Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
daaah!!
kamera hizi zina umbua watu, halaf jamaa ukimuona huwez kumdhania, [HASHTAG]#Menaretrash[/HASHTAG] ndio ilikuwa ina trend huko kwa ndugu zetu kisa uzembe wa huyu dogo
Hao wanawake waliokuwa wanatrend hiyo hashitagi wapuuzi na malofa. Nimeona wanawake wengi sana wakielezea hisia zao juu ya hili tukio huku wakifanya generalization za kipuuzi.
Lakini huyo demu nae acha akome, maana hata ndugu zake waliwahi kumshauri amuache msela sababu ya vipigo ila maskio yake yalizibwa na $$$.