Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Huwa najiuliza,inamaana huyu jamaa watu wa vetting hawakumuona au? The guy seems to be with higher IQ.
 
Uliyosema yote ni kweli. Mimi niliishakaa Jobeg (Johannesburg) eneo la westonaria miaka 2. Nilikuwa nazuka mitaa hatarir kama ya hilbrour, n.k, ni hatari
Hillbrow
 
Wengi wanaishia kupiga picha kwenye majengo marefu kisha wanazituma.
Siku akirudi cha maana walichobeba ni simu na cheni za silver kisha wamepauka. Alafu waliokaa muda mrefu South Africa wakirudi wanakuwa hawawezi kabisa kuishi TZ .
Daaah! Kuhusu waliokaa sana SA, na kushindwa maisha wakirudi Bongo.... Ni kweli kabisa. Nina Mshkaji wng alikaaa Cape Town 12 years! Aliporudi! Alirudi na computer monitor 3 na CPU moja! Tangu amerudi dish lake halina uhusiano mzuri na decoder
 
Nenda machimbo ya Hillbrow, Jozi.
 
Daaah! Kuhusu waliokaa sana SA, na kushindwa maisha wakirudi Bongo.... Ni kweli kabisa. Nina Mshkaji wng alikaaa Cape Town 12 years! Aliporudi! Alirudi na computer monitor 3 na CPU moja! Tangu amerudi dish lake halina uhusiano mzuri na decoder
😀😀😀
 
Na bei yao ni sawa na mahindi mawili ya kuchoma hapo mtaani, yani walikua wanajiuza short time kwa Rand 24 (hii ni sawa na 3,800 Tsh).


Kumbe mahindi ya kuchoma dar yanauzwa 3,800/- , wakati huku kwetu muhundi mmoja ni 200/- nimcheka kifala[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ulidownload pesa haswaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo! Ulitembelea maskini.
Kwani wote bongo matajiri?
Oyaa masela maisha popte nenda tu ukipata nafasi na hakuna kurudi mpaka kieleweke.yeye mbona kaenda? Shit!
 
Stori kama ni halisi mbona pocha zechukuliwa Instagram au simu ya mtunzi haikuwa na Camera??![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Nilichopenda ni habari picha mpaka raha,ila poleni sana wabongo wenzangu ulioenda bila malengo SA
 
Am proud to be AN TANZANIAN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ni popote utajiri ni popote! nje kuna watu wana hela hata ukiwaambia warudi Bongo hawakuelewi, na Bongo kuna wenye hela hawataki kusikia ! wa maisha ya kijiji!

Wewe uliyoko kijijini kaa huko huko ndo kwako, huwezi kwenda nje! na wewe wa nje kaa hukohuko tafuta hela siyo mpaka urudi Bongo! huko ndo kwako!

kila mtu na Maisha yake sasa kuna watu sijui wanaumia nini! utasikia eti! oooh! I love Tanzania, nalima Matikiti! kwani umesikia aliye eenda Nje hai- Love Tanzania? nadhani huenda kuna kitu huko nje! siyo bure ila watu wanavunja wengine mioyo ili wao ndiyo wawe juu tu!

Tuliozaliwa kijijini tulitishwa sana, kuhusu Bongo; utasikia eti Darisalame dhiki sana hakuna chakula, watu hula kitumbua kimoja na maji (chai ya rangi) kutwa nzima, ni Joto, watu wanalala nje! ugali kidogo km ngumi mwala watu Kumi! wakati huko kijijini umekula vizuri ni kauzu bila wese! Nyama , mafuta yakupikia, sukari ni starehe! chai ya maziwa, Habari , magazeti, utaviisikia tu! mleta mada acha uzwazwa!

Kumbe ilikuwa ni wivu tu, hakuna sehemu nzuri utakayo kula na kusaza km Bongo ilimradi upige kazi tu. hata kokoto Beba, Mchicha kidogo tu ukilima msimbazi hela hizooo!!! watu walitishwa sana, kufikia hata kuzomewa wakati wa safari, msione hivi jamani huko Mikoani ni shida sana. Ndiyo nayo yaona hapa leo!

Mwanza kuna wenye hali duni hasa, kati, na juu, nje pia ivo ivo! ukikaa na kuwasikiliza waosha vinywa utakesha unazunguka! kazi kwako! mwana JF! Watu wana malengo yao wengine Elimu, na wengine maisha! wengine Pesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…