mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Asante sana kwa kutujuza! Je kwa wasomi wa shahada ya kwanza wanaweza kupata ajira huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bixente Lizarazu left full back ya uhakika France 98. Anyway kule kwenye michezo ndo kunatufaa sanaaa mdau ingawa jamaa kaleta bonge la shule hapa wengine wanazinguaKwa hiyo hujasoma au?
Ila naamini hii stori ingekuwa inaelezea talaka ya Mange usingesema ndefu.
Pretoria sijapiga sana misele lkn ni sehemu moja tamu sana kwa kuishi, hakuna watu wa hovyo hovyo kama Jozi, hakuna uchafu na harufu za kienyeji, pamepangiliwa vizuri na pia hapajabanana na population bado iko chini. Hilo chimbo ntalizukia weekend japo sitegemei kukutana na wabongo wengi.Pretoria kuna chimbo kama hilo la CHEECY linaitwa CAPITAL INN
Yap,hata mimi nilikaa kama wiki mbili tu,lipo not far from 244 Hotel.ni pazuri kurelaxisha akiliPretoria sijapiga sana misele lkn ni sehemu moja tamu sana kwa kuishi, hakuna watu wa hovyo hovyo kama Jozi, hakuna uchafu na harufu za kienyeji, pamepangiliwa vizuri na pia hapajabanana na population bado iko chini. Hilo chimbo ntalizukia weekend japo sitegemei kukutana na wabongo wengi.
Akikujibu fanya kunitag mkuuOntario..
Inamaana huona mbongo yeyote Mwenye life la uhakika?
Juma3 ya week iliyopita nilienda kwenye ibada kanisa la Shepherd Bushiri ana huduma inaitwa 'Diplomatic service'. Nilibahatika kupata VIP seat, na baadae nikaja kugundua jirani yangu mmoja anasali kwa kiswahili hapo kanisani.Ontario..
Inamaana huona mbongo yeyote Mwenye life la uhakika?
Si kweli ndugu..chama hakifanyi maisha yako kua mazuri ktk nchi hizi masikini za ki Africa.washauli warudi na wafanye kazi kwa bidii na kwa maarifa bila aibu wala uogaDuh
Njoo Nyumbani Nchi Hii Inawahitaji
Tuitoe Kijani Madarakani Ili Nchi Iwe Ya
"Asali Na Maziwa"
Hii habari ya kuuliza uliza utaleta noma. Nakumbuka kipindi cha nyuma jamaa alieliezea maisha ya miji mbali mbali ya USA, akaulizwa vipi Development, akasema pale development nimekaa miezi 3.Pretoria kuna chimbo kama hilo la CHEECY linaitwa CAPITAL INN
Ni wengi sana wanatamani kurudiKama wananisoma hapa naomba warudi tuje tulime huku maeneo yapo mengi tu.
The more city inavyozidi kuwa modern ndio the more social and economic evil zinaongezeka.
Wale bushmen akina Xi wana maisha mazuri saana kule kijijini kwao kuliko wanaoishi hapo downtown kwa madiba.
Thank God! Sijawahi kuwaza kwenda south, napiga hela nyeupe za bila jasho kwa wauza Maharage hapa karagwe.
Easy money!