mkuu.
Bitte schön (u'r warmly welcome).
 
Unapiga maisha na wanyambo karagwe, sio?
 
Umeeleza poah sana mkuu mm nataka nijiwekeza nikiwa poah nizamie uko mazima
 
Sasa ndugu mbona unaonekana utafiti wako umeelemea kwamateja namachangudoa sasa ulitarajia ujenamajibu gani zaidi yahayo??? Watanzania wengi south Africa wanamabiashara, wanakazi zao. Nakubaliana nawewe kua wengi (hasajamii uliyoifanyia utafiti) maisha yao hayaeleweki lkn kisiwe kigezo chakuutangazia umma wabongo. Waishio afrika kusini life lao bovu wewe umepita south huijui kweli ktk utafiti wako hujatuletea hats mtz mmoja aliyefanikiwa
 

Boss Andika uzi wako wa wafanyabiashara unaowazungumzia. Mimi siwaoni huku hao unaowasema wewe.
 
Boss Andika uzi wako wa wafanyabiashara unaowazungumzia. Mimi siwaoni huku hao unaowasema wewe.
Hivi kweli. ... tuelimishane, mtu asiyemtanzania, aje Tanzania. Akae hotel, aachwe hapo na mwenyeji wake. Then achukuliwe apelekwe tu kariakoo Au Posta, aingie madukani then akitoka hapo ndio apate uhalisi wa maisha ya watu hapo? Watu wenye shughuli zao watakua wanafanya nini humo mitaani ulimopita mida hiyo? Hususani Johannesburg watu wenye shughuli zao huwezi kuwakuta mjini bila sababu. Hata hao uliowapata wananyoa umewapata ndani ya saluni zao. Kiukweli watu wanaishi hapa.
Na wanaishi maisha yote. Wapo wanoteseka sana. Wapo wenye afadhali na Wapo walio vizuri sana. Ila huwezi ukapita mitaani ukaonana nao
 
Kwa mtazamo wangu aliyeanzisha Uzi cha kwanza amezingua, alafu sio mwanaharakati,alafu pia amekuja na proud kwamba yeye ana bachelor of Science in Petroleum Chemistry kutoka UDSM, Ana mkwanja wa ku afford expensive hotels ndani ya SA, ana afford kwenda kwenye makasino kwenda kuwaangalia ma strippers hongera kwa hilo. Umekuja na mada iliyoelemea upande mmoja kutueleza maisha ya mateja, vibaka na Malaya kutoka bongo ambao wanakinukisha pande hizo. Siku hizi wabongo wameelimika sio kama 90's. Kipindi kile waliokua wanazamia unakuta mtu mtaani ameiba anatafutwa au mtu haja soma hata la kwanza anaamua kuzamia dzonga. Nazani inafahamika kwamba south Africa ndio the most industrialized country in Africa hawa jamaa ni more productive ukilinganisha na nchi yoyote Africa.Kwenye inshu ya formal employment lazima angalau kidogo uwe na cheti cha professional then unatafuta work permit hapo unaweza kuajiriwa.Sasa shida inakuja mtu haja soma anapiga Mishe mambo hayakai kwenye mstari anaamua apige dili za kupush unga ili mambo yamnyookee,mwishowe anakamatwa anafungwa au anakua teja au wanadhulumiana inawapelekea ikuchinjana ama wanapigana gun, mwingine ametoka tz mwizi akifika sa anaendelea.
Ila kwa upande wa pili wa shilingi kuna wabongo waliotoboa kibao tu. Sasa nataka nikuulize swali mleta mada hivi unaweza kufananisha ranking salary ya TZ na SA?. Hapa bongo tu ukipata kazi kwenye makampuni ya makaburu umetoboa iwe migodini au TBL.Kazi ambayo mtu anaifanya bongo na uo mshahara unaolipwa hapa tz ukienda SA in zaidi ya marambili yake sometimes hata maratatu.Mfano mtu mwenye diploma ya engineering hapa tz mshahara ni Tsh 400K-1200K na SA ni R15k-R30K, 1R=Tsh 168.42 (Tsh 2,526.3K-5,052.6K)
sasa kaka usiwatishie watu amani kama kuna mtu anaoana tz hapaeleweki let him go wherever he wants.
Na kwa taarifa yako mbongo anaejielewa huwezi ukamkuta anakaa na hiyo community ya mateja na wauza papuchi (kipochi manyoya) sometimes wanaficha kuwa wao ni wabongo kwa wabongo wenzao.Hii inatokana tu hata hapa tz kwa mtu anaejielewa hataki kuwa na ukaribu/urafiki na vibaka na mateja sasa hawez kuwashobokea hata huko. Ila ulicho kiandika mleta mada ni ule usemi wa samaki mmoja akioza,wote wameoza but wabongo waliotoboa wapo mm cjawai kuishi dzonga lakini watakuja wajuzi wa mambo watakuelewesha.Niliusoma uzi before watu wenye upeo wa kufikiri kwa kimo cha zakayo walikuunga mkono.
You can fool some people sometimes but you can't fool all people all the time**BOB MARLEY'S QUOTE.
 
Mkuu kiukweli nakuelewa sana, Mimi nitakua moja kati ya wanafunzi wako boss wangu. Respect
 
Wakuu hao madogo mnawajulia wapi inaonekana wana insipire saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…