Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Kukosea kuliandika jina sidhani kama ni dhambi kubwa na haiondoi ukweli wowote juu ya uwepo wangu huko na isitoshe ni miaka mingi tokea nimekuwa huko hivyo nashangaa ' unapovuka ' hovyo kama Mwanamke aliye ' period ' au katika ' heat '. Maelezo mengi halafu ' Pumba / Upupu ' mtupu. Mbona hujazishangaa hizo ' Facts ' zingine nilizozitoa za hapo Cape Town hasa University of Cape Town nilipokuwepo 2004 mpaka 2005?
Mkuu sijui hasa kama una lengo la kuelimisha Au upo kwa ajili nyengine. Hakuna sehem nilioweka mkazo wa wewe kukosea jina na wala sikujua kua umekosea jina. Mimi nipo hapa Toka 94. Ila bado haimaanishi kua najua Kila sehem. Sikua na hakika kua hiyo ni sehem labda siijui Au umekosea. Ndo mana nikaweka mabano kutaja jina nililofikiri ni sawa.
Siwezi kukataa kua umefika cape town Au umesoma hapa. Hata ungesema umezaliwa hapa. Siwezi pinga mkuu. Na kukosea jina kwaeza kua na sababu nyingi. Ikiwemo simu yenyewe Au kukosea tu. Sikuweka kua hiyo ni point kubwa.
Kuhusu kunifananisha na mwanamke alie kwenye period imenishangaza sana. Hiyo ni kitu kubwa ambayo mimi na wewe hatujui inakiwaje. Inafaa tuiheshimu. Ina mchango mkubwa wa kuwepo kwetu hapa.
Ukweli mkuu. Mamaako mzazi ambae naamini kua ni mwanamke (unless otherwise you state otherwise na sitopinga) kama asingekua anavuja damu Kila mwezi (period) Hata hiko chuo ulichosoma cape town usingekijua
Zaidi ya hayo Hakuna nilichopinga katika uliyoyasema ila hukukaa ukayajua maisha yetu hapa ipasavyo. Sikatai. Sitokataa wapo Au tupo ambao hatupo supa kimaisha hapa. Ila wapo ambao wapo vizuri sana.
 
Yaaani ukisoma vizuri post unaona jamaa yupo against na wabongo waishio huku kwasababu kabase upande mmoja tuu kwani huko bongo hawapo hao mateja na wabeba box au vinyozi?inshort ingekuwa hivyi basi wasingekuwa wanamiminika huku badala ya kurudi.kuishi kwa kupigana madongo ndy kikubwa kinatukwamisha.
Ametoa somo zuri sana kwa wale wanaofikiria wanaweza kwenda ishi katika nchi za watu bila malengo si kwamba hakuwaona waliofanikiwa, amefadhaishwa na wale walioiacha nchi yao na kwenda kudhalilika katika nchi za watu. Mkuu usiombe ukamuona mtanzania akiwa ktk hali kama aliyoizungumza jamaa hapo inaumiza sana, nilikuta jamaa anapiga debe sehemu iliniuma sana, jinsi alivyo ilibidi tujiulize kwani nyumbani hawezi piga debe? Njemba anajisifu ana miaka mitano kwa kazi hiyo, kweli!!?
 
Hapana usiende kwa 'undercover billionaire'. Yule dogo anaitwa Louis Junior, ni bright sana kichwani hasa maswala ya mobile tech, na hauwezi kuamini yule yupo kwenye program ya 1 to 1 mentorship na Richard Branson.

Dogo si trader kabisa, bali ni investor, anachukua pesa zake anawapa traders makini wantredie yeye huku akipush ishu zake za technology.

Nakumbuka aliingia mgogoro mkubwa sana na trader mmoja anaitwa Andile Saphisihle. Louis alimapa kama $35,000 ili amtredie Andile akamtapeli mazima. Pia sikushauri ujifunze Fx kwa online. 1 to 1 training is the best.

Narudi soon Bongo, moja kati ya kitu ambayo napambana kufanikisha ni kuleta forex Bongo. Kama Magu kashindwa kbs kuhakikishia vjn wetu ajira basi inabidi sisi wadau tunaolipenda taifa tuhakikishe vijana hawa hawawi majambazi, matapeli na mateja. There's always a way out.
Mkuu, ulivyoongea kuwa dogo ni mtaalamu kwenye mobile tech, kuna picha nimepata hapa... Kuna kipindi aliwahi kusema watu wa install app yake ya matangazo ya kibiashara kwenye simu zao, halafu kila siku utakuwa na unauhakika wakuingiza R70 kwenye personal acc kulingana na idadi ya watu watakao tembelea hiyo app kupitia jina lako.

Nilijiuliza sana hiyo inawezekana vipi, ila nilihisi tu huyu atakuwa ni scammer japo nimejaribu kuwatafuta kama kuna yeyote aliyejaribu kuingia kwenye mtego huo sijafanikiwa. Lakini wale madogo hata drugs wanasukuma sio kwa ule utajiri *****.

FOREX trade ni wabongo wachache sana wanaoifanya, itabidi huu mpango wa kutoa mentorship uwekee dhamira ya kweli mkuu, nakuhakikishia ukiviisha hata vichwa 30 tu... Utakuwa celebrity zaidi hata ya Bashite kwa maana you will change the lives of many. Mimi kuna level nikifika lazima ntatafuta mentor.
 
Usiwe na Presha Boss.

Hiyo kitu ndio nahangaika nayo huku SA, nimepata mwanga, niseme mwanga mkubwa hadi sasa kwa vitu vilivyofata. Nimesign tayari deals 2 kubwa na za kibabe.

Nikirudi tu Bongo nakamilisha mawili matatu na BoT na Brela, then from there tunaMove forward "Kudownload pesa". Yani vitoto vidogo huku SA vina ukwasi wa kutisha mno.

Kuna kijamaa kidogo sn, tuseme umri wng - miaka 23-25 anaitwa Shezi. Juzi juzi kanunua mgodi kwa $10 mil tena katoa mpunga cash. Sisi huku bongo tupo tu tunakuna mapvmbv na kukimbizana na mamachinga wasiuze CD za kina Vin Diesel.


Kiongozi kwanza asante sana kwa huu uzi murua. I have lived in US, Europe and other places. Mengi nimeyaona. Lakini bado naamini hizo ni changamoto ambazo zinatatulika tuu. Kikubwa kabla hujawaza kwenda nje, lazima ujue unaenda kufanya nini. Naamini mwenda bure si mkaa bure. Hata exposure utakayoipata will make a difference.

Back to the Main topic. Wewe na Lizarazu mmenipa kitu cha kufikiria sana.

I am very much interested na Trading. Sema nimekuwa muoga sana maana na hivi $$ tunavyotafuta kwa shida mtu unakua muoga kuachia.

I suggest anzisha dedicated thread tuwe tunapeana mikakati humu humu. Kila mwenye ideas tuwe tuna-share. Mkuu Lizarazu. input yako ni muhimu. Hata kama unajifunza. Kikubwa ni kupeana Moyo na mawazo. As long as no money will change hands among us! (hilo ni muhimu)

Angalizo: The first thing we should all learn is to manage expectations. Maana najua tukianza kuandika kwamba watu 'wata-download pesa" inaweza kuleta matokeo tofauti.

I really want to learn this thing. Even if it means to commit my few $$ in this I will.

Thanks sana Mkuu Ontario na Lizarazu. Much respect.
 
Mkuu sijui hasa kama una lengo la kuelimisha Au upo kwa ajili nyengine. Hakuna sehem nilioweka mkazo wa wewe kukosea jina na wala sikujua kua umekosea jina. Mimi nipo hapa Toka 94

Ndio maana hua najitahidi sana kumheshimu kila mtu JF, naepuka sana kukwaruzana au kupishana maneno na mtu. Huku kuna wazazi wetu kabisa, tena wengine wakubwa zaidi ya wazazi wetu. Heshima kwako kiongozi, hiyo 94 unaenda Cape, mimi ndio niliamua niingie duniani rasmi. Shkamoo!!
 
Mkuu sijui hasa kama una lengo la kuelimisha Au upo kwa ajili nyengine. Hakuna sehem nilioweka mkazo wa wewe kukosea jina na wala sikujua kua umekosea jina. Mimi nipo hapa Toka 94. Ila bado haimaanishi kua najua Kila sehem. Sikua na hakika kua hiyo ni sehem labda siijui Au umekosea. Ndo mana nikaweka mabano kutaja jina nililofikiri ni sawa.
Siwezi kukataa kua umefika cape town Au umesoma hapa. Hata ungesema umezaliwa hapa. Siwezi pinga mkuu. Na kukosea jina kwaeza kua na sababu nyingi. Ikiwemo simu yenyewe Au kukosea tu. Sikuweka kua hiyo ni point kubwa.
Kuhusu kunifananisha na mwanamke alie kwenye period imenishangaza sana. Hiyo ni kitu kubwa ambayo mimi na wewe hatujui inakiwaje. Inafaa tuiheshimu. Ina mchango mkubwa wa kuwepo kwetu hapa.
Ukweli mkuu. Mamaako mzazi ambae naamini kua ni mwanamke (unless otherwise you state otherwise na sitopinga) kama asingekua anavuja damu Kila mwezi (period) Hata hiko chuo ulichosoma cape town usingekijua
Zaidi ya hayo Hakuna nilichopinga katika uliyoyasema ila hukukaa ukayajua maisha yetu hapa ipasavyo. Sikatai. Sitokataa wapo Au tupo ambao hatupo supa kimaisha hapa. Ila wapo ambao wapo vizuri sana.

Laiti ungekuja na nidhamu hii tokea pale mwanzo na hasa katika post yako wala nami ' nisingekuwasha ' vile halafu wala Mimi sijajibu vile ili labda pengine kujisifia kuwa nimewahi kuishi huko South Africa kwani naamini hata hapa Tanzania maisha yanaweza yakawa mazuri kuliko hata huko ' Bondeni ' kama tu utakuwa umeandaa vizuri ' mirija ' yako ya ' Uchumi '. After all nilienda tu kusoma na sikwenda kwa minajili ya kuijua mitaa na ' kuikariri ' yote na nashukuru nilichokipata huko ' Kitaaluma ' ndicho kinanisaidia hata kuweza leo hii kusukuma / kuendesha maisha yangu.

Post yako hii ya pili Kwangu imekuja ' Kinidhamu ' zaidi na ndiyo maana nami nakujibu pia ' Kinidhamu ' hivi kwani nimeiga na naupenda sana ule ' msemo ' maarufu wa Rais wa Uganda Yoweri Amos Kaguta Museveni usemao " I pay you according to your price " kwa lugha nyepesi tu ya ' Kimafia ' na ya haraka haraka alikuwa anamaanisha kwamba ' nitakupokea kwa jinsi utakavyokuja japo kwa ' Tafsiri ' rahisi ya Kiswahili ni kwamba anasema " atakulipa kulingana na gharama yako ".

Kila la kheri.
 
Mkuu sorry kama ntakukwaza..

Hii story imetrend social media..

Naomba uniambie tu kiufupi huyo demu alifanyaje fanyaje hadi akachomwa moto?

Mkuu, kiufupi tu nilivyoskia huyu demu alikuwa ana date na jamaa mmoja tajiri kijana huko huko kwao bondeni. Demu aliondoka kwao tangu tarehe 28 April na ikasemekana kwamba alienda kwa mchizi wake, siku chache baadae akawa hapatikana kabisa hata kwenye simu, ndugu zake walivyomuuliza mchizi wake nae akasema hajui. Na ndipo walipochukua jukumu la kuanza kumtafuta ikiwa ni pamoja na kumtangaza kwenye social network.

Mnapo tarehe 11 may ikafahamika kuwa aliuwawa na kuchomwa moto, na muhusika wa tukio hilo ni boyfriend wake kwa msaada wa CCTV cameras. Sababu ya yeye kupigwa hadi kufa sijui ila demu alikuwa anapigwa sana na mshiki hata siku za nyuma.
 
Yaaani ukisoma vizuri post unaona jamaa yupo against na wabongo waishio huku kwasababu kabase upande mmoja tuu kwani huko bongo hawapo hao mateja na wabeba box au vinyozi?inshort ingekuwa hivyi basi wasingekuwa wanamiminika huku badala ya kurudi.kuishi kwa kupigana madongo ndy kikubwa kinatukwamisha.
Kuna machalii nawajua wameenda na wametusua tatizo full kula bata wamepata zari mapema ,wengine nawajua mpaka mijengo wanamiliki na walienda kimiyeyusho

Tatizo asilimia kubwa wanaishi maishi ya hovyo na ukienda joberg kwenye ghorofa chakavu wamejazana kibao halafu wengi wao wanauza unga,bangi na wengine hutumwa kupeleka Swaziland ,

Waliotusua wapo lakini idadi ya choka mbaya ni kubwa haswa wanaojifanya masela wahuni wahuni ,tena saizi panya road na hawa watoto wa visingeli ndio wamevamia huko wanakaba

Wengi waliotusua waliojielewa Lakini wengi huharibikiwa sababu ya starehe kupitiliza nimeshuhudia hili
 
Nimekoma kwa makini sana maelezo yako. Kwa kweli kabisa bado huijui South Africa. Alafu mtu unayedai alikuwa mwenyeji wako bado alikuwa siyo mwenyeji kama alikuacha wewe mgeni ukae hotel kwa siku zote hizo.
 
Inaonesha south wapo wabongo wanaishi maisha poa sana, kama mnapata mpaka mda wa jf kuperuzi
 
Hapa Bongo siwezi kuondoka " Niache Nyagi na Hii kitimoto" hapana ayseeee!!!
 
Kiongozi kwanza asante sana kwa huu uzi murua. I have lived in US, Europe and other places. Mengi nimeyaona. Lakini bado naamini hizo ni changamoto ambazo zinatatulika tuu. Kikubwa kabla hujawaza kwenda nje, lazima ujue unaenda kufanya nini. Naamini mwenda bure si mkaa bure. Hata exposure utakayoipata will make a difference.

Back to the Main topic. Wewe na Lizarazu mmenipa kitu cha kufikiria sana.

I am very much interested na Trading. Sema nimekuwa muoga sana maana na hivi $$ tunavyotafuta kwa shida mtu unakua muoga kuachia.

I suggest anzisha dedicated thread tuwe tunapeana mikakati humu humu. Kila mwenye ideas tuwe tuna-share. Mkuu Lizarazu. input yako ni muhimu. Hata kama unajifunza. Kikubwa ni kupeana Moyo na mawazo. As long as no money will change hands among us! (hilo ni muhimu)

Angalizo: The first thing we should all learn is to manage expectations. Maana najua tukianza kuandika kwamba watu 'wata-download pesa" inaweza kuleta matokeo tofauti.

I really want to learn this thing. Even if it means to commit my few $$ in this I will.

Thanks sana Mkuu Ontario na Lizarazu. Much respect.

mkuu much thanks for compliment. Hii kitu kiukweli sio yakuacha hata kidogo hasa kwa mtu ambae ana ufahamu kiasi na lugha pamoja na basics mbili tatu za uchumi.

Binafsi kuhusu hii mambo bado niko kwenye level za awali kabisa, this time naenda nayo mdogo mdogo nisije kuishia njiani. Nikiwa kama learner ninaweza kuchangia pale nilipoiva kabisa. Hii ukimlinsha mtu tango pori hasa kwenye hatua za mwanzo ummemaliza.

Ninachoweza kushauri baada ya ONTARIO kutudhibitishia kwamba hata anza rasmi kutoa trainings kuanzia mwezi gani, basi hapo kila anaehitaji aanze kufanya maandalizi personally huku akifahamu anakuja kuingia kwenye hii kitu mazima na sio kujaribu.

Hizo few $$$ you will be able to multiply them as much as you wish by the time you start to trade as a professional trader.
 
Matsoea mimi nilimjulia kupitia mwanafunzi wake mmoja hivi ambae huwa nachati nae... Wanasema demu alikuwa maarufu na pia ni aina ya wale wajuaji. halafu jamaa alivyokuwa kauzu baada ya kumuua, ndugu zake walivyoanza kumtafuta na yeye akaanza kuwasaidia kumtafuta akijua hawezi kukamatwa.

I don't do trading mkuu, hii kitu niliwahi kujifunza mwanzoni mwa mwaka huu ila nikagundua kwamba mimi mwenyewe tu siwezi na pia Inahitaji muda sana kama mwaka hivi ya training ndio uanze kupiga hela...
hivi ilikuwaje mpaka jamaa akagundulika kuwa ndio yeye alo ua!?
 
Big up kamanda, yaan hyo ni real kabisa wabongo weng walioko SA ni choka mbaayaaa
 
daaah!!
kamera hizi zina umbua watu, halaf jamaa ukimuona huwez kumdhania, [HASHTAG]#Menaretrash[/HASHTAG] ndio ilikuwa ina trend huko kwa ndugu zetu kisa uzembe wa huyu dogo
Katudhalilisha mno Sandile. Lakini uzuri kakubali kua aliuwa na kuchoma mwili moto... hivyo anaenda mahakamani kukamilisha tu ushahidi, kisha azame nyuma ya nondo hadi kifo kimkute. So sad at his age and fame.
 
Back
Top Bottom